Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakaribia Kuwaaminisha Mamburula Kwa Andiko hili,Ila kwa Miaka Yake 20+ Ana Impact Gani Ameileta? Kabla Mboweling Hajachukua Hiyo Nafasi Ya Mwenye Meza Hapo Chademani Alikuwa Na Uzoefu Gani Mara Zote Huwa Nina pingana Na Watu Wenye Mawazo Ya Aina Hiyo Uongozi kama Wa Chama Huwa Aliye Teuliwa Anaupatia Kazini Na Ndio Maana Ccm Ukishinda Urais Hapo hapo we Ndo Unakuwa Mwenyekiti Hivi Mbona Rais Hatutaki Mwenye Uzoefu? Mi Naamini vipo vitu vinahitaji Uzoefu Ila Sio Mambo kama Uongozi Kama Uzoefu Ni Msingi kwenye Uongozi Tumrudishe Jakaya Madarakani Maana Ana Uzoefu Kuliko Mama,Tuwaige Americano.Pontyo wa Pilato akawauliza wayahudi " Wanamtaka nani Kati ya Yesu na Baraba? Nani afunguliwe nani abaki?"
Kwa mshangao wa Pilato wayahudi Waka shout wakisema " Tunamtaka Baraba"
Hadi Pilato aliguna. Ndio maana akajioa hatia juu ya damu ya Yesu .
Na Yesu alipozikwa, Pilato aliagiza kaburi la Yesu liandikwe " IESUS NAZARENUS REX IUDAISM" Kwa maana ya " YESU MNAZARETH MFALME WA WAYAHUDI" Kwa sababu Hilo ndio "kosa" ambalo wayahudi walimtuhumu nalo Yesu kwa serikali ya warumi .
( Treason/ uhaini) Kwa maana ya kwamba Yesu aliji tangaza yu mfalme wa Yudea wakati Yudea ilikuwa chini ya utawala WA warumi.
Ndicho wanacho kifanya the so called " Wafuasi wa Lissu"
Wanamtaka Baraba " Lissu" hawamtaki Yesu ( Mbowe)
Mbowe mwenye uzoefu wa kutosha wa kuongoza Chama cha siasa.
Mbowe mwenye personality ya kiongozi wa juu wa taasisi kubwa kama Chadema.
The Diplomatic Mbowe, mnataka aachie ngazi ila Lissu ambae hana uzoefu wowote katika kuongoza taasisi kubwa kama Chadema.
Lissu ambae hana haiba ya uongozi( Lissu ni mwanaharakati tu na Sio kiongozi), ndio mnataka apewe uongozi wa Chama?
Hesabu ya wapi hii? Yani you want to replace 20+ with zero?. Are u mad?
Mbowe = 20+ years of experience.
Lissu = Zero year of experience.
And u guys want to replace " 20+ years of experience" with " Zero years of experience"?
Hata Ole Gunnar ata GUNA.
Ni mwendawazimu tu ndio anaweza Ku exchange his 20+ million shillings with zero shillings.
Unakuta "msomi" kabisa anasema ;
" Mbowe ameongoza Kwa muda mrefu Sana Sasa ampishe Lissu aongoze"
Akili kama za Nguruwe pori, mikono anayo lakini ana chimba mihogo Kwa kutumia pua.
Sasa kama ana experience ya Zaidi ya miaka 20 si ndio Sasa anatakiwa kuaminiwa zaidi Kwa sababu tayari ana experience ya kutosha?.
Mnataka kumchukua mtu asie na experience yoyote wala haiba ya uongozi ndio aongoze Chama wakati mtu mwenye experience na haiba ya uongozi yupo? .
Akili kama za Wayahudi wa Luka 23: 18-25.
....
Watanzania wanao taka Lissu apewe Uenyekiti wa Chadema wana prove nadharia yangu kwamba " Many Tanzanians are poor judges of characters"
Poor judges of characters are so good in making poor decision.
Ndio maana unaona watu eti wanataka Lissu ndio awe Mwenyekiti wa Chadema.
Lissu huyu huyu?
Yani kabisa kabisa mtu na Akili zake timamu anashindwa kabisa kujudge characters za Lissu na kuona kwamba Lissu hana haiba ya uongozi?
Even Steve Wonders can see this
Baadhi ya watanzania wanakuwaga kama ma Bwege Nazi vile wana macho matatu lakini hawaoni.
........
Ushauri wangu Kwa wanachadema. Siku ya uchaguzi " Make Sure You Freeman Mboweling your votes".
Pontyo wa Pilato akawauliza wayahudi " Wanamtaka nani Kati ya Yesu na Baraba? Nani afunguliwe nani abaki?"
Kwa mshangao wa Pilato wayahudi Waka shout wakisema " Tunamtaka Baraba"
Hadi Pilato aliguna. Ndio maana akajioa hatia juu ya damu ya Yesu .
Na Yesu alipozikwa, Pilato aliagiza kaburi la Yesu liandikwe " IESUS NAZARENUS REX IUDAISM" Kwa maana ya " YESU MNAZARETH MFALME WA WAYAHUDI" Kwa sababu Hilo ndio "kosa" ambalo wayahudi walimtuhumu nalo Yesu kwa serikali ya warumi .
( Treason/ uhaini) Kwa maana ya kwamba Yesu aliji tangaza yu mfalme wa Yudea wakati Yudea ilikuwa chini ya utawala WA warumi.
Ndicho wanacho kifanya the so called " Wafuasi wa Lissu"
Wanamtaka Baraba " Lissu" hawamtaki Yesu ( Mbowe)
Mbowe mwenye uzoefu wa kutosha wa kuongoza Chama cha siasa.
Mbowe mwenye personality ya kiongozi wa juu wa taasisi kubwa kama Chadema.
The Diplomatic Mbowe, mnataka aachie ngazi ila Lissu ambae hana uzoefu wowote katika kuongoza taasisi kubwa kama Chadema.
Lissu ambae hana haiba ya uongozi( Lissu ni mwanaharakati tu na Sio kiongozi), ndio mnataka apewe uongozi wa Chama?
Hesabu ya wapi hii? Yani you want to replace 20+ with zero?. Are u mad?
Mbowe = 20+ years of experience.
Lissu = Zero year of experience.
And u guys want to replace " 20+ years of experience" with " Zero years of experience"?
Hata Ole Gunnar ata GUNA.
Ni mwendawazimu tu ndio anaweza Ku exchange his 20+ million shillings with zero shillings.
Unakuta "msomi" kabisa anasema ;
" Mbowe ameongoza Kwa muda mrefu Sana Sasa ampishe Lissu aongoze"
Akili kama za Nguruwe pori, mikono anayo lakini ana chimba mihogo Kwa kutumia pua.
Sasa kama ana experience ya Zaidi ya miaka 20 si ndio Sasa anatakiwa kuaminiwa zaidi Kwa sababu tayari ana experience ya kutosha?.
Mnataka kumchukua mtu asie na experience yoyote wala haiba ya uongozi ndio aongoze Chama wakati mtu mwenye experience na haiba ya uongozi yupo? .
Akili kama za Wayahudi wa Luka 23: 18-25.
....
Watanzania wanao taka Lissu apewe Uenyekiti wa Chadema wana prove nadharia yangu kwamba " Many Tanzanians are poor judges of characters"
Poor judges of characters are so good in making poor decision.
Ndio maana unaona watu eti wanataka Lissu ndio awe Mwenyekiti wa Chadema.
Lissu huyu huyu?
Yani kabisa kabisa mtu na Akili zake timamu anashindwa kabisa kujudge characters za Lissu na kuona kwamba Lissu hana haiba ya uongozi?
Even Steve Wonders can see this
Baadhi ya watanzania wanakuwaga kama ma Bwege Nazi vile wana macho matatu lakini hawaoni.
........
Ushauri wangu Kwa wanachadema. Siku ya uchaguzi " Make Sure You Freeman Mboweling your votes".
Magembe haubiri ila anajitangazia utakatifu. Kwamba yeye tu ndio anapatia ila wengine woteKesho asubuhi sana kwa maghembe
20 years experience? Kumbe waitoe vipi CCM yenye 60 years experience?
Au kelele Kwa kina Kaguta, PK au huyu hapa naye?
View attachment 3198963
Mtamaliza bucha zote ila mwamba akwendreee!
Magembe haubiri ila anajitangazia utakatifu. Kwamba yeye tu ndio anapatia ila wengine wote
Waitoe CCM wanapata wapi hiyo Akili?
Of course hakukua na ulazima wowote wa jk kuachia madaraka hiyo 2015 ni vile tu katiba yetu mbovuUnakaribia Kuwaaminisha Mamburula Kwa Andiko hili,Ila kwa Miaka Yake 20+ Ana Impact Gani Ameileta? Kabla Mboweling Hajachukua Hiyo Nafasi Ya Mwenye Meza Hapo Chademani Alikuwa Na Uzoefu Gani Mara Zote Huwa Nina pingana Na Watu Wenye Mawazo Ya Aina Hiyo Uongozi kama Wa Chama Huwa Aliye Teuliwa Anaupatia Kazini Na Ndio Maana Ccm Ukishinda Urais Hapo hapo we Ndo Unakuwa Mwenyekiti Hivi Mbona Rais Hatutaki Mwenye Uzoefu? Mi Naamini vipo vitu vinahitaji Uzoefu Ila Sio Mambo kama Uongozi Kama Uzoefu Ni Msingi kwenye Uongozi Tumrudishe Jakaya Madarakani Maana Ana Uzoefu Kuliko Mama,Tuwaige Americano.
Huenda kweli anaona Kuna wachungaji wamekengeuka kama yule wa vatcanMagembe haubiri ila anajitangazia utakatifu. Kwamba yeye tu ndio anapatia ila wengine wote
Waitoe CCM wanapata wapi hiyo Akili?
Mbona kama ume pagawa mkuu
Kwakuwa siyo mkamilifu ndo asiseme kukengeuka kwa watuYeye ndio mkamilifu?
Uchawa hadi unapoteza kumbu kumbu!Pontyo wa Pilato akawauliza wayahudi " Wanamtaka nani Kati ya Yesu na Baraba? Nani afunguliwe nani abaki?"
Kwa mshangao wa Pilato wayahudi Waka shout wakisema " Tunamtaka Baraba"
Hadi Pilato aliguna. Ndio maana akajioa hatia juu ya damu ya Yesu .
Na Yesu alipozikwa, Pilato aliagiza kaburi la Yesu liandikwe " IESUS NAZARENUS REX IUDAISM" Kwa maana ya " YESU MNAZARETH MFALME WA WAYAHUDI" Kwa sababu Hilo ndio "kosa" ambalo wayahudi walimtuhumu nalo Yesu kwa serikali ya warumi .
( Treason/ uhaini) Kwa maana ya kwamba Yesu aliji tangaza yu mfalme wa Yudea wakati Yudea ilikuwa chini ya utawala WA warumi.
Ndicho wanacho kifanya the so called " Wafuasi wa Lissu"
Wanamtaka Baraba " Lissu" hawamtaki Yesu ( Mbowe)
Mbowe mwenye uzoefu wa kutosha wa kuongoza Chama cha siasa.
Mbowe mwenye personality ya kiongozi wa juu wa taasisi kubwa kama Chadema.
The Diplomatic Mbowe, mnataka aachie ngazi ila Lissu ambae hana uzoefu wowote katika kuongoza taasisi kubwa kama Chadema.
Lissu ambae hana haiba ya uongozi( Lissu ni mwanaharakati tu na Sio kiongozi), ndio mnataka apewe uongozi wa Chama?
Hesabu ya wapi hii? Yani you want to replace 20+ with zero?. Are u mad?
Mbowe = 20+ years of experience.
Lissu = Zero year of experience.
And u guys want to replace " 20+ years of experience" with " Zero years of experience"?
Hata Ole Gunnar ata GUNA.
Ni mwendawazimu tu ndio anaweza Ku exchange his 20+ million shillings with zero shillings.
Unakuta "msomi" kabisa anasema ;
" Mbowe ameongoza Kwa muda mrefu Sana Sasa ampishe Lissu aongoze"
Akili kama za Nguruwe pori, mikono anayo lakini ana chimba mihogo Kwa kutumia pua.
Sasa kama ana experience ya Zaidi ya miaka 20 si ndio Sasa anatakiwa kuaminiwa zaidi Kwa sababu tayari ana experience ya kutosha?.
Mnataka kumchukua mtu asie na experience yoyote wala haiba ya uongozi ndio aongoze Chama wakati mtu mwenye experience na haiba ya uongozi yupo? .
Akili kama za Wayahudi wa Luka 23: 18-25.
....
Watanzania wanao taka Lissu apewe Uenyekiti wa Chadema wana prove nadharia yangu kwamba " Many Tanzanians are poor judges of characters"
Poor judges of characters are so good in making poor decision.
Ndio maana unaona watu eti wanataka Lissu ndio awe Mwenyekiti wa Chadema.
Lissu huyu huyu?
Yani kabisa kabisa mtu na Akili zake timamu anashindwa kabisa kujudge characters za Lissu na kuona kwamba Lissu hana haiba ya uongozi?
Even Steve Wonders can see this
Baadhi ya watanzania wanakuwaga kama ma Bwege Nazi vile wana macho matatu lakini hawaoni.
........
Ushauri wangu Kwa wanachadema. Siku ya uchaguzi " Make Sure You Freeman Mboweling your votes".
Rais wa chama cha wanasheria tanganyika, mwanasheria mkuu wa chadema, makamu wa mwenyekiti chadema, mgombea urais wa chadema na bado mwanachama mmoja tu anamwona Lisu hatoshi-Upunguani ndio huu.Pontyo wa Pilato akawauliza wayahudi " Wanamtaka nani Kati ya Yesu na Baraba? Nani afunguliwe nani abaki?"
Kwa mshangao wa Pilato wayahudi Waka shout wakisema " Tunamtaka Baraba"
Hadi Pilato aliguna. Ndio maana akajioa hatia juu ya damu ya Yesu .
Na Yesu alipozikwa, Pilato aliagiza kaburi la Yesu liandikwe " IESUS NAZARENUS REX IUDAISM" Kwa maana ya " YESU MNAZARETH MFALME WA WAYAHUDI" Kwa sababu Hilo ndio "kosa" ambalo wayahudi walimtuhumu nalo Yesu kwa serikali ya warumi .
( Treason/ uhaini) Kwa maana ya kwamba Yesu aliji tangaza yu mfalme wa Yudea wakati Yudea ilikuwa chini ya utawala WA warumi.
Ndicho wanacho kifanya the so called " Wafuasi wa Lissu"
Wanamtaka Baraba " Lissu" hawamtaki Yesu ( Mbowe)
Mbowe mwenye uzoefu wa kutosha wa kuongoza Chama cha siasa.
Mbowe mwenye personality ya kiongozi wa juu wa taasisi kubwa kama Chadema.
The Diplomatic Mbowe, mnataka aachie ngazi ila Lissu ambae hana uzoefu wowote katika kuongoza taasisi kubwa kama Chadema.
Lissu ambae hana haiba ya uongozi( Lissu ni mwanaharakati tu na Sio kiongozi), ndio mnataka apewe uongozi wa Chama?
Hesabu ya wapi hii? Yani you want to replace 20+ with zero?. Are u mad?
Mbowe = 20+ years of experience.
Lissu = Zero year of experience.
And u guys want to replace " 20+ years of experience" with " Zero years of experience"?
Hata Ole Gunnar ata GUNA.
Ni mwendawazimu tu ndio anaweza Ku exchange his 20+ million shillings with zero shillings.
Unakuta "msomi" kabisa anasema ;
" Mbowe ameongoza Kwa muda mrefu Sana Sasa ampishe Lissu aongoze"
Akili kama za Nguruwe pori, mikono anayo lakini ana chimba mihogo Kwa kutumia pua.
Sasa kama ana experience ya Zaidi ya miaka 20 si ndio Sasa anatakiwa kuaminiwa zaidi Kwa sababu tayari ana experience ya kutosha?.
Mnataka kumchukua mtu asie na experience yoyote wala haiba ya uongozi ndio aongoze Chama wakati mtu mwenye experience na haiba ya uongozi yupo? .
Akili kama za Wayahudi wa Luka 23: 18-25.
....
Watanzania wanao taka Lissu apewe Uenyekiti wa Chadema wana prove nadharia yangu kwamba " Many Tanzanians are poor judges of characters"
Poor judges of characters are so good in making poor decision.
Ndio maana unaona watu eti wanataka Lissu ndio awe Mwenyekiti wa Chadema.
Lissu huyu huyu?
Yani kabisa kabisa mtu na Akili zake timamu anashindwa kabisa kujudge characters za Lissu na kuona kwamba Lissu hana haiba ya uongozi?
Even Steve Wonders can see this
Baadhi ya watanzania wanakuwaga kama ma Bwege Nazi vile wana macho matatu lakini hawaoni.
........
Ushauri wangu Kwa wanachadema. Siku ya uchaguzi " Make Sure You Freeman Mboweling your votes".
Nimeishia hapa kusomaPontyo wa Pilato akawauliza wayahudi " Wanamtaka nani Kati ya Yesu na Baraba? Nani afunguliwe nani abaki?"
Kwa mshangao wa Pilato wayahudi Waka shout wakisema " Tunamtaka Baraba"
Hadi Pilato aliguna. Ndio maana akajioa hatia juu ya damu ya Yesu .
Na Yesu alipozikwa, Pilato aliagiza kaburi la Yesu liandikwe " IESUS NAZARENUS REX IUDAISM" Kwa maana ya " YESU MNAZARETH MFALME WA WAYAHUDI" Kwa sababu Hilo ndio "kosa" ambalo wayahudi walimtuhumu nalo Yesu kwa serikali ya warumi .
( Treason/ uhaini) Kwa maana ya kwamba Yesu aliji tangaza yu mfalme wa Yudea wakati Yudea ilikuwa chini ya utawala WA warumi.
Ndicho wanacho kifanya the so called " Wafuasi wa Lissu"
Wanamtaka Baraba " Lissu" hawamtaki Yesu ( Mbowe)
Mbowe mwenye uzoefu wa kutosha wa kuongoza Chama cha siasa.
Mbowe mwenye personality ya kiongozi wa juu wa taasisi kubwa kama Chadema.
The Diplomatic Mbowe, mnataka aachie ngazi ila Lissu ambae hana uzoefu wowote katika kuongoza taasisi kubwa kama Chadema.
Lissu ambae hana haiba ya uongozi( Lissu ni mwanaharakati tu na Sio kiongozi), ndio mnataka apewe uongozi wa Chama?
Hesabu ya wapi hii? Yani you want to replace 20+ with zero?. Are u mad?
Mbowe = 20+ years of experience.
Lissu = Zero year of experience.
And u guys want to replace " 20+ years of experience" with " Zero years of experience"?
Hata Ole Gunnar ata GUNA.
Ni mwendawazimu tu ndio anaweza Ku exchange his 20+ million shillings with zero shillings.
Unakuta "msomi" kabisa anasema ;
" Mbowe ameongoza Kwa muda mrefu Sana Sasa ampishe Lissu aongoze"
Akili kama za Nguruwe pori, mikono anayo lakini ana chimba mihogo Kwa kutumia pua.
Sasa kama ana experience ya Zaidi ya miaka 20 si ndio Sasa anatakiwa kuaminiwa zaidi Kwa sababu tayari ana experience ya kutosha?.
Mnataka kumchukua mtu asie na experience yoyote wala haiba ya uongozi ndio aongoze Chama wakati mtu mwenye experience na haiba ya uongozi yupo? .
Akili kama za Wayahudi wa Luka 23: 18-25.
....
Watanzania wanao taka Lissu apewe Uenyekiti wa Chadema wana prove nadharia yangu kwamba " Many Tanzanians are poor judges of characters"
Poor judges of characters are so good in making poor decision.
Ndio maana unaona watu eti wanataka Lissu ndio awe Mwenyekiti wa Chadema.
Lissu huyu huyu?
Yani kabisa kabisa mtu na Akili zake timamu anashindwa kabisa kujudge characters za Lissu na kuona kwamba Lissu hana haiba ya uongozi?
Even Steve Wonders can see this
Baadhi ya watanzania wanakuwaga kama ma Bwege Nazi vile wana macho matatu lakini hawaoni.
........
Ushauri wangu Kwa wanachadema. Siku ya uchaguzi " Make Sure You Freeman Mboweling your votes".
OkayUchawa hadi unapoteza kumbu kumbu!
Lisu anakosaje uzoefu wakati ni naibu wa Mbowe?
Samia alikuwa naibu wa Magufuli, alishindwa kuongoza nchi alipokabidhiwa uongozi?
Lisu hajaokotwa jalalani, ni mzoefu.
Halafu mbona pyepyepye nyingi sana kumkingia kifua Mbowe, kuna nini huko, au yaliyosemwa na Dr Slaa yameanza kutimia'nini?
Hamuwezi mkatupa muda kidogo wadau tukapumua kwa kuwapima hao wagombea sisi wenyewe bila kulishwa maneno?
Hizi tango pori zenu zimekuwa too much sasa!