Wafuasi wa Lissu wanamtaka Baraba

Mbowe = 20+ years of experience.

Lissu = Zero year of experience.

Yani kabisa kabisa mtu na Akili zake timamu anashindwa kabisa kujudge characters za Lissu na kuona kwamba Lissu hana haiba ya uongozi?
Halafu nyie chadema mkataka Lissu awe rais + kumsema vibaya Lowassa na bado mkamkaribisha kwenu na kuwa mgombea wenu πŸ˜‚ wengine tukisema chadema ni wapumbavu mnaona mnatukanwa wakati hy ni sifa yenu.

Hii aione Erythrocyte
 
Upumbavunaizesheni from pumbaling, ero kamano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…