Uchaguzi 2020 Wafuasi wa Mgombea Zury Nanji, anayewania Ubunge Bunda Mjini Watishana kuuana kwa Risasi, Mmoja awekwa Rumande

Uchaguzi 2020 Wafuasi wa Mgombea Zury Nanji, anayewania Ubunge Bunda Mjini Watishana kuuana kwa Risasi, Mmoja awekwa Rumande

Wafuasi wa Mgombea Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma, wametupiana maneno na kutishana kuuana kwa Risasi, Wafuasi hao ni Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda Justine Lukaka ambae ni mbeba mikoba ya Muhindi huyo na amenukuliwa kila mara akisema "anae Mgombea wake kichwani mwenye ngozi nyeupe" Aliyasema hayo akiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM wilaya hivi karibuni.

Na Mwingine ni Diwani wa Kata ya Kabarimu Pastory Ncheye ambaye ametisha kumuua Mkiti huyo kwasababu amekuwa anakula peke yake Mgao wa Mamilioni yanayotolewa na Mwanza Huduma.

Hivi karibuni Mwanza Huduma alitoa Mamilioni kwa Wafuasi wake ili kudhamini sherehe za CCM Mkoa wa Mara zilizofanyika Bunda lakini wajanja wachache wakazila na kuwasilisha laki nne tu.

Na walipodaiwa Listi walisema wataitoa baadae.
Mwanza Huduma alitoa Milioni kumi ili kujenga Choo ya CCM Wilaya lakini Mwenyekiti Justine Lukaka amejenga choo ya Thamani ya Laki 7 yenye tundu moja tu.

Baadae Mtia nia huyo alitoa Taa za kuwekwa barabarani na kupokelewa na Chama cha Mapinduzi kinyume na utaratibu na bado hakuna hatua zilizochukuliwa.

Ulaji huu bila kumgawia Mfuasi huyo ameleta ugomvi mkubwa mpaka kutishiana kuuana Hali iliyomfanya Mkiti huyo kukimbilia Polisi na Diwani huyo kuswekwa ndani.

OCD alipoulizwa jambo hili amesema Viongozi hao wanatia Aibu sana amepanga kuwaita Wazee ili kuwapatanisha ili kilichopatikana wagawane pasu ugomvi uishe.

Wengine walionufaika na Mipesa ya Mhindi huyo ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambae amekuwa Mtetezi wake, Mwenezi wa CCM wilaya, Mkiti wa Vijana na baadhi ya wapambe wa Mitaani, wote hao wamekuwa wakipokea Mgao toka kwa Ndugu Suleimani Nassoro Agent wa Mpesa Bunda Mjini.

Uongozi wa CCM wilaya ya Bunda utavunjana Shingo kwa kupenda Rushwa, Umulikwe kwa jicho la Tatu.
CCM ijifunze na somo la kutowaingiza wafanyabiashara wakubwa kwenye siasa.
Watu watanunuliwa tu.
 
Wafuasi wa Mgombea Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma, wametupiana maneno na kutishana kuuana kwa Risasi, Wafuasi hao ni Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda Justine Lukaka ambae ni mbeba mikoba ya Muhindi huyo na amenukuliwa kila mara akisema "anae Mgombea wake kichwani mwenye ngozi nyeupe" Aliyasema hayo akiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM wilaya hivi karibuni.

Na Mwingine ni Diwani wa Kata ya Kabarimu Pastory Ncheye ambaye ametisha kumuua Mkiti huyo kwasababu amekuwa anakula peke yake Mgao wa Mamilioni yanayotolewa na Mwanza Huduma.

Hivi karibuni Mwanza Huduma alitoa Mamilioni kwa Wafuasi wake ili kudhamini sherehe za CCM Mkoa wa Mara zilizofanyika Bunda lakini wajanja wachache wakazila na kuwasilisha laki nne tu.

Na walipodaiwa Listi walisema wataitoa baadae.
Mwanza Huduma alitoa Milioni kumi ili kujenga Choo ya CCM Wilaya lakini Mwenyekiti Justine Lukaka amejenga choo ya Thamani ya Laki 7 yenye tundu moja tu.

Baadae Mtia nia huyo alitoa Taa za kuwekwa barabarani na kupokelewa na Chama cha Mapinduzi kinyume na utaratibu na bado hakuna hatua zilizochukuliwa.

Ulaji huu bila kumgawia Mfuasi huyo ameleta ugomvi mkubwa mpaka kutishiana kuuana Hali iliyomfanya Mkiti huyo kukimbilia Polisi na Diwani huyo kuswekwa ndani.

OCD alipoulizwa jambo hili amesema Viongozi hao wanatia Aibu sana amepanga kuwaita Wazee ili kuwapatanisha ili kilichopatikana wagawane pasu ugomvi uishe.

Wengine walionufaika na Mipesa ya Mhindi huyo ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambae amekuwa Mtetezi wake, Mwenezi wa CCM wilaya, Mkiti wa Vijana na baadhi ya wapambe wa Mitaani, wote hao wamekuwa wakipokea Mgao toka kwa Ndugu Suleimani Nassoro Agent wa Mpesa Bunda Mjini.

Uongozi wa CCM wilaya ya Bunda utavunjana Shingo kwa kupenda Rushwa, Umulikwe kwa jicho la Tatu.


Duh!
jama katia mfukoni serekali na chama hapo bunda inaonekana.
 
Wafuasi wa Mgombea Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma, wametupiana maneno na kutishana kuuana kwa Risasi, Wafuasi hao ni Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda Justine Lukaka ambae ni mbeba mikoba ya Muhindi huyo na amenukuliwa kila mara akisema "anae Mgombea wake kichwani mwenye ngozi nyeupe" Aliyasema hayo akiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM wilaya hivi karibuni.

Na Mwingine ni Diwani wa Kata ya Kabarimu Pastory Ncheye ambaye ametisha kumuua Mkiti huyo kwasababu amekuwa anakula peke yake Mgao wa Mamilioni yanayotolewa na Mwanza Huduma.

Hivi karibuni Mwanza Huduma alitoa Mamilioni kwa Wafuasi wake ili kudhamini sherehe za CCM Mkoa wa Mara zilizofanyika Bunda lakini wajanja wachache wakazila na kuwasilisha laki nne tu.

Na walipodaiwa Listi walisema wataitoa baadae.
Mwanza Huduma alitoa Milioni kumi ili kujenga Choo ya CCM Wilaya lakini Mwenyekiti Justine Lukaka amejenga choo ya Thamani ya Laki 7 yenye tundu moja tu.

Baadae Mtia nia huyo alitoa Taa za kuwekwa barabarani na kupokelewa na Chama cha Mapinduzi kinyume na utaratibu na bado hakuna hatua zilizochukuliwa.

Ulaji huu bila kumgawia Mfuasi huyo ameleta ugomvi mkubwa mpaka kutishiana kuuana Hali iliyomfanya Mkiti huyo kukimbilia Polisi na Diwani huyo kuswekwa ndani.

OCD alipoulizwa jambo hili amesema Viongozi hao wanatia Aibu sana amepanga kuwaita Wazee ili kuwapatanisha ili kilichopatikana wagawane pasu ugomvi uishe.

Wengine walionufaika na Mipesa ya Mhindi huyo ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambae amekuwa Mtetezi wake, Mwenezi wa CCM wilaya, Mkiti wa Vijana na baadhi ya wapambe wa Mitaani, wote hao wamekuwa wakipokea Mgao toka kwa Ndugu Suleimani Nassoro Agent wa Mpesa Bunda Mjini.

Uongozi wa CCM wilaya ya Bunda utavunjana Shingo kwa kupenda Rushwa, Umulikwe kwa jicho la Tatu.
CCM ni kansa ya nchi
 
Wafuasi wa Mgombea Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma, wametupiana maneno na kutishana kuuana kwa Risasi, Wafuasi hao ni Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda Justine Lukaka ambae ni mbeba mikoba ya Muhindi huyo na amenukuliwa kila mara akisema "anae Mgombea wake kichwani mwenye ngozi nyeupe" Aliyasema hayo akiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM wilaya hivi karibuni.

Na Mwingine ni Diwani wa Kata ya Kabarimu Pastory Ncheye ambaye ametisha kumuua Mkiti huyo kwasababu amekuwa anakula peke yake Mgao wa Mamilioni yanayotolewa na Mwanza Huduma.

Hivi karibuni Mwanza Huduma alitoa Mamilioni kwa Wafuasi wake ili kudhamini sherehe za CCM Mkoa wa Mara zilizofanyika Bunda lakini wajanja wachache wakazila na kuwasilisha laki nne tu.

Na walipodaiwa Listi walisema wataitoa baadae.
Mwanza Huduma alitoa Milioni kumi ili kujenga Choo ya CCM Wilaya lakini Mwenyekiti Justine Lukaka amejenga choo ya Thamani ya Laki 7 yenye tundu moja tu.

Baadae Mtia nia huyo alitoa Taa za kuwekwa barabarani na kupokelewa na Chama cha Mapinduzi kinyume na utaratibu na bado hakuna hatua zilizochukuliwa.

Ulaji huu bila kumgawia Mfuasi huyo ameleta ugomvi mkubwa mpaka kutishiana kuuana Hali iliyomfanya Mkiti huyo kukimbilia Polisi na Diwani huyo kuswekwa ndani.

OCD alipoulizwa jambo hili amesema Viongozi hao wanatia Aibu sana amepanga kuwaita Wazee ili kuwapatanisha ili kilichopatikana wagawane pasu ugomvi uishe.

Wengine walionufaika na Mipesa ya Mhindi huyo ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambae amekuwa Mtetezi wake, Mwenezi wa CCM wilaya, Mkiti wa Vijana na baadhi ya wapambe wa Mitaani, wote hao wamekuwa wakipokea Mgao toka kwa Ndugu Suleimani Nassoro Agent wa Mpesa Bunda Mjini.

Uongozi wa CCM wilaya ya Bunda utavunjana Shingo kwa kupenda Rushwa, Umulikwe kwa jicho la Tatu.
Listi ndio nini?
 
Wafuasi wa Mgombea Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma, wametupiana maneno na kutishana kuuana kwa Risasi, Wafuasi hao ni Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda Justine Lukaka ambae ni mbeba mikoba ya Muhindi huyo na amenukuliwa kila mara akisema "anae Mgombea wake kichwani mwenye ngozi nyeupe" Aliyasema hayo akiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM wilaya hivi karibuni.

Na Mwingine ni Diwani wa Kata ya Kabarimu Pastory Ncheye ambaye ametisha kumuua Mkiti huyo kwasababu amekuwa anakula peke yake Mgao wa Mamilioni yanayotolewa na Mwanza Huduma.

Hivi karibuni Mwanza Huduma alitoa Mamilioni kwa Wafuasi wake ili kudhamini sherehe za CCM Mkoa wa Mara zilizofanyika Bunda lakini wajanja wachache wakazila na kuwasilisha laki nne tu.

Na walipodaiwa Listi walisema wataitoa baadae.
Mwanza Huduma alitoa Milioni kumi ili kujenga Choo ya CCM Wilaya lakini Mwenyekiti Justine Lukaka amejenga choo ya Thamani ya Laki 7 yenye tundu moja tu.

Baadae Mtia nia huyo alitoa Taa za kuwekwa barabarani na kupokelewa na Chama cha Mapinduzi kinyume na utaratibu na bado hakuna hatua zilizochukuliwa.

Ulaji huu bila kumgawia Mfuasi huyo ameleta ugomvi mkubwa mpaka kutishiana kuuana Hali iliyomfanya Mkiti huyo kukimbilia Polisi na Diwani huyo kuswekwa ndani.

OCD alipoulizwa jambo hili amesema Viongozi hao wanatia Aibu sana amepanga kuwaita Wazee ili kuwapatanisha ili kilichopatikana wagawane pasu ugomvi uishe.

Wengine walionufaika na Mipesa ya Mhindi huyo ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambae amekuwa Mtetezi wake, Mwenezi wa CCM wilaya, Mkiti wa Vijana na baadhi ya wapambe wa Mitaani, wote hao wamekuwa wakipokea Mgao toka kwa Ndugu Suleimani Nassoro Agent wa Mpesa Bunda Mjini.

Uongozi wa CCM wilaya ya Bunda utavunjana Shingo kwa kupenda Rushwa, Umulikwe kwa jicho la Tatu.
Wauane maccm

Hayana maana altogether!
 
Wafuasi wa Mgombea Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma, wametupiana maneno na kutishana kuuana kwa Risasi, Wafuasi hao ni Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda Justine Lukaka ambae ni mbeba mikoba ya Muhindi huyo na amenukuliwa kila mara akisema "anae Mgombea wake kichwani mwenye ngozi nyeupe" Aliyasema hayo akiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM wilaya hivi karibuni.

Na Mwingine ni Diwani wa Kata ya Kabarimu Pastory Ncheye ambaye ametisha kumuua Mkiti huyo kwasababu amekuwa anakula peke yake Mgao wa Mamilioni yanayotolewa na Mwanza Huduma.

Hivi karibuni Mwanza Huduma alitoa Mamilioni kwa Wafuasi wake ili kudhamini sherehe za CCM Mkoa wa Mara zilizofanyika Bunda lakini wajanja wachache wakazila na kuwasilisha laki nne tu.

Na walipodaiwa Listi walisema wataitoa baadae.
Mwanza Huduma alitoa Milioni kumi ili kujenga Choo ya CCM Wilaya lakini Mwenyekiti Justine Lukaka amejenga choo ya Thamani ya Laki 7 yenye tundu moja tu.

Baadae Mtia nia huyo alitoa Taa za kuwekwa barabarani na kupokelewa na Chama cha Mapinduzi kinyume na utaratibu na bado hakuna hatua zilizochukuliwa.

Ulaji huu bila kumgawia Mfuasi huyo ameleta ugomvi mkubwa mpaka kutishiana kuuana Hali iliyomfanya Mkiti huyo kukimbilia Polisi na Diwani huyo kuswekwa ndani.

OCD alipoulizwa jambo hili amesema Viongozi hao wanatia Aibu sana amepanga kuwaita Wazee ili kuwapatanisha ili kilichopatikana wagawane pasu ugomvi uishe.

Wengine walionufaika na Mipesa ya Mhindi huyo ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambae amekuwa Mtetezi wake, Mwenezi wa CCM wilaya, Mkiti wa Vijana na baadhi ya wapambe wa Mitaani, wote hao wamekuwa wakipokea Mgao toka kwa Ndugu Suleimani Nassoro Agent wa Mpesa Bunda Mjini.

Uongozi wa CCM wilaya ya Bunda utavunjana Shingo kwa kupenda Rushwa, Umulikwe kwa jicho la Tatu.
NA BADOOOOO MTASEMA YOOOTEE

MNAZIDIANA NDIO MNAPIGA KELELE MKIW AKWENYE MGAO SALAMA HAMJI HUKUUU MTUCHEKBISAA WAUWANE TU
 
Kuna kipindi nilikuwa India nikauliza kama waliwahi kumpata mbunge au mwenyekiti wa mtaa kutoka Afrika wakanishangaa sana

In God we Trust
hawa hawakutoka India wamezaliwa hapahapa TZ.huwezi kupata mmatumbi kazaliwa na kukulia India
walienda kufanya nini sweken huko!
 
Wafuasi wa Mgombea Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma, wametupiana maneno na kutishana kuuana kwa Risasi, Wafuasi hao ni Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda Justine Lukaka ambae ni mbeba mikoba ya Muhindi huyo na amenukuliwa kila mara akisema "anae Mgombea wake kichwani mwenye ngozi nyeupe" Aliyasema hayo akiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM wilaya hivi karibuni.

Na Mwingine ni Diwani wa Kata ya Kabarimu Pastory Ncheye ambaye ametisha kumuua Mkiti huyo kwasababu amekuwa anakula peke yake Mgao wa Mamilioni yanayotolewa na Mwanza Huduma.

Hivi karibuni Mwanza Huduma alitoa Mamilioni kwa Wafuasi wake ili kudhamini sherehe za CCM Mkoa wa Mara zilizofanyika Bunda lakini wajanja wachache wakazila na kuwasilisha laki nne tu.

Na walipodaiwa Listi walisema wataitoa baadae.
Mwanza Huduma alitoa Milioni kumi ili kujenga Choo ya CCM Wilaya lakini Mwenyekiti Justine Lukaka amejenga choo ya Thamani ya Laki 7 yenye tundu moja tu.

Baadae Mtia nia huyo alitoa Taa za kuwekwa barabarani na kupokelewa na Chama cha Mapinduzi kinyume na utaratibu na bado hakuna hatua zilizochukuliwa.

Ulaji huu bila kumgawia Mfuasi huyo ameleta ugomvi mkubwa mpaka kutishiana kuuana Hali iliyomfanya Mkiti huyo kukimbilia Polisi na Diwani huyo kuswekwa ndani.

OCD alipoulizwa jambo hili amesema Viongozi hao wanatia Aibu sana amepanga kuwaita Wazee ili kuwapatanisha ili kilichopatikana wagawane pasu ugomvi uishe.

Wengine walionufaika na Mipesa ya Mhindi huyo ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambae amekuwa Mtetezi wake, Mwenezi wa CCM wilaya, Mkiti wa Vijana na baadhi ya wapambe wa Mitaani, wote hao wamekuwa wakipokea Mgao toka kwa Ndugu Suleimani Nassoro Agent wa Mpesa Bunda Mjini.

Uongozi wa CCM wilaya ya Bunda utavunjana Shingo kwa kupenda Rushwa, Umulikwe kwa jicho la Tatu.
Watajuana wenyewe huko huko!
 
Wafuasi wa Mgombea Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma, wametupiana maneno na kutishana kuuana kwa Risasi, Wafuasi hao ni Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda Justine Lukaka ambae ni mbeba mikoba ya Muhindi huyo na amenukuliwa kila mara akisema "anae Mgombea wake kichwani mwenye ngozi nyeupe" Aliyasema hayo akiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM wilaya hivi karibuni.

Na Mwingine ni Diwani wa Kata ya Kabarimu Pastory Ncheye ambaye ametisha kumuua Mkiti huyo kwasababu amekuwa anakula peke yake Mgao wa Mamilioni yanayotolewa na Mwanza Huduma.

Hivi karibuni Mwanza Huduma alitoa Mamilioni kwa Wafuasi wake ili kudhamini sherehe za CCM Mkoa wa Mara zilizofanyika Bunda lakini wajanja wachache wakazila na kuwasilisha laki nne tu.

Na walipodaiwa Listi walisema wataitoa baadae.
Mwanza Huduma alitoa Milioni kumi ili kujenga Choo ya CCM Wilaya lakini Mwenyekiti Justine Lukaka amejenga choo ya Thamani ya Laki 7 yenye tundu moja tu.

Baadae Mtia nia huyo alitoa Taa za kuwekwa barabarani na kupokelewa na Chama cha Mapinduzi kinyume na utaratibu na bado hakuna hatua zilizochukuliwa.

Ulaji huu bila kumgawia Mfuasi huyo ameleta ugomvi mkubwa mpaka kutishiana kuuana Hali iliyomfanya Mkiti huyo kukimbilia Polisi na Diwani huyo kuswekwa ndani.

OCD alipoulizwa jambo hili amesema Viongozi hao wanatia Aibu sana amepanga kuwaita Wazee ili kuwapatanisha ili kilichopatikana wagawane pasu ugomvi uishe.

Wengine walionufaika na Mipesa ya Mhindi huyo ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambae amekuwa Mtetezi wake, Mwenezi wa CCM wilaya, Mkiti wa Vijana na baadhi ya wapambe wa Mitaani, wote hao wamekuwa wakipokea Mgao toka kwa Ndugu Suleimani Nassoro Agent wa Mpesa Bunda Mjini.

Uongozi wa CCM wilaya ya Bunda utavunjana Shingo kwa kupenda Rushwa, Umulikwe kwa jicho la Tatu.
Watatoana roho mwaka huu...
Ukakasi ni "huyu muhindi, huyu jaluo, huyu mwarabu... huyu mwislamu, huyu mkristo, ngozi nyeusi, huyu ngozi nyeupe, huyu..." je utanzania au uafrika ni weusi pekee?
Huu ni aina ya utumwa wa fikra ambao umetudumaza sana na unatutafuna na ndio faida ya fisiemu.
 
hawa hawakutoka India wamezaliwa hapahapa TZ.huwezi kupata mmatumbi kazaliwa na kukulia India
walienda kufanya nini sweken huko!
kama ambavyo matumbi na wamakonde walivyotoka Msumbiji au Wanyasa - malawi, Nyakyusa - Zambia, Wachagga - Kenya, waIraq - Elitrea nk.
 
Back
Top Bottom