Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hii ndio CCM halisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kufufuka na kuanza kogombana na watu wazima.kashadanja mmoja na covid 19
View attachment 1455248
Ohoooo !kashadanja mmoja na covid 19
View attachment 1455248
Hongera kwa kufika India mkuu.
CCM ijifunze na somo la kutowaingiza wafanyabiashara wakubwa kwenye siasa.Wafuasi wa Mgombea Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma, wametupiana maneno na kutishana kuuana kwa Risasi, Wafuasi hao ni Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda Justine Lukaka ambae ni mbeba mikoba ya Muhindi huyo na amenukuliwa kila mara akisema "anae Mgombea wake kichwani mwenye ngozi nyeupe" Aliyasema hayo akiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM wilaya hivi karibuni.
Na Mwingine ni Diwani wa Kata ya Kabarimu Pastory Ncheye ambaye ametisha kumuua Mkiti huyo kwasababu amekuwa anakula peke yake Mgao wa Mamilioni yanayotolewa na Mwanza Huduma.
Hivi karibuni Mwanza Huduma alitoa Mamilioni kwa Wafuasi wake ili kudhamini sherehe za CCM Mkoa wa Mara zilizofanyika Bunda lakini wajanja wachache wakazila na kuwasilisha laki nne tu.
Na walipodaiwa Listi walisema wataitoa baadae.
Mwanza Huduma alitoa Milioni kumi ili kujenga Choo ya CCM Wilaya lakini Mwenyekiti Justine Lukaka amejenga choo ya Thamani ya Laki 7 yenye tundu moja tu.
Baadae Mtia nia huyo alitoa Taa za kuwekwa barabarani na kupokelewa na Chama cha Mapinduzi kinyume na utaratibu na bado hakuna hatua zilizochukuliwa.
Ulaji huu bila kumgawia Mfuasi huyo ameleta ugomvi mkubwa mpaka kutishiana kuuana Hali iliyomfanya Mkiti huyo kukimbilia Polisi na Diwani huyo kuswekwa ndani.
OCD alipoulizwa jambo hili amesema Viongozi hao wanatia Aibu sana amepanga kuwaita Wazee ili kuwapatanisha ili kilichopatikana wagawane pasu ugomvi uishe.
Wengine walionufaika na Mipesa ya Mhindi huyo ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambae amekuwa Mtetezi wake, Mwenezi wa CCM wilaya, Mkiti wa Vijana na baadhi ya wapambe wa Mitaani, wote hao wamekuwa wakipokea Mgao toka kwa Ndugu Suleimani Nassoro Agent wa Mpesa Bunda Mjini.
Uongozi wa CCM wilaya ya Bunda utavunjana Shingo kwa kupenda Rushwa, Umulikwe kwa jicho la Tatu.
Hehe Bavicha bwana.Hakuna haja ya kunipa hongera, mimi kwenda India naona sawa na kwenda kwetu Kakonko
Wafuasi wa Mgombea Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma, wametupiana maneno na kutishana kuuana kwa Risasi, Wafuasi hao ni Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda Justine Lukaka ambae ni mbeba mikoba ya Muhindi huyo na amenukuliwa kila mara akisema "anae Mgombea wake kichwani mwenye ngozi nyeupe" Aliyasema hayo akiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM wilaya hivi karibuni.
Na Mwingine ni Diwani wa Kata ya Kabarimu Pastory Ncheye ambaye ametisha kumuua Mkiti huyo kwasababu amekuwa anakula peke yake Mgao wa Mamilioni yanayotolewa na Mwanza Huduma.
Hivi karibuni Mwanza Huduma alitoa Mamilioni kwa Wafuasi wake ili kudhamini sherehe za CCM Mkoa wa Mara zilizofanyika Bunda lakini wajanja wachache wakazila na kuwasilisha laki nne tu.
Na walipodaiwa Listi walisema wataitoa baadae.
Mwanza Huduma alitoa Milioni kumi ili kujenga Choo ya CCM Wilaya lakini Mwenyekiti Justine Lukaka amejenga choo ya Thamani ya Laki 7 yenye tundu moja tu.
Baadae Mtia nia huyo alitoa Taa za kuwekwa barabarani na kupokelewa na Chama cha Mapinduzi kinyume na utaratibu na bado hakuna hatua zilizochukuliwa.
Ulaji huu bila kumgawia Mfuasi huyo ameleta ugomvi mkubwa mpaka kutishiana kuuana Hali iliyomfanya Mkiti huyo kukimbilia Polisi na Diwani huyo kuswekwa ndani.
OCD alipoulizwa jambo hili amesema Viongozi hao wanatia Aibu sana amepanga kuwaita Wazee ili kuwapatanisha ili kilichopatikana wagawane pasu ugomvi uishe.
Wengine walionufaika na Mipesa ya Mhindi huyo ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambae amekuwa Mtetezi wake, Mwenezi wa CCM wilaya, Mkiti wa Vijana na baadhi ya wapambe wa Mitaani, wote hao wamekuwa wakipokea Mgao toka kwa Ndugu Suleimani Nassoro Agent wa Mpesa Bunda Mjini.
Uongozi wa CCM wilaya ya Bunda utavunjana Shingo kwa kupenda Rushwa, Umulikwe kwa jicho la Tatu.
CCM ni kansa ya nchiWafuasi wa Mgombea Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma, wametupiana maneno na kutishana kuuana kwa Risasi, Wafuasi hao ni Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda Justine Lukaka ambae ni mbeba mikoba ya Muhindi huyo na amenukuliwa kila mara akisema "anae Mgombea wake kichwani mwenye ngozi nyeupe" Aliyasema hayo akiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM wilaya hivi karibuni.
Na Mwingine ni Diwani wa Kata ya Kabarimu Pastory Ncheye ambaye ametisha kumuua Mkiti huyo kwasababu amekuwa anakula peke yake Mgao wa Mamilioni yanayotolewa na Mwanza Huduma.
Hivi karibuni Mwanza Huduma alitoa Mamilioni kwa Wafuasi wake ili kudhamini sherehe za CCM Mkoa wa Mara zilizofanyika Bunda lakini wajanja wachache wakazila na kuwasilisha laki nne tu.
Na walipodaiwa Listi walisema wataitoa baadae.
Mwanza Huduma alitoa Milioni kumi ili kujenga Choo ya CCM Wilaya lakini Mwenyekiti Justine Lukaka amejenga choo ya Thamani ya Laki 7 yenye tundu moja tu.
Baadae Mtia nia huyo alitoa Taa za kuwekwa barabarani na kupokelewa na Chama cha Mapinduzi kinyume na utaratibu na bado hakuna hatua zilizochukuliwa.
Ulaji huu bila kumgawia Mfuasi huyo ameleta ugomvi mkubwa mpaka kutishiana kuuana Hali iliyomfanya Mkiti huyo kukimbilia Polisi na Diwani huyo kuswekwa ndani.
OCD alipoulizwa jambo hili amesema Viongozi hao wanatia Aibu sana amepanga kuwaita Wazee ili kuwapatanisha ili kilichopatikana wagawane pasu ugomvi uishe.
Wengine walionufaika na Mipesa ya Mhindi huyo ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambae amekuwa Mtetezi wake, Mwenezi wa CCM wilaya, Mkiti wa Vijana na baadhi ya wapambe wa Mitaani, wote hao wamekuwa wakipokea Mgao toka kwa Ndugu Suleimani Nassoro Agent wa Mpesa Bunda Mjini.
Uongozi wa CCM wilaya ya Bunda utavunjana Shingo kwa kupenda Rushwa, Umulikwe kwa jicho la Tatu.
Hehe Bavicha bwana.
CCM ni kansa ya nchi
NotedCC:Kipara kipya
Listi ndio nini?Wafuasi wa Mgombea Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma, wametupiana maneno na kutishana kuuana kwa Risasi, Wafuasi hao ni Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda Justine Lukaka ambae ni mbeba mikoba ya Muhindi huyo na amenukuliwa kila mara akisema "anae Mgombea wake kichwani mwenye ngozi nyeupe" Aliyasema hayo akiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM wilaya hivi karibuni.
Na Mwingine ni Diwani wa Kata ya Kabarimu Pastory Ncheye ambaye ametisha kumuua Mkiti huyo kwasababu amekuwa anakula peke yake Mgao wa Mamilioni yanayotolewa na Mwanza Huduma.
Hivi karibuni Mwanza Huduma alitoa Mamilioni kwa Wafuasi wake ili kudhamini sherehe za CCM Mkoa wa Mara zilizofanyika Bunda lakini wajanja wachache wakazila na kuwasilisha laki nne tu.
Na walipodaiwa Listi walisema wataitoa baadae.
Mwanza Huduma alitoa Milioni kumi ili kujenga Choo ya CCM Wilaya lakini Mwenyekiti Justine Lukaka amejenga choo ya Thamani ya Laki 7 yenye tundu moja tu.
Baadae Mtia nia huyo alitoa Taa za kuwekwa barabarani na kupokelewa na Chama cha Mapinduzi kinyume na utaratibu na bado hakuna hatua zilizochukuliwa.
Ulaji huu bila kumgawia Mfuasi huyo ameleta ugomvi mkubwa mpaka kutishiana kuuana Hali iliyomfanya Mkiti huyo kukimbilia Polisi na Diwani huyo kuswekwa ndani.
OCD alipoulizwa jambo hili amesema Viongozi hao wanatia Aibu sana amepanga kuwaita Wazee ili kuwapatanisha ili kilichopatikana wagawane pasu ugomvi uishe.
Wengine walionufaika na Mipesa ya Mhindi huyo ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambae amekuwa Mtetezi wake, Mwenezi wa CCM wilaya, Mkiti wa Vijana na baadhi ya wapambe wa Mitaani, wote hao wamekuwa wakipokea Mgao toka kwa Ndugu Suleimani Nassoro Agent wa Mpesa Bunda Mjini.
Uongozi wa CCM wilaya ya Bunda utavunjana Shingo kwa kupenda Rushwa, Umulikwe kwa jicho la Tatu.
Wauane maccmWafuasi wa Mgombea Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma, wametupiana maneno na kutishana kuuana kwa Risasi, Wafuasi hao ni Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda Justine Lukaka ambae ni mbeba mikoba ya Muhindi huyo na amenukuliwa kila mara akisema "anae Mgombea wake kichwani mwenye ngozi nyeupe" Aliyasema hayo akiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM wilaya hivi karibuni.
Na Mwingine ni Diwani wa Kata ya Kabarimu Pastory Ncheye ambaye ametisha kumuua Mkiti huyo kwasababu amekuwa anakula peke yake Mgao wa Mamilioni yanayotolewa na Mwanza Huduma.
Hivi karibuni Mwanza Huduma alitoa Mamilioni kwa Wafuasi wake ili kudhamini sherehe za CCM Mkoa wa Mara zilizofanyika Bunda lakini wajanja wachache wakazila na kuwasilisha laki nne tu.
Na walipodaiwa Listi walisema wataitoa baadae.
Mwanza Huduma alitoa Milioni kumi ili kujenga Choo ya CCM Wilaya lakini Mwenyekiti Justine Lukaka amejenga choo ya Thamani ya Laki 7 yenye tundu moja tu.
Baadae Mtia nia huyo alitoa Taa za kuwekwa barabarani na kupokelewa na Chama cha Mapinduzi kinyume na utaratibu na bado hakuna hatua zilizochukuliwa.
Ulaji huu bila kumgawia Mfuasi huyo ameleta ugomvi mkubwa mpaka kutishiana kuuana Hali iliyomfanya Mkiti huyo kukimbilia Polisi na Diwani huyo kuswekwa ndani.
OCD alipoulizwa jambo hili amesema Viongozi hao wanatia Aibu sana amepanga kuwaita Wazee ili kuwapatanisha ili kilichopatikana wagawane pasu ugomvi uishe.
Wengine walionufaika na Mipesa ya Mhindi huyo ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambae amekuwa Mtetezi wake, Mwenezi wa CCM wilaya, Mkiti wa Vijana na baadhi ya wapambe wa Mitaani, wote hao wamekuwa wakipokea Mgao toka kwa Ndugu Suleimani Nassoro Agent wa Mpesa Bunda Mjini.
Uongozi wa CCM wilaya ya Bunda utavunjana Shingo kwa kupenda Rushwa, Umulikwe kwa jicho la Tatu.
NA BADOOOOO MTASEMA YOOOTEEWafuasi wa Mgombea Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma, wametupiana maneno na kutishana kuuana kwa Risasi, Wafuasi hao ni Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda Justine Lukaka ambae ni mbeba mikoba ya Muhindi huyo na amenukuliwa kila mara akisema "anae Mgombea wake kichwani mwenye ngozi nyeupe" Aliyasema hayo akiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM wilaya hivi karibuni.
Na Mwingine ni Diwani wa Kata ya Kabarimu Pastory Ncheye ambaye ametisha kumuua Mkiti huyo kwasababu amekuwa anakula peke yake Mgao wa Mamilioni yanayotolewa na Mwanza Huduma.
Hivi karibuni Mwanza Huduma alitoa Mamilioni kwa Wafuasi wake ili kudhamini sherehe za CCM Mkoa wa Mara zilizofanyika Bunda lakini wajanja wachache wakazila na kuwasilisha laki nne tu.
Na walipodaiwa Listi walisema wataitoa baadae.
Mwanza Huduma alitoa Milioni kumi ili kujenga Choo ya CCM Wilaya lakini Mwenyekiti Justine Lukaka amejenga choo ya Thamani ya Laki 7 yenye tundu moja tu.
Baadae Mtia nia huyo alitoa Taa za kuwekwa barabarani na kupokelewa na Chama cha Mapinduzi kinyume na utaratibu na bado hakuna hatua zilizochukuliwa.
Ulaji huu bila kumgawia Mfuasi huyo ameleta ugomvi mkubwa mpaka kutishiana kuuana Hali iliyomfanya Mkiti huyo kukimbilia Polisi na Diwani huyo kuswekwa ndani.
OCD alipoulizwa jambo hili amesema Viongozi hao wanatia Aibu sana amepanga kuwaita Wazee ili kuwapatanisha ili kilichopatikana wagawane pasu ugomvi uishe.
Wengine walionufaika na Mipesa ya Mhindi huyo ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambae amekuwa Mtetezi wake, Mwenezi wa CCM wilaya, Mkiti wa Vijana na baadhi ya wapambe wa Mitaani, wote hao wamekuwa wakipokea Mgao toka kwa Ndugu Suleimani Nassoro Agent wa Mpesa Bunda Mjini.
Uongozi wa CCM wilaya ya Bunda utavunjana Shingo kwa kupenda Rushwa, Umulikwe kwa jicho la Tatu.
hawa hawakutoka India wamezaliwa hapahapa TZ.huwezi kupata mmatumbi kazaliwa na kukulia IndiaKuna kipindi nilikuwa India nikauliza kama waliwahi kumpata mbunge au mwenyekiti wa mtaa kutoka Afrika wakanishangaa sana
In God we Trust
Watajuana wenyewe huko huko!Wafuasi wa Mgombea Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma, wametupiana maneno na kutishana kuuana kwa Risasi, Wafuasi hao ni Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda Justine Lukaka ambae ni mbeba mikoba ya Muhindi huyo na amenukuliwa kila mara akisema "anae Mgombea wake kichwani mwenye ngozi nyeupe" Aliyasema hayo akiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM wilaya hivi karibuni.
Na Mwingine ni Diwani wa Kata ya Kabarimu Pastory Ncheye ambaye ametisha kumuua Mkiti huyo kwasababu amekuwa anakula peke yake Mgao wa Mamilioni yanayotolewa na Mwanza Huduma.
Hivi karibuni Mwanza Huduma alitoa Mamilioni kwa Wafuasi wake ili kudhamini sherehe za CCM Mkoa wa Mara zilizofanyika Bunda lakini wajanja wachache wakazila na kuwasilisha laki nne tu.
Na walipodaiwa Listi walisema wataitoa baadae.
Mwanza Huduma alitoa Milioni kumi ili kujenga Choo ya CCM Wilaya lakini Mwenyekiti Justine Lukaka amejenga choo ya Thamani ya Laki 7 yenye tundu moja tu.
Baadae Mtia nia huyo alitoa Taa za kuwekwa barabarani na kupokelewa na Chama cha Mapinduzi kinyume na utaratibu na bado hakuna hatua zilizochukuliwa.
Ulaji huu bila kumgawia Mfuasi huyo ameleta ugomvi mkubwa mpaka kutishiana kuuana Hali iliyomfanya Mkiti huyo kukimbilia Polisi na Diwani huyo kuswekwa ndani.
OCD alipoulizwa jambo hili amesema Viongozi hao wanatia Aibu sana amepanga kuwaita Wazee ili kuwapatanisha ili kilichopatikana wagawane pasu ugomvi uishe.
Wengine walionufaika na Mipesa ya Mhindi huyo ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambae amekuwa Mtetezi wake, Mwenezi wa CCM wilaya, Mkiti wa Vijana na baadhi ya wapambe wa Mitaani, wote hao wamekuwa wakipokea Mgao toka kwa Ndugu Suleimani Nassoro Agent wa Mpesa Bunda Mjini.
Uongozi wa CCM wilaya ya Bunda utavunjana Shingo kwa kupenda Rushwa, Umulikwe kwa jicho la Tatu.
Watatoana roho mwaka huu...Wafuasi wa Mgombea Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma, wametupiana maneno na kutishana kuuana kwa Risasi, Wafuasi hao ni Mkiti wa CCM Wilaya ya Bunda Justine Lukaka ambae ni mbeba mikoba ya Muhindi huyo na amenukuliwa kila mara akisema "anae Mgombea wake kichwani mwenye ngozi nyeupe" Aliyasema hayo akiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM wilaya hivi karibuni.
Na Mwingine ni Diwani wa Kata ya Kabarimu Pastory Ncheye ambaye ametisha kumuua Mkiti huyo kwasababu amekuwa anakula peke yake Mgao wa Mamilioni yanayotolewa na Mwanza Huduma.
Hivi karibuni Mwanza Huduma alitoa Mamilioni kwa Wafuasi wake ili kudhamini sherehe za CCM Mkoa wa Mara zilizofanyika Bunda lakini wajanja wachache wakazila na kuwasilisha laki nne tu.
Na walipodaiwa Listi walisema wataitoa baadae.
Mwanza Huduma alitoa Milioni kumi ili kujenga Choo ya CCM Wilaya lakini Mwenyekiti Justine Lukaka amejenga choo ya Thamani ya Laki 7 yenye tundu moja tu.
Baadae Mtia nia huyo alitoa Taa za kuwekwa barabarani na kupokelewa na Chama cha Mapinduzi kinyume na utaratibu na bado hakuna hatua zilizochukuliwa.
Ulaji huu bila kumgawia Mfuasi huyo ameleta ugomvi mkubwa mpaka kutishiana kuuana Hali iliyomfanya Mkiti huyo kukimbilia Polisi na Diwani huyo kuswekwa ndani.
OCD alipoulizwa jambo hili amesema Viongozi hao wanatia Aibu sana amepanga kuwaita Wazee ili kuwapatanisha ili kilichopatikana wagawane pasu ugomvi uishe.
Wengine walionufaika na Mipesa ya Mhindi huyo ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambae amekuwa Mtetezi wake, Mwenezi wa CCM wilaya, Mkiti wa Vijana na baadhi ya wapambe wa Mitaani, wote hao wamekuwa wakipokea Mgao toka kwa Ndugu Suleimani Nassoro Agent wa Mpesa Bunda Mjini.
Uongozi wa CCM wilaya ya Bunda utavunjana Shingo kwa kupenda Rushwa, Umulikwe kwa jicho la Tatu.
kama ambavyo matumbi na wamakonde walivyotoka Msumbiji au Wanyasa - malawi, Nyakyusa - Zambia, Wachagga - Kenya, waIraq - Elitrea nk.hawa hawakutoka India wamezaliwa hapahapa TZ.huwezi kupata mmatumbi kazaliwa na kukulia India
walienda kufanya nini sweken huko!
Je Tyson ndiye anayefaa!!???Mwanza Huduma hafai kuwa Mbunge wa Bunda mjini na nia yake ni kulinda biashara zake.
hawa hawakutoka India wamezaliwa hapahapa TZ.huwezi kupata mmatumbi kazaliwa na kukulia India
walienda kufanya nini sweken huko!