Wafuasi wa Mwendazake wamemwaga ugali, na wa Mama wamemwaga mboga, sasa ni kuvujisha tu siri

Wafuasi wa Mwendazake wamemwaga ugali, na wa Mama wamemwaga mboga, sasa ni kuvujisha tu siri

CHama cha Mafisadi, hivi sasa kiko katika mgawanyiko baina ya wafuasi wa Mwenfazake, na wafuasi wa Mama, na matokeo yake ni chuki iliyopo baina ya pande hizi mbili na chuki hii ndio chanzo cha kuvuja kwa mambo kadhaa ya siri tunayoyasikia sass(vita ya panzi).

Wakati watu wengi wanaamini ile document imevujishwa na mzalendo, binafsi naamini aliefanya hivyo ni wa kundi la Mwendake na alisukumwa zaidi na chuki iliyopo baina ya makundi haya mawili.

Kwa msingi huo huo, bomu alilolipua Lissu Leo huenda nalo ni matokeo ya chuki baina ya makundi haya mawili na kundi husika limempa siri Lissu kama kulipiza kisasi kwa kuvujisha ile document ya. Waarabu.

Kimsingi, kinachoendelea ndani ya chama hiki ni sawa na vita ya panzi faida kwa kunguru (wapinzani).

Msitegemee Lissu ataropoka jambo zito kama hili pasipo kuwa na ushahidi na huenda hata picha za alichokisema teyari anazo sambamba na ushahidi mwingine.

Kingine ni kuwa, kama kaibiwa siri, msitarajie aongee kwa kusema ana ushahidi bali atazuga kwa kuongea kama mtu anaesikia tu ila teyari ameshapewa ushahidi muhimu.

Muda utathibitisha.
Lisuu amesema nin kwani
 
Kwa msingi huo huo, bomu alilolipua Lissu Leo huenda nalo ni matokeo ya chuki baina ya makundi haya mawili na kundi husika limempa siri Lissu kama kulipiza kisasi kwa kuvujisha ile document ya. Waarabu.
Hii nilisikia zamani kidogo kwamba Mama magufuli alirudisha baadhi ya fedha kwa Chief hangaya alizokuwa nazo ndani.
 
Wapenzi wa Magufuli ni kundi kubwa ambalo CDM inaweza kulitumia kimkakati 2025. Lissu hana hekima ya kupima nini cha kuongea na nini cha kutoongea.

CCM wanalijua hilo, anapaswa kuwa makini na taarifa anazopewa. Anaishia kulishwa matango pori kimkakati.
Binafsi amkubali lissu ila akimgusa Magu narudi nyuma kinyumenyume. Sasa sijui tuko wangapi.
 
CHama cha Mafisadi, hivi sasa kiko katika mgawanyiko baina ya wafuasi wa Mwenfazake, na wafuasi wa Mama, na matokeo yake ni chuki iliyopo baina ya pande hizi mbili na chuki hii ndio chanzo cha kuvuja kwa mambo kadhaa ya siri tunayoyasikia sass(vita ya panzi).

Wakati watu wengi wanaamini ile document imevujishwa na mzalendo, binafsi naamini aliefanya hivyo ni wa kundi la Mwendake na alisukumwa zaidi na chuki iliyopo baina ya makundi haya mawili.

Kwa msingi huo huo, bomu alilolipua Lissu Leo huenda nalo ni matokeo ya chuki baina ya makundi haya mawili na kundi husika limempa siri Lissu kama kulipiza kisasi kwa kuvujisha ile document ya. Waarabu.

Kimsingi, kinachoendelea ndani ya chama hiki ni sawa na vita ya panzi faida kwa kunguru (wapinzani).

Msitegemee Lissu ataropoka jambo zito kama hili pasipo kuwa na ushahidi na huenda hata picha za alichokisema teyari anazo sambamba na ushahidi mwingine.

Kingine ni kuwa, kama kaibiwa siri, msitarajie aongee kwa kusema ana ushahidi bali atazuga kwa kuongea kama mtu anaesikia tu ila teyari ameshapewa ushahidi muhimu.

Muda utathibitisha.

Ungeweka basi na hiko alichokisema lissu, sasa unaanza kutupa kazi ya kutafuta Lissu amesema nini.
 
Wapenzi wa Magufuli ni kundi kubwa ambalo CDM inaweza kulitumia kimkakati 2025. Lissu hana hekima ya kupima nini cha kuongea na nini cha kutoongea.

CCM wanalijua hilo, anapaswa kuwa makini na taarifa anazopewa. Anaishia kulishwa matango pori kimkakati.
Mkuu ulienda Chato ukaona jinsi watu walivyouawa Rubondo ? Magufuli hana wala hajawahi kuwa na wafuasi , ni porojo za Mataga .

2014 wakati wa Uchaguzi wa serikali za mitaa CHADEMA ilishinda vijiji vyote kikiwemo kijiji alichokuwa anaishi Magufuli , wakati huo akiwa Waziri mwandamizi , kuungwa mkono kaanza lini ?
 
kwa hiyo it’s not about Bandari zetu tena? Wengi wenu hamjui kwamba Tundu Lisu is the devil, ukimuona anapiga kelele ujue ameachwa kwenye wizi kuna kipindi alimuandama makamba wamamkatia hela akakaa kimya sasa hivi akina rostamu waliamuacha kwenye wizi wa bandari hawakumpa hela akafungua domo kuwatukana wamemtuliza na hela na ndo maana alienda Ulaya aliporudi kageuka kaanza kumtukana Magufuli na siyo kuuzwa kwa Bandari tena kwa na mkataba wa milele, sasa ni Magufuli ndio anaandamwa…

Tundu Lisu evil lkn ipo siku ataingia kwenye 18 za akina rwanda ndio atajua, undumila kuwili huwezi kuwin siku zote ipo siku yake …
Huyo evil kama siyo Devil atakuwa baba Yako kwanza hujawahi kuwa na adabu weye
 
CHama cha Mafisadi, hivi sasa kiko katika mgawanyiko baina ya wafuasi wa Mwenfazake, na wafuasi wa Mama, na matokeo yake ni chuki iliyopo baina ya pande hizi mbili na chuki hii ndio chanzo cha kuvuja kwa mambo kadhaa ya siri tunayoyasikia sass(vita ya panzi).

Wakati watu wengi wanaamini ile document imevujishwa na mzalendo, binafsi naamini aliefanya hivyo ni wa kundi la Mwendake na alisukumwa zaidi na chuki iliyopo baina ya makundi haya mawili.

Kwa msingi huo huo, bomu alilolipua Lissu Leo huenda nalo ni matokeo ya chuki baina ya makundi haya mawili na kundi husika limempa siri Lissu kama kulipiza kisasi kwa kuvujisha ile document ya. Waarabu.

Kimsingi, kinachoendelea ndani ya chama hiki ni sawa na vita ya panzi faida kwa kunguru (wapinzani).

Msitegemee Lissu ataropoka jambo zito kama hili pasipo kuwa na ushahidi na huenda hata picha za alichokisema teyari anazo sambamba na ushahidi mwingine.

Kingine ni kuwa, kama kaibiwa siri, msitarajie aongee kwa kusema ana ushahidi bali atazuga kwa kuongea kama mtu anaesikia tu ila teyari ameshapewa ushahidi muhimu.

Muda utathibitisha.
Nia ya kusema uongo tunayo na uwezo wa kusema uongo tunayo mwisho wa kunuku
 
kwa hiyo it’s not about Bandari zetu tena? Wengi wenu hamjui kwamba Tundu Lisu is the devil, ukimuona anapiga kelele ujue ameachwa kwenye wizi kuna kipindi alimuandama makamba wamamkatia hela akakaa kimya sasa hivi akina rostamu waliamuacha kwenye wizi wa bandari hawakumpa hela akafungua domo kuwatukana wamemtuliza na hela na ndo maana alienda Ulaya aliporudi kageuka kaanza kumtukana Magufuli na siyo kuuzwa kwa Bandari tena kwa na mkataba wa milele, sasa ni Magufuli ndio anaandamwa…

Tundu Lisu evil lkn ipo siku ataingia kwenye 18 za akina rwanda ndio atajua, undumila kuwili huwezi kuwin siku zote ipo siku yake …
Thibitisha
 
kwa hiyo it’s not about Bandari zetu tena? Wengi wenu hamjui kwamba Tundu Lisu is the devil, ukimuona anapiga kelele ujue ameachwa kwenye wizi kuna kipindi alimuandama makamba wamamkatia hela akakaa kimya sasa hivi akina rostamu waliamuacha kwenye wizi wa bandari hawakumpa hela akafungua domo kuwatukana wamemtuliza na hela na ndo maana alienda Ulaya aliporudi kageuka kaanza kumtukana Magufuli na siyo kuuzwa kwa Bandari tena kwa na mkataba wa milele, sasa ni Magufuli ndio anaandamwa…

Tundu Lisu evil lkn ipo siku ataingia kwenye 18 za akina rwanda ndio atajua, undumila kuwili huwezi kuwin siku zote ipo siku yake …


*Kijakazi"
 
CHama cha Mafisadi, hivi sasa kiko katika mgawanyiko baina ya wafuasi wa Mwenfazake, na wafuasi wa Mama, na matokeo yake ni chuki iliyopo baina ya pande hizi mbili na chuki hii ndio chanzo cha kuvuja kwa mambo kadhaa ya siri tunayoyasikia sass(vita ya panzi).

Wakati watu wengi wanaamini ile document imevujishwa na mzalendo, binafsi naamini aliefanya hivyo ni wa kundi la Mwendake na alisukumwa zaidi na chuki iliyopo baina ya makundi haya mawili.

Kwa msingi huo huo, bomu alilolipua Lissu Leo huenda nalo ni matokeo ya chuki baina ya makundi haya mawili na kundi husika limempa siri Lissu kama kulipiza kisasi kwa kuvujisha ile document ya. Waarabu.

Kimsingi, kinachoendelea ndani ya chama hiki ni sawa na vita ya panzi faida kwa kunguru (wapinzani).

Msitegemee Lissu ataropoka jambo zito kama hili pasipo kuwa na ushahidi na huenda hata picha za alichokisema teyari anazo sambamba na ushahidi mwingine.

Kingine ni kuwa, kama kaibiwa siri, msitarajie aongee kwa kusema ana ushahidi bali atazuga kwa kuongea kama mtu anaesikia tu ila teyari ameshapewa ushahidi muhimu.

Muda utathibitisha.
Kimsingi, kinachoendelea ndani ya chama hiki ni sawa na vita ya panzi faida kwa kunguru (wapinzani).[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapenzi wa Magufuli ni kundi kubwa ambalo CDM inaweza kulitumia kimkakati 2025. Lissu hana hekima ya kupima nini cha kuongea na nini cha kutoongea.

CCM wanalijua hilo, anapaswa kuwa makini na taarifa anazopewa. Anaishia kulishwa matango pori kimkakati.
Hili jambo kuna thread nilichangia kuna wapuuzi wakaninanga sana mie nilitoa analysis kama hii kwamba hizi taarifa wanampa ili aropoke tu hajui namna ya kuzitumia. Huwezi leo kwenda Zanzibar ukaongee negatity against Samia ukadhani ndio watakupa umaarufu sanasana watakusikiliza na kukuona mwehu sasa ndio alichokifanya Lissu kule Chato.

Nilitarajia angehutubia ishu za katiba mpya, ufisadi wa ccm pamoja na mkataba wa DP, mambo ya magu angeyachunia hiyo sio vita yake kwa sasa maana anawasaidia team samia kupita ile ngome maana wao wakienda wanabutua kwamba fulani na fulani kwa kushirikiana na chadema ndio wanamchafua Magu ambaye ndio kiongozi watu wa huko wanampenda na ili upate kura zao lazima umkubali.

Hapo mchezo unakuwa rahisi sana. Lissu kuna documents anapaswa kuzipokea ila hizo vita asikubali kuzipigana sio yake maana yake ilishaisha na akasema amemsamehe.
 
Wapenzi wa Magufuli ni kundi kubwa ambalo CDM inaweza kulitumia kimkakati 2025. Lissu hana hekima ya kupima nini cha kuongea na nini cha kutoongea.

CCM wanalijua hilo, anapaswa kuwa makini na taarifa anazopewa. Anaishia kulishwa matango pori kimkakati.
Haina haja kuungwa mkono na waovu.
Hata Lowasa alikuja na kundi lake la hovyo.
 
Lissu kwa sasa hajui vita anayopigana. Hayuko focused. Kimsingi hajui aanze na nini kisha ni wakati gani amalize na nini
In short kule kanda ya ziwa amezingua sana mie hata kama simkubali Jiwe kiukweli strategy ya kwenda kuhiji kaburi ilikuwa safi sana ila baada ya hapo anaanza kumkandia mbele ya watu wa kulekule ambao ni wafuasi wa siasa za Jiwe aisee amechemka.

Ametumika kupigana vita isiyo yake jamaa alienda akawaeleze ishu za DPW na mambo ya katiba hii ilikuwa directly ni mtaji kwa sukuma gang sasa nae akapewa ishu za marehemu akajikuta anatumika kulipua sukuma gang ambapo hii vita ni makundi ya CCM yeye kawalainishia SSH group wakienda kule wanawataja waliovujisha kwa upinzani 😀😀
 
Juzi niliandika huu uzi

Kuna baadhi ya nyumba zina micro finance ndani yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom