Wafuasi wa Tundu Lissu wamejaa uoga na uzandiki!

Wafuasi wa Tundu Lissu wamejaa uoga na uzandiki!

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Baada ya Lissu kutangaza nia na kuchukua fomu wafuasi wake na wanaharakati walianza kupiga mayowe na kuanza kumsifia Lissu kuwa ndie mwamba.

Mbowe hasitahili kugombea tena hata haijulikani nani aliwapa taarifa Lissu na akaanza mashambulizi ya kejeli huku akisema ndio demokrasia uongozi bora uwe na ukomo.

Phaaaap ngingoooo Zombie katokea muheshimiwa sana Mbowe imekuwa ni ndoto mbaya shambulizi baya la kushtukiza hawakutarajia wao walijua Lissu atapita kwa kura za ndio.

Sasa hivi wanaharakati na wafuasi wa lissu ndio utagundua hawana akili kila mmoja anajisemea tu mitandao yote wengine eti wanajitoa chadema ili hali hawajawahi kupiga kura wapo nje ya nchi wamechukua uraia wa nchi nyingine hawana sifa kichekesho ni kuwa Lissu yupo kimya ila wanashauri ujinga kwa lissu ahame aunde chama chake tujikumbushe watu hao hao hawajahi kutoka kwenye maandamano wala kupiga kura hata lissu alipowaita watoke barabarani.

Tulishuhudia lissu akiokolewa kupewa hifadhi kwenye chumba cha store ubalozi wa ujerumani hatukuwaona wanaharakati wakitoa msaada.

Swali ni je kwa akili zenu mbaya wafuasi wa Lissu mlitaka Mbowe ajitoe ili Lissu asipate mpinzani?

Ondokeni nyote muacheni Mbowe kwanza sio wana mageuzi ila watoa maoni mafichoni!

Subirini Lissu anyooshwe maana tamaa
Dj Mbowe wawekee wimbo wa mtoto kautaka maalumu kwa Lissu wanaharakati na wafuasi vimbembele!
 
Kwa hili tupo pamoja,

 
Ni ngumu sana lissu kushida huu uchaguzi ndani ya chama kwakuwa kuna ule mtandao wa watu watiifu ambao ni wanachama daraja la kwanza (wajumbe wa kamati kuu).
Lakini tukija kwenye mahitaji ya chama kwa nyakati hizi hasa kuelekea uchaguzi mkuu lissu alifaa zaidi hasa kwa ajenda yake ya kuhitaji mabadiliiko ya katiba mpya na mfumo wa wazi wa uchaguzi kabla ya 2025.
Genge la mbowe kina sugu wapo pale kuwinda kurudi bungeni kama watashida uchaguzi 2025 hawana cha maana.

Wananchi wanapenda mabadiliko katika namna fulani ,ndio maana hayati lowasa alituzungusha sana mikono uchaguzi ule mkuu na nina imani alishida kabisa lakini mfumo mbovu wa uchaguzi ukatoa matokeo tofauti.
 
Mbowe ana backup ya serikeli na CCM, we unadhani atashindwa?
Lissu atashindwa kwa gharama yoyote ile,serikali ya CCM itatumia hata bilioni kadhaa,kuhakikisha Lissu hashindi,juilize kwanini.
Lissu alitakiwa kuzungumza na Mbowe sio kama alivyokurupuka kwa kuingizwa mkenge na watu wasio na mchango wowote ndani ya chadema hakuna serikali wala nini ni uzushi tu na kutafuta huruma!
 
Ni ngumu sana lissu kushida huu uchaguzi ndani ya chama kwakuwa kuna ule mtandao wa watu watiifu ambao ni wanachama daraja la kwanza (wajumbe wa kamati kuu).
Lakini tukija kwenye mahitaji ya chama kwa nyakati hizi hasa kuelekea uchaguzi mkuu lissu alifaa zaidi hasa kwa ajenda yake ya kuhitaji mabadiliiko ya katiba mpya na mfumo wa wazi wa uchaguzi kabla ya 2025.
Genge la mbowe kina sugu wapo pale kuwinda kurudi bungeni kama watashida uchaguzi 2025 hawana cha maana.

Wananchi wanapenda mabadiliko katika namna fulani ,ndio maana hayati lowasa alituzungusha sana mikono uchaguzi ule mkuu na nina imani alishida kabisa lakini mfumo mbovu wa uchaguzi ukatoa matokeo tofauti.
Hiyo ajenda ya katiba mpya pia ingebuma kwa aina ya wafuasi iliyonao chadema wao ni mahodari zaidi kwa vidole kuliko field!
 
Mbowe ana backup ya serikeli na CCM, we unadhani atashindwa?
Lissu atashindwa kwa gharama yoyote ile,serikali ya CCM itatumia hata bilioni kadhaa,kuhakikisha Lissu hashindi,juilize kwanini.
Mipango ya kumzuia Lissu kwa kumwekea kina wenje ilipangwa kwa siri, lakini siri zikavujishwa na kumfikia Lissu.

Hata mbinu zao za kuiba kura zitajulikana mapema na kuweza kudhibitiwa.

Wanaopanga na kuratibu yote haya ni Lumumba ambao kwa sasa hawana umoja, hakuna watakachopanga kisijulikane, kwani huko wapo ambao hawataki kusikia samia anagombea mwakani.

Mikakati hii yote ni kumsafishia njia samia asikumbane na upinzani.
 
CCM inampambania Mbowe,chadema ya mbowe ni kama Yanga na Singida Black stars
 
Lissu alitakiwa kuzungumza na Mbowe sio kama alivyokurupuka kwa kuingizwa mkenge na watu wasio na mchango wowote ndani ya chadema hakuna serikali wala nini ni uzushi tu na kutafuta huruma!
Azungumze na mhuni, Lissu ni mtu wa misimamo hanaga bei kama huyo makengeza wako!.
 
Baada ya lissu kutangaza nia na kuchukua fomu wafuasi wake na wanaharakati walianza kupiga mayowe na kuanza kumsifia lissu kuwa ndie mwamba.
Mbowe hasitahili kugombea tena hata haijulikani nani aliwapa taarifa lissu na akaanza mashambulizi ya kejeli huku akisema ndio demokrasia uongozi bora uwe na ukomo.....
Phaaaap ngingoooo Zombie katokea muheshimiwa sana Mbowe imekuwa ni ndoto mbaya shambulizi baya la kushtukiza hawakutarajia wao walijua Lissu atapita kwa kura za ndio.
Sasa hivi wanaharakati na wafuasi wa lissu ndio utagundua hawana akili kila mmoja anajisemea tu mitandao yote wengine eti wanajitoa chadema ili hali hawajawahi kupiga kura wapo nje ya nchi wamechukua uraia wa nchi nyingine hawana sifa kichekesho ni kuwa Lissu yupo kimya ila wanashauri ujinga kwa lissu ahame aunde chama chake tujikumbushe watu hao hao hawajahi kutoka kwenye maandamano wala kupiga kura hata lissu alipowaita watoke barabarani....tulishuhudia lissu akiokolewa kupewa hifadhi kwenye chumba cha store ubalozi wa ujerumani hatukuwaona wanaharakati wakitoa msaada........swali ni je kwa akili zenu mbaya wafuasi wa lissu mlitaka mbowe ajitoe ili lissu asipate mpinzani?
Ondokeni nyote muacheni Mbowe kwanza sio wana mageuzi ila watoa maoni mafichoni!
Subirini Lissu anyooshwe maana tamaa
Dj Mbowe wawekee wimbo wa mtoto kautaka....... maalumu kwa lissu wanaharakati na wafuasi vimbembele!
Hawataki Democrasia, wanataka ushindi wa mezani
 
Back
Top Bottom