Wafuatao kama vile nawaona wakijinoa kulamba milioni tano za Maxence Melo

Wafuatao kama vile nawaona wakijinoa kulamba milioni tano za Maxence Melo

Na mambo yamepamba moto huko aisee. Vitu motomoto vinatemwa huko.

Aisee bonge la idea hili walioficha mavitu yao ni muda wa kuyafukunyua hayo maakili sasa tupate madini mpate pesa, ivo tu.
 
Hapa sasa ma GT wataonekana.....
achana na hao vilaza kutwa wanashinda mitandaoni kuandika milengo ya kisiasa uchwara milengo ya kichama na upondaji
 
mkuu Maxence Melo wewe na timu yako hamnipendi ila ningependa kuwashaurri mfanye kulimit jukwaa lile la stories of change, topics ziwe 30 Kwa siku ili ku encourage voting, Bombarding wanajamii na too much information will not influence their voting choices, wastage of time and resources!...kuna watu wameandika vitu vizuri tu kule but no vote,sio kwamba mabandiko yao sio mazuri bali wamekosa opportunity/nafasi ndani ya JF kuonyesha kazi zao na kuwa voted...perherps hamkutarajia muitikio mkubwa vile..million 5 sio ndogo eti!....mjipange eti..watu 30 kwa siku ni rahisi zaidi kusomwa na ianaweza kuwa sifting proccess,mnaangalia nani kapata votes nyingi kwa siku mnarecord,nani kapata nyingi siku inayofuata mnarecord kama ni yule yule au mwingine...tallying
 
mkuu Maxence Melo wewe na timu yako hamnipendi ila ningependa kuwashaurri mfanye kulimit jukwaa lile la stories of change, topics ziwe 30 Kwa siku ili ku encourage voting, Bombarding wanajamii na too much information will not influence their voting choices, wastage of time and resources!...kuna watu wameandika vitu vizuri tu kule but no vote,sio kwamba mabandiko yao sio mazuri bali wamekosa opportunity/nafasi ndani ya JF kuonyesha kazi zao na kuwa voted...perherps hamkutarajia muitikio mkubwa vile..million 5 sio ndogo eti!....mjipange eti..watu 30 kwa siku ni rahisi zaidi kusomwa na ianaweza kuwa sifting proccess,mnaangalia nani kapata votes nyingi kwa siku mnarecord,nani kapata nyingi siku inayofuata mnarecord kama ni yule yule au mwingine...tallying
Nakupendaga sana, wewe na mawazo yako mapana, lakini utakuja kujua ukiwa Usha zeeka na Mimi nikiwa kikongwe zaidi. We are friends for ever
 
Back
Top Bottom