Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Dah ahsante, nshapoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah ahsante, nshapoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh.
Usijali Mjerumani nenda kamwage nondo zako sasa kule Stories of Change. 🤣🤣Ewaaaaaah ahsanteeeh San.
Ngoja niji tag!
Basi sawa mkuu.Bold Ni mkali wa simulizi lakini unaweza ukakosa maudhui Kaka
Ni jukwaa huru mkuu naamini ni jamno lolote lenye kujenga linaruhusiwa, pambani kombe si unajua hulka ya wabongo kutopenda vitu vigumu vigumu 😁😁. Leta bandiko tuuIngekuwa kwenye sekta zetu zile, Mimi Evelyn Salt na Demi tungeshiriki...ila ndo mambo ya akina Pascal Mayalla Mwl.RCT na Yericko Nyerere
Na kuna simu na zawadi nyingine pia so washindi ni wengi mkuu.Uzuri wake kuna mshindi wa kwanza, wa pili ba watatu. Hata sisi wa makarai pia tuna nafasi.
Nini kinaendelea best? Kuna shindano kuhusu nini?Ingekuwa kwenye sekta zetu zile, Mimi Evelyn Salt na Demi tungeshiriki...ila ndo mambo ya akina Pascal Mayalla Mwl.RCT na Yericko Nyerere
Kaka Max anamwaga mahela kwa waandishiNini kinaendelea best? Kuna shindano kuhusu nini?
Ngoja tuingie chimbo, Kitaeleweka tuNi jukwaa huru mkuu naamini ni jamno lolote lenye kujenga linaruhusiwa, pambani kombe si unajua hulka ya wabongo kutopenda vitu vigumu vigumu 😁😁. Leta bandiko tuu
Duh, Mshana Jr, Extrovert, RRONDO, yaani hao wazee wa magari nawakubali sana.
Halafu Kuna BAK, Emmanuel Kasomi, Mwifwa , Baba Swalehe , Tesla, na watu wengine wengi.
Kwa WANAWAKE Sasa, usije niona player, simtaji hata mmoja
DONALD Pompeo
Nakupendaga sana, wewe na mawazo yako mapana, lakini utakuja kujua ukiwa Usha zeeka na Mimi nikiwa kikongwe zaidi. We are friends for evermkuu Maxence Melo wewe na timu yako hamnipendi ila ningependa kuwashaurri mfanye kulimit jukwaa lile la stories of change, topics ziwe 30 Kwa siku ili ku encourage voting, Bombarding wanajamii na too much information will not influence their voting choices, wastage of time and resources!...kuna watu wameandika vitu vizuri tu kule but no vote,sio kwamba mabandiko yao sio mazuri bali wamekosa opportunity/nafasi ndani ya JF kuonyesha kazi zao na kuwa voted...perherps hamkutarajia muitikio mkubwa vile..million 5 sio ndogo eti!....mjipange eti..watu 30 kwa siku ni rahisi zaidi kusomwa na ianaweza kuwa sifting proccess,mnaangalia nani kapata votes nyingi kwa siku mnarecord,nani kapata nyingi siku inayofuata mnarecord kama ni yule yule au mwingine...tallying