Wafuatao wajiandae kuzongwa na dola ili wajiunge CCM

Wafuatao wajiandae kuzongwa na dola ili wajiunge CCM

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Chadema wamekimbiza sana huko kitaa na usajili wa kidigitali. Viongozi wa jumuia za chama hiki wanafanya kazi kubwa sana na wameibua wananchi kuamka hasa wanawake kuitafuta haki.

Kwa namna ambavyo viongozi Hawa wamejizolea umaarifu lazima wataaza kukamatwa na kuteswa kisaikologia wapunguze Kasi au walipwe ajira serikalini wajiunge chama Tawala. Wafuatao niviongozi ambao ni wageni kwenye siasa na hawajawahi kutingishwa imani yao:

1. John Pambalu anaupiga mwingi sana
2. CPA Catherine Ruge, ametisha sana kwenye nafasi yake kuliko hata akina Mdee

Siku si nyingi kamata kamata itaanza maana safu ya CCM imekosa agenda na nguvu yakusimama jukwaani kuzungumza na walalahoi. Hadi leo si mbunge wa CCM Wala kiongozi mwingine ambaye ameonyesha kusimama na machinga na bodaboda, wakina mama wanapitia mateso na vijana hawana ajira ila viongozi wote wa CCM wamekalia kusifia, watu Wana njaa mnataka kuwaaminisha wameshiba?
 
CCM ni jungu kuu.

Awamu ya 6 ina AJENDA lukuki.

CCM hii haina haja ya kuokoteza huko usemako.

Siempre JMT
 
Upumbavu mtupu, CCM haina nguvu kama inavyofikiria, vyama vya siasa vinakuja na kuondoka, hata wamachinga wakiamua kuindoa CCM madarakani wanaweza, imagine machinga milioni moja wanaandamana na kupiga camp katikati ya jiji na kutaka raisi ajiuzuru, utaua wangapi? Utatoka tu, pumbaf sana CCM hamna nguvu kama mnavyofikiria wenye nchi wakiamua mtoke mtatoka tu
 
Sijaelewa. Maneno meeengi ila sentensi chache ambazo zinafanya bandiko lisieleweke. Jipange uandike vizuri mbona hakuna mtu anakufukuza!
Mkuu uelewa ni jambo mtambuka hivyo kama binadamu inabidi kuvumiliana
 
Back
Top Bottom