- Thread starter
- #441
Pamoja na kutegemea wizi wa kura,Tuzungumze uhalisia.
CCCM haijawahi kuja na mgombea dhaifu kiasi hicho.
Hii ni Tanganyika usisahau Hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na kutegemea wizi wa kura,Tuzungumze uhalisia.
Uhalisia ni kuwa ccm inaendelea 2025 labda patokee sijui nini hivyo mambo ya upinzani kuchukua nchi tuyache kwanza. Tujikite kwenye hoja ya fomu kuwa moja.Pamoja na kutegemea wizi wa kura,
CCCM haijawahi kuja na mgombea dhaifu kiasi hicho.
Hii ni Tanganyika usisahau Hilo.
Jisikilize mwenyewe. Mada yako inazungumzia “viatu vya Magufuli” halafu unamhusisha Lissu? Be serious.Sifa za Uthubutu,uchapakazi, Uzalendo na misimamo isoyumba unamaanisha Lissu Hana?
Mbona kama umekurupuka?
CCM kuendelea 2025 ni Kwa kubadili mgombea pekee,Uhalisia ni kuwa ccm inaendelea 2025 labda patokee sijui nini hivyo mambo ya upinzani kuchukua nchi tuyache kwanza. Tujikite kwenye hoja ya fomu kuwa moja.
Swali ni umejipanga kumshawishi asiichukue au umejipanga kuishawishi ccm iongeze fomu?
UsikaliliTangu uhuru, PM yupi amewahi kuwa Rais?
Kwanini? Nini kitamzuia?CCM kuendelea 2025 ni Kwa kubadili mgombea pekee,
Tofauti na hapo hawezi pita popote.
Kwani umeelewaje neno " viatu vya magufuli"?Jisikilize mwenyewe. Mada yako inazungumzia “viatu vya Magufuli” halafu unamhusisha Lissu? Be serious.
Ndio maana yumo kwenye list,Labda Philip Mpango tu kati ya hao uliowataja
Hana UZALENDO.Kwanini? Nini kitamzuia?
HATOGOMBEA!!2025 mama anashinda tena kwa kula nyingi Sana.
Ccm ni chama amabacho kimechoka Ila tatizo linaanza pale ambapo hakuna chama mbadala.
Ni mzito kusimamia anachoagiza na kuamini. MTU wa fix1. KASSIM MAJALIWA
2. PHILIP MPANGO. --iNi mpole yuko slow
3. TUNDU ANTIPAS LISSU. Anakurupuka Sana,hekimama imepita pembeni
4. JOSEPHAT GWAJIMA -
Huyuyu ni mzinzi halafu sidhani ubora wake wa Akili unafaa Kwa nafasi ya Urais.
Hujaelewa swali boss. Nini kitazuia?Hana UZALENDO.
Mungu atazuia.Hujaelewa swali boss. Nini kitazuia?
Natunza comment Yako,Ni mzito kusimamia anachoagiza na kuamini. MTU wa fix
2025 Tunaenda na Mama Samia hata na yeye brother Majaliwa anaelewaNatunza comment Yako,
2025 Si mbali.
Wewe kama nani bhana,acha kuleta mikwara hewaaa [emoji1787]CCM wasipotuletea mgombea mpya, tutahakikisha upinzani unashinda,
Ndio maanda umeona Jina la Mpinzani hapo.
Tusubiri kipenga kianze.
Huyo mama unayemuongelea, hayumo kwenye list hapo juu.2025 Tunaenda na Mama Samia hata na yeye brother Majaliwa anaelewa
HATOGOMBEA!!