Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Pamoja na kutegemea wizi wa kura,

CCCM haijawahi kuja na mgombea dhaifu kiasi hicho.

Hii ni Tanganyika usisahau Hilo.
Uhalisia ni kuwa ccm inaendelea 2025 labda patokee sijui nini hivyo mambo ya upinzani kuchukua nchi tuyache kwanza. Tujikite kwenye hoja ya fomu kuwa moja.

Swali ni umejipanga kumshawishi asiichukue au umejipanga kuishawishi ccm iongeze fomu?
 
2025 mama anashinda tena kwa kula nyingi Sana.

Ccm ni chama amabacho kimechoka Ila tatizo linaanza pale ambapo hakuna chama mbadala.
 
Sifa za Uthubutu,uchapakazi, Uzalendo na misimamo isoyumba unamaanisha Lissu Hana?

Mbona kama umekurupuka?
Jisikilize mwenyewe. Mada yako inazungumzia “viatu vya Magufuli” halafu unamhusisha Lissu? Be serious.
 
Uhalisia ni kuwa ccm inaendelea 2025 labda patokee sijui nini hivyo mambo ya upinzani kuchukua nchi tuyache kwanza. Tujikite kwenye hoja ya fomu kuwa moja.

Swali ni umejipanga kumshawishi asiichukue au umejipanga kuishawishi ccm iongeze fomu?
CCM kuendelea 2025 ni Kwa kubadili mgombea pekee,

Tofauti na hapo hawezi pita popote.
 
Jisikilize mwenyewe. Mada yako inazungumzia “viatu vya Magufuli” halafu unamhusisha Lissu? Be serious.
Kwani umeelewaje neno " viatu vya magufuli"?

Nimeainisha kabisa sifa pekee na upande nilipoamua kumzungumzia Magu,

Coin Ina pande mbili,

Lissu mwenyewe amekiri wazi kuwa, Magu alikuwa Mzalendo, kamwe asingeshiriki Kugawa Bandari zetu Kwa wageni!!

Umekuwaje?
 
CCM wasipotuletea mgombea mpya, tutahakikisha upinzani unashinda,

Ndio maanda umeona Jina la Mpinzani hapo.

Tusubiri kipenga kianze.
Wewe kama nani bhana,acha kuleta mikwara hewaaa [emoji1787]
 
Back
Top Bottom