Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Philip Mpango hafai, hii nchi haitaki kuongozwa na watu wa namna yake, ni mpole mno.

LISSU ni mwanaharakati, hafai kuwa raisi.

GWAJIMA hafai hata kidogo, kwanza umetumia vigezo gani kumuweka hapo?

KASSIM✅️
Anatakiwa mmoja tu.

Tuombe uliyemchagua apenye, maana tangu uhuru, PM hajawahi kuwa no 1.
 
Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya ya na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020.....

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni🙏
Unfortunately hao wote ni loosers na liability as we speak 😂😂
 
Unfortunately hao wote ni loosers na liability as we speak 😂😂
Maoni Yako yanaheshimiwa.

Ingawa Mimi nijuavyo, kunguni au kupe Huwa habagui, hachagui, kwake Damu ndo kitu muhimu.

Akipenya yeyote kati ya hao, lazima utaendeleza mapambio.
 
Mpango anachunguzwa na Jeshi ili arejeshwe kwao Gitega,Katelefone ni Muongo na Mlaghai hapo labda Lissu ambae huwa habubuji wala kuremba maneno
 
Back
Top Bottom