Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,055
- 3,535
Paul christian makonda wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio alibaki nao.Ila baadae Vipi alibaki na msimamo wake?
Eb acha kuandika kiswahili cha kisukuma hapaNabii Magu ndo kipimo Cha wanasiasa chaguzi zijazo,
Hata Tundu Lisu analijua Hilo.
Anatakiwa mmoja tu.Philip Mpango hafai, hii nchi haitaki kuongozwa na watu wa namna yake, ni mpole mno.
LISSU ni mwanaharakati, hafai kuwa raisi.
GWAJIMA hafai hata kidogo, kwanza umetumia vigezo gani kumuweka hapo?
KASSIM✅️
Huyo Hana Uzalendo,Paul christian makonda wewe
Kukataa kuuza bandari Kwa wageni.Uzalendo upi?
Kuminya haki za Watumishi?
Maoni Yako yaheshimiwe 🙏Tundu Lissu pekee wa kuaminika
Mabaya ya Magu tumeachana nayo,Kuvaa Viatu vya KUTUMBUA🤣?
Mwamba 2025.Mabaya ya Magu tumeachana nayo,
Tumechukua sifa kuu nne pekee muhimu.
Ndomana Tundu Lisu akaingia kwenye List.
Unfortunately hao wote ni loosers na liability as we speak 😂😂Salaam, Shalom!!
Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.
Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,
1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.
2. UZALENDO.
3. UCHAPAKAZI.
4. MAONO.
Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.
1. KASSIM MAJALIWA
2. PHILIP MPANGO.
3. TUNDU ANTIPAS LISSU.
4. JOSEPHAT GWAJIMA.
Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya ya na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020.....
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Karibuni🙏
Mpaka Gwajima!!!
Maoni Yako yanaheshimiwa.Unfortunately hao wote ni loosers na liability as we speak 😂😂
Nawe ulibahatika kujua size ya viatu vya Mzalendo Magufuli?Umepatia 76.89765272727%