Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Magufuli ni mwizi
Philp Mpango sio mwizi
Majaliwa ni jizi liongo
Lissu sio mwizi
 
Magufuli ni mwizi
Philp Mpango sio mwizi
Majaliwa ni jizi liongo
Lissu sio mwizi
Magufuli hakutajwa kati ya hao 4.

Vimetajwa tu viatu vyake katika baadhi ya sifa alizokuwanazo Magu za 1. Uzalendo, 2.Uthubutu 3. MAONO. 4. Uchapakazi.

Sifa mbaya ya wizi, haijadiliwi hapa.

Ubarikiwe.
 
Bunge ndio linahusika na umeme!?
Huu nashangaa sana wengi wanazunguka sana. Hawataki kusema ukweli.

Hivi JPM angekuwa rais, Zitto, Lissu kelele zingekuwa kiasi gani na wangesemaje kuhusu umeme, maji, ngorongoro,misitu, teuzi, tenguzi, report ya CAG nk. Wangemlaumu nani? Hizo press conference zingekuwa kila siku lawana kwa kiongozi mmoja mkuu.

Cha muhimu upinzani Tanzania wape dau lao, Watakuunga mkono.
 
Bunge ndio linahusika na umeme!?
Hujui kuwa mojawapo ya kazi ya bunge ni kuhoji na kuiwajibisha serikali itimize majukumu yake vizuri kutia ndani wizara ya nishati ambayo TANESCO iko chini ya wizara hiyo

Mbunge wa jimbo lako umewahi kumsikia akiongea kuhusu tatizo la umeme?

Kwa hiyo wewe unapopiga kura za kuwachagua wabunge hujui jukumu la mbunge wako?
 
Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO/VISION.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni🙏
Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO/VISION.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni🙏
Upo sahihi Ila namba 4 weka Anthony Mtaka .
Wapo watu sahihi Ila tumwombe Mungu waweze kupenya Kwenye kinyang’anyiro, mwanga una nguvu kuliko giza.

Hata kabla ya 2015 nilitoa maoni katika mada mbalimbali kuwa jpm anafaa kuongoza na Hata hawa wanafaa vilevile .
 
Upo sahihi Ila namba 4 weka Anthony Mtaka .
Wapo watu sahihi Ila tumwombe Mungu waweze kupenya Kwenye kinyang’anyiro, mwanga una nguvu kuliko giza.

Hata kabla ya 2015 nilitoa maoni katika mada mbalimbali kuwa jpm anafaa kuongoza na Hata hawa wanafaa vilevile .
Antony Mtaka Yuko vizuri. Umri wake Bado.

Aendeleze kupata uzoefu atatufaa mbeleni, next election aingie bungeni.
 
Katiba inataka raisi awe na umri gani minimum ?
Sikubishii, aweza faa Kwa vigezo vyako. Bt Si Rahisi kumuweka Kila mtu hapo juu.

Akigombea ubunge, na baadae akawa waziri wa ELIMU,

Tutapiga hatua kubwa.
 
Sikubishii, aweza faa Kwa vigezo vyako. Bt Si Rahisi kumuweka Kila mtu hapo juu.

Akigombea ubunge, na baadae akawa waziri wa ELIMU,

Tutapiga hatua kubwa.
Huyu jamaa ana busara , Ana akili , Ana nguvu na spidi ya kazi na udhubutu
 
Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO/VISION.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni🙏
Anthony mtaka na Bashiru ally unawaachaje?
 
Anthony mtaka na Bashiru ally unawaachaje?
Antony profile yake Bado IPO chini labda 10yrs to come, Bashiru sawa, anaweza kuwa namba 5,6,7....... Kwenye list.

Mimi nimeangazia 4pekee.

By the way, mmoja tu ndo anatakiwa.

Asante Kwa mchango wako 🙏
 
Anthony mtaka na Bashiru ally unawaachaje?
Wote wako vizuri. Obvious hawawezi kuacha tatizo kama umeme liwepo miaka mitatu wakipiga misele duniani.

Wana uchungu kidogo na ndugu zao mjini na vijijini. Wana hofu ya Mungu kidogo.

Sio kama kundi la sasa la wapigaji watupu ngazi zote za juu.
 
Ni hivi wana utamaduni wa undugu. Utamaduni wao ni kujali ndugu zako, Watanzania wote kwao ni ndugu za

Ni kanda pekee unaweza kukuta mkuu wa wilaya Mchagga, diwani Mhehe, wapambandaji wote wanalikwa na kupewa haki sawa. Ipo kwenye DNA yao.

Huwezi kukuta watu kama Nyerere, JPM wanataka kuweka wake zao, watoto wao kwenye uongozi wa juu wa nchi, hawawezi kukubali nchi ikose kitu kama umeme, maji, kuuza misitu, Ngorongoro, mfumuko wa bei, matatizo ya ardhi wakakaa kimya. Watapambana na hizo issue kutoka moyoni. Sio kuuza sura, maneno ya matamu ya ulaghai, kurembua macho.
Huu ni UKWELI mchungu!!!

Viongozi Toka pwani sasa😳 ingawa Si wote!!!
 
Back
Top Bottom