hujaeleza aina ya mbwa na picha za wazaziHabari wadau puppy wanauzwa wana umri wa mwezi 1na siku 4 wamepata chanjo Dhlp na kadi zao zipo.Pichani ni mama yao na baba yaoView attachment 1065984View attachment 1065985View attachment 1065987View attachment 1065988View attachment 1065989View attachment 1065990View attachment 1065991
Sent using Jamii Forums mobile app
why isiwe pure breed mkuu?Natafuta Rottweiler au hata bulldog au Pitbull hata kama ni cross wa mtaani/ not pure breed
teh teh teh .... naogopa haya mabei ya mbwa kwa dola ... nahitaji affordable budget price
mkuu lazima ubadili mtazamo, bora kununua ghali itakayokulipa kuliko rahisi inayopoteateh teh teh .... naogopa haya mabei ya mbwa kwa dola ... nahitaji affordable budget price
Hivi hawa wa kiswahili ni breed gani? Hamna aliefanya kautafiti tujueMi nafunga mbwa wa kiswahili na wako vzr Sana,kiulinzi ata adabu pia.nawapa huduma zote stahiki ikiwa chakula,chanjo zote,na kuoga kira jpili.kiukweli ulinzi tosha..
Mbwa wangu Ni chotara nataka nimpe mafunzo ya ulinzi ana umri wa miezi 6 naombeni procedures za kumpa mafunzo wakuu nipo Mwanza mjiniHivi hawa wa kiswahili ni breed gani? Hamna aliefanya kautafiti tujue
M
Mbwa wangu Ni chotara nataka nimpe mafunzo ya ulinzi ana umri wa miezi 6 naombeni procedures za kumpa mafunzo wakuu nipo Mwanza mjini
unaweza wafuga aina zotehizo za mbwa..kwa mfano nina eneo kubwa sana naona mbwa wawili hawatoshi nahitaji mbwa kuanzia 6 kwenda mbele..napenda mbwa sana but huyu hajawahi nivutia mkuu
Huyo jamaa Tundapori ni mwalimu mzuri anaweza kutusaidiaunaweza wafuga aina zotehizo za mbwa..kwa mfano nina eneo kubwa sana naona mbwa wawili hawatoshi nahitaji mbwa kuanzia 6 kwenda mbele..
swali langu ni: naweza fuga aina tofauti za mbwa nikafuga German wawili,belgian tuveren wawili,nk yani nichanganye aina na wote niwafungulie eneo moja??
Kuna madhara ki afya na je wanapatana au ndio isije kua kama ya KUKU kudonoana maana hamna kitu sipendi kama kuona kidonda kwa mbwa au mnyama yeyote ana kidonda.
Tundaporiunaweza wafuga aina zotehizo za mbwa..kwa mfano nina eneo kubwa sana naona mbwa wawili hawatoshi nahitaji mbwa kuanzia 6 kwenda mbele..
swali langu ni: naweza fuga aina tofauti za mbwa nikafuga German wawili,belgian tuveren wawili,nk yani nichanganye aina na wote niwafungulie eneo moja??
Kuna madhara ki afya na je wanapatana au ndio isije kua kama ya KUKU kudonoana maana hamna kitu sipendi kama kuona kidonda kwa mbwa au mnyama yeyote ana kidonda.
Mwanza mjini kuna jamaa mfugaji maarufu nimepoteza namba zake, huyu anajuana na wafundishaji wengi au fika kikosi cha mbwa na farasi
Ninazo number za wafugaji walio mwanza ila kwa ruhusa yao ndio nitaweza weka number zao au uje kando ndio nikupatie.Sawa mkuu nitafanya hivyo soon asante
Huwapikiii uji uji wa nafaka na kuchanganya na maziwa na nyamaNina German shepherd wangu nyama huwa naenda Machinjoni kuwachukulia ,hawali kitu kingine zaidi ya nyama na maziwa
Ofcoz nikila ganja zangu nao huwa wanavuta ,kila jumapili nawatia Red wine glass basi burudani kabisa.
Napenda mbwa sana kiasi kwamba wananipa faraja
Dah KingY ulikosea sana kubadilisha avatar Picha yako tuliyokuzoea yani nimekuja kukumbuka kwenye huu uzi wakoMpendwa mwana jf, unaweza kushangaa kusikia kuwa mbwa ni biashara nzuri kupita hata kufuga ng'ombe kibiashara na ukashangaa.
Uzi huu utakuwa ni maalum katika kupeana uzoefu katika biashara hii ya kufuga mbwa kwa lengo la kujipatia kipato na ulinzi pia.
Tutajifunza aina bora na inayohimili mazingira yetu hasa Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.
Hivyo mdau ikiwa wewe ni mfugaji wa wanyama hawa kibiashara, nakukaribisha sana utupatie uzoefu juu ya aina mbali mbali mfano;
a) German shephard
b) Belgian shephard
c) Bull dog
d) Rottweiler
e) Ridge back nk
mambo muhimu ya kupeana uzoefu;
1) banda/ nyumba bora ya kufugia
2) chanjo
3) Masoko nk
View attachment 916841View attachment 916842View attachment 916844
Ni nakukaribisha utupe uzoefu wako na kwa wale wanaotamani kujifunza mnakaribishwa kwa maswali na wadau watakujibu
Maelezo ya German Shepherd hapa
Maelezo ya Belgian Shepherd hapa
Banda mbona LA kizushiii?Mimi nimeanza kufuga juzijuzi kwanza ndio nimewajengea banda!
Amekwisha kuwa mkubwa sasa Hivi namfunga mnyororo nje. Nitakutumia picha baadae. Mkali Sana, hata nzi akikatiza anabweka!Banda mbona LA kizushiii?