MR Kilimanjaro
JF-Expert Member
- May 5, 2019
- 249
- 358
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]ukikaa vibaya unapewa cheo cha mwizi anakushuhulikia chap af anakubembelezaHivi hao german shepherd hawezi kukugeuka mfugaji mbna wanatisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]ukikaa vibaya unapewa cheo cha mwizi anakushuhulikia chap af anakubembelezaHivi hao german shepherd hawezi kukugeuka mfugaji mbna wanatisha sana
Jamaa inaonekana hakuwa akijishughulisha nao kabisa, so, dog wslikuwa wanamuona kama intruder tuJamaa ni mtu wa mtungi sana na huwa anakesha baa nimesema hapo juu. Mara nyingi shamba boy ndie anahudumia.
Na kweli kukazia point yako ndio maana hata dogo wa jirani aliweza kuwazuia kwakuwa walishamzoea japo hakuwa owner wala hakuwa akiishi nyumba hiyo.
Akiwa mkubwa anakula kilo ngapi za nyama kwa siku?German shephard;
Kama anavyoonekana hapo juu kwenye picha;
Huyu kwangu ni mbwa bora kabisa kwa ulinzi na Kibiashara;
Mbwa huyu ana nguvu nyingi,
Anafundishika kirahisi na
mwenye mvuto machoni.
Katika majeshi ya nchi nyingi
anatumika kama mmoja wa askari cc Waziri Lugola..hahaha.
Sababu kubwa ni moja yambwa wenye akili na kufundishika.
mbali na majeshi ya nchi mbalimbali kumtumia, pia watu binafsi humtumia kwa ulinzi.
Mbwa huyu anasoko sana endapo utakuwa na mbegu nzuri kwani uzao mmoja waweza kupata vitoto 5 na kuendelea.
Kitoto cha miezi 2 huuzwa kuanzia 700,000 hadi 1,200,000 hapa bongo na Kenya zaidi
SIFA YA MBEGU BORA
1. Masikio yaliyosimama
2. miguu ya mbele ni mirefu
kuzidi ya nyuma...
3. kifua kikubwa
4. miguu ya nyuma kupinda
5. mdomo mrefu
6. rangi ya kaki/kahawia na nyeusi mgongoni
Mkuu naomba maelekezo zaidi
Dobermann.. Nampenda sana huyu mbwa. Umbo lake tuView attachment 887984View attachment 887985
Maonesho mengine toeni updates mapemaNikweli tulifanya Dog show jumamosi iliyopita, sasa tunajipanga juu ya usajili rasmi wa jumuia yetu ya ufugaji wa Mbwa maana kuna mambo mengi ili kuweza kufikia viwango vinavyojitajika.View attachment 1283183
Nikweli tulifanya Dog show jumamosi iliyopita, sasa tunajipanga juu ya usajili rasmi wa jumuia yetu ya ufugaji wa Mbwa maana kuna mambo mengi ili kuweza kufikia viwango vinavyojitajika.View attachment 1283183
Naomba unitafute kwa number 0784448120 nitakupa mwongozo karibu sanaMkuu hebu weka wazi tunavyoweza kujiunga