Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

Jamaa ni mtu wa mtungi sana na huwa anakesha baa nimesema hapo juu. Mara nyingi shamba boy ndie anahudumia.

Na kweli kukazia point yako ndio maana hata dogo wa jirani aliweza kuwazuia kwakuwa walishamzoea japo hakuwa owner wala hakuwa akiishi nyumba hiyo.
Jamaa inaonekana hakuwa akijishughulisha nao kabisa, so, dog wslikuwa wanamuona kama intruder tu
 
Ipo siku nitafuga japo nitatafuta pure GS wawili dume na jike kwa bei yoyote
 
Mfuatilie Cesar ni bonge la dog trainer
Ukiepeleka polisi hawawezi kukufundishia mbwa wako? Hakuna manual ya jinsi ya kunfundisha mmbwa unavotaka??
images.jpeg
 
German shephard;
Kama anavyoonekana hapo juu kwenye picha;
Huyu kwangu ni mbwa bora kabisa kwa ulinzi na Kibiashara;
Mbwa huyu ana nguvu nyingi,
Anafundishika kirahisi na
mwenye mvuto machoni.

Katika majeshi ya nchi nyingi
anatumika kama mmoja wa askari cc Waziri Lugola..hahaha.
Sababu kubwa ni moja yambwa wenye akili na kufundishika.

mbali na majeshi ya nchi mbalimbali kumtumia, pia watu binafsi humtumia kwa ulinzi.
Mbwa huyu anasoko sana endapo utakuwa na mbegu nzuri kwani uzao mmoja waweza kupata vitoto 5 na kuendelea.
Kitoto cha miezi 2 huuzwa kuanzia 700,000 hadi 1,200,000 hapa bongo na Kenya zaidi

SIFA YA MBEGU BORA
1. Masikio yaliyosimama
2. miguu ya mbele ni mirefu
kuzidi ya nyuma...
3. kifua kikubwa
4. miguu ya nyuma kupinda
5. mdomo mrefu
6. rangi ya kaki/kahawia na nyeusi mgongoni
Akiwa mkubwa anakula kilo ngapi za nyama kwa siku?
 
Mara nyingi hatuwalishi nyama peke yake,vhuwa tunachanganya na chenga za mchele au hata uji mzito wenye mchanganyiko maalum
Akiwa mkubwa anakula kilo ngapi za nyama kwa siku?
 
Kesho kuna maonesho ya Mbwa Dar dog show. Yatafanyika Mtaa wa Kenyata kaunzia saa 2 asubuhi hadi 11. Mgeni rasmi Lugola
 
Mkuu naomba maelekezo zaidi
Kesho kuna maonesho ya Mbwa Dar dog show. Yatafanyika Mtaa wa Kenyata kaunzia saa 2 asubuhi hadi 11. Mgeni rasmi Lugola
 
Kuhusu Maonesho ya Mbwa Najua Tarehe na Mtaa utakaofanyika. Ni kwenye viwanja nyuma ya Makazi ya Balozi wa Marekani.
Ukipita nyumba ya MO DEWJI
 
Kazi moja wapo za mbwa/askari
IMG-20191129-WA0005.jpeg
 
Nikweli tulifanya Dog show jumamosi iliyopita, sasa tunajipanga juu ya usajili rasmi wa jumuia yetu ya ufugaji wa Mbwa maana kuna mambo mengi ili kuweza kufikia viwango vinavyojitajika.
IMG-20191201-WA0081.jpeg
 
Back
Top Bottom