Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 

🙏🙏
Napenda sana kujifunza na kujua mengi kuhusu huyu mnyama 'mbwa'.
 
Pole sana kwake aisee
 
Usimpige, mfundishe, mtembeze polepole akikataa acha umtembeze cku nyingine, mpe chakula kingi mara mbili kwa cku, mpe dawa za minyoo muoshe
 
We ndo hujui, hao wenye miguu mifupi nyuma ni American show line, wengi wa apa bongo ni working class by au European working class, haw show line wana matatizo mengi na wanaanza kukatazwa kubreed maana ni wagonjwa wagonjwa wa miguu
 
Hawa ni show line, hawa GSD ni wagonjwa mno na ukinunua unaweza jutia, wengi Og uku ni European show line, fatilia tofaut ya working line GSD na show line GSD
Working line GSD ni sable mkuu
 
Working line GSD ni sable mkuu
We jamaa hujui ata mbwa, ingia google, sikuiz mambo ni rahis
Ila kifupi kuna showline GSD na working line GSD, hizo nyingine ni rangi tu
 
Kwakweli wanaumiza sana watu,halafu wanaluga tamu sana.[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimwokota hawa mbwa wawili jee niwapatie chakula gani ili wakue kwa alaka alafu nifanye nini ili wawe wakali pia waweze kuelewa nicho itaji kuwa fundisha? Nimbwa wa kibongo tuu wakawaida

 
Mi nafunga mbwa wa kiswahili na wako vzr Sana,kiulinzi ata adabu pia.nawapa huduma zote stahiki ikiwa chakula,chanjo zote,na kuoga kira jpili.kiukweli ulinzi tosha..
Mimi niliokota mbwa wawili dume ja jike sasanaitaji niwafuge bado wadogo wana kama miez miwili nasehe kwa kuwaona jee niwapatie chakula gani waweze kukua kwa uzur na afya njema pia wawe wakali na jinsi ya kuwafunza adabu
 
Nimwokota hawa mbwa wawili jee niwapatie chakula gani ili wakue kwa alaka alafu nifanye nini ili wawe wakali pia waweze kuelewa nicho itaji kuwa fundisha? Nimbwa wa kibongo tuu wakawaida

View attachment 1886841
Kwanza anza na chanjo. Tafuta daktari wa mifugo awafungulie kadi yao ya clinic (angalia picha) awape chanjo waepukane na magonjwa. Wanaanza na DHCP, Then vitamini na minyoo na mwisho wapate kichaa cha mbwa.... Hizi zitakuwa zinajirudia kutokana na wakati....

Chakula...
Wapikie uji wa unga wa dona na kama utapata dagaa au nyama umpatie (Vyote hivi unapata kwa bei rahisi kuna bei za vyakula vya mbwa).
Kwa ukuaji wa haraka kuna supplements madukani kwa ajili ya mbwa kanunue uwape.

Ukali
Kwanza wafungie wasizoeane na kila mtu. Wasiwe wazururaji.

Mafunzo.

Kuna wataalam wa mbwa kwa ajili ya mafunzo ila kama hutamudu gharama just google basic training for dogs uwafundishe mwenyewe.

 
Asante sana kaka nashukuru kwa ushauriko ila mimi ninaishi kijijini madctor wa mbwa huku hakn ad mjini
 
Asante sana kaka nashukuru kwa ushauriko ila mimi ninaishi kijijini madctor wa mbwa huku hakn ad mjini
Vijijini hamna mifugo maana anayemtibu ng'ombe ndio anatibu mbwa pia unaweza kwenda maduka ya mifugo ukasaidiwa.

Otherwise fuga kienyeji tu ila usimuachie kuzurura hovyo aepukane na magonjwa na minyoo...
 
Vijijini hamna mifugo maana anayemtibu ng'ombe ndio anatibu mbwa pia unaweza kwenda maduka ya mifugo ukasaidiwa.

Otherwise fuga kienyeji tu ila usimuachie kuzurura hovyo aepukane na magonjwa na minyoo...
Kaka huyu mbwaa anaogpa wala hata hawabwekei wakijabtatzo bado mdogo ama shida nn nahitaji awe anabwekew watu wanapo kuja kumuona maana nimemfungua

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…