Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Bado mdogo huyo nakadiria 2 months atleast afikishe miezi 4-6...Kaka huyu mbwaa anaogpa wala hata hawabwekei wakijabtatzo bado mdogo ama shida nn nahitaji awe anabwekew watu wanapo kuja kumuona maana nimemfungua
View attachment 1889597
👍Cha kukuongezea tu
Gs asilimia almost 70 % sio pure breed hapa bongo ndo maana unakuta zinauzwa hadi 200,000 ,kwa GS pure inaanzia milion hadi na nusu ya miezi 2 ,ila angalizo nyingi tulizonazo sio pure ilikuijua iliyopure vigezo ni hivi
1.urefu wa miguu ya mbele ni mirefu kuliko ya nyuma,na urefu ni 22-26 chini hadi bega (akiwa na zaidi ya mwaka)
View attachment 916875
2.masikio yake huwa ni makubwa yaliyosimama wima
View attachment 916876
3.Mkia wa pure breed huwa ni wenye manyoya mengi sana
View attachment 916877
4 ,kUNA AINA ZA MBWA KARIBU 200 ila DNA Hudhihilisha kama iko pure au imechanganyia ,hii ni ghali ndo maana inaepukwa ,
HITIMISHO
Breed nyingi kwa bongo zimechakachuliwa hivyo ukiamua kufuata wazohili zuri la biashara jiongeze sana kushauriwa alienishauri aliniuzia GS kwa 200,000 nimemuhoji ndo kaniambia ukweli kuwa yangu sio pure breed akaniambia niangalie masikio yamelala sana akaniambia ingekuwa pure hata laki 9 sichukui.Aidha gs akikua anauzwa hadi 8000 usd ,wazungu wa migodini ndo wateja wakishamuona na vigezo vyote unakulamzigo ilani aghali sana pia kuwalea
Huyu dr anapatikana mkoa gani?Dr. Chuma 0754374013
Yuko Arusha, ukitokea Town kuelekea Tengeru, ukifika Chama km1 kabla hujaingia Tengeru mkono wako wa Kushoto utaona bango limeandikwa Dr. Chuma.Huyu dr anapatikana mkoa gani?
Thank you!Yuko Arusha, ukitokea Town kuelekea Tengeru, ukifika Chama km1 kabla hujaingia Tengeru mkono wako wa Kushoto utaona bango limeandikwa Dr. Chuma.
Ni maarufu sana tu kwa wafugaji wengi kwani anayo maabara kubwa hapo hadi wanafunzi wa field kutoka vyuoni mikoa tofauti huja kufanya mazoezi kwake.
Una maana gan mkuu?Huyu GS Akikugeukia basi nakuambia hakuna Mbwa utakayeweza kufuga.
Kati ya RT na GS nani mkali zaidi hasa ktk ulinzi?Kweli mkuu, Rw ni hatari laki sio GS
Mkuu ni wepesi kufundishika na ni ngumu kumgeuka mfugaji/muangalizi wakeUna maana gan mkuu?
Pengine kamaanisha golden retreiver mkuuRekebisha
Nilipata mwingine. Thanks.Ulifanikiwa?
Ni rafiki wazuri sana ukiwajulia