Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

Cha kukuongezea tu

Gs asilimia almost 70 % sio pure breed hapa bongo ndo maana unakuta zinauzwa hadi 200,000 ,kwa GS pure inaanzia milion hadi na nusu ya miezi 2 ,ila angalizo nyingi tulizonazo sio pure ilikuijua iliyopure vigezo ni hivi
1.urefu wa miguu ya mbele ni mirefu kuliko ya nyuma,na urefu ni 22-26 chini hadi bega (akiwa na zaidi ya mwaka)
View attachment 916875
2.masikio yake huwa ni makubwa yaliyosimama wima
View attachment 916876
3.Mkia wa pure breed huwa ni wenye manyoya mengi sana
View attachment 916877

4 ,kUNA AINA ZA MBWA KARIBU 200 ila DNA Hudhihilisha kama iko pure au imechanganyia ,hii ni ghali ndo maana inaepukwa ,

HITIMISHO

Breed nyingi kwa bongo zimechakachuliwa hivyo ukiamua kufuata wazohili zuri la biashara jiongeze sana kushauriwa alienishauri aliniuzia GS kwa 200,000 nimemuhoji ndo kaniambia ukweli kuwa yangu sio pure breed akaniambia niangalie masikio yamelala sana akaniambia ingekuwa pure hata laki 9 sichukui.Aidha gs akikua anauzwa hadi 8000 usd ,wazungu wa migodini ndo wateja wakishamuona na vigezo vyote unakulamzigo ilani aghali sana pia kuwalea
👍
 
Huyu dr anapatikana mkoa gani?
Yuko Arusha, ukitokea Town kuelekea Tengeru, ukifika Chama km1 kabla hujaingia Tengeru mkono wako wa Kushoto utaona bango limeandikwa Dr. Chuma.
Ni maarufu sana tu kwa wafugaji wengi kwani anayo maabara kubwa hapo hadi wanafunzi wa field kutoka vyuoni mikoa tofauti huja kufanya mazoezi kwake.
 
Yuko Arusha, ukitokea Town kuelekea Tengeru, ukifika Chama km1 kabla hujaingia Tengeru mkono wako wa Kushoto utaona bango limeandikwa Dr. Chuma.
Ni maarufu sana tu kwa wafugaji wengi kwani anayo maabara kubwa hapo hadi wanafunzi wa field kutoka vyuoni mikoa tofauti huja kufanya mazoezi kwake.
Thank you!
 
Kati ya RT na GS nani mkali zaidi hasa ktk ulinzi?

Wote wanafaa kwa ulinzi lkn RW ni hatari kama una watoto wadogo.
Hawa mbwa wana uchizi flani si ajabu akararua watoto lkn GS ni mbwa mmoja yuko very friendly na familia
 
IMG_8657.jpg

IMG_8665.jpg

Hawa nimewaona 88 Morogoro. Nimependa sana hawa wakubwa kama sijakosea ni Caucasian shepherds
 
Back
Top Bottom