Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

gsd long coat..puppies
IMG_20181010_123409.jpeg
 
Naomba namba za simu za mfugaji mbwa mwanza pls
ninakutumia ya ya Tabora atakupa maelekezo ya Mwanza japo najua Mwanza jamaa anauza ghali sana
0752849850 Edwin, ukikwama nijulishe
 
ni kweli mkuu lkn hatuwezi kufuga ng'ombe wote au mbwa.
ufugaji wa ng'ombe ni mgumu sana hasa mjini utawalisha nini?
ili uwafuge unahitaji shamba la majani, mjini wote twaweza kumiliki shamba? sio kiwanja.
lkn mbwa ni mita chache za banda waweza kufuga 2 na wana faida kama ifuatavyo;
1. mbwa aweza kuzaa mara 2 kwa mwaka
na kila uzao watoto 5 na kuendelea so
kwa mwaka 10@700,000=7, 000,000
2. wanauzwa wakiwa na miezi 2

ng'ombe anabeba mimba miezi 9
1.ndama ukimuuza akiwa na miezi 3 ni 300k
2. maziwa ukikamua lita 5 kwa siku
5@1,000 x30=150kx12=1,800,000
jumlisha na ndama
300k+1,800,000=2.1ml

haya nipe majibu kipi bora kufuga kibiashara?
kitoto cha miezi 2 cha mbwa 700,000 acha fix mkuu ,eti ndama 300,000 aseee wawapi hao ngombe mkubwa 500,000 ,hizi bei za wapi ndo watu wanasoma data za hivi wanakuja lia
 
kitoto cha miezi 2 cha mbwa 700,000 acha fix mkuu ,eti ndama 300,000 aseee wawapi hao ngombe mkubwa 500,000 ,hizi bei za wapi ndo watu wanasoma data za hivi wanakuja lia
angalia hapo
Screenshot_20181031-104952.jpeg
 
kitoto cha miezi 2 cha mbwa 700,000 acha fix mkuu ,eti ndama 300,000 aseee wawapi hao ngombe mkubwa 500,000 ,hizi bei za wapi ndo watu wanasoma data za hivi wanakuja lia
ndugu kuna kipindi unahitaji kuhoji kabla hujatoa hitimisho, huwezi kujua kila kitu, mimi nafuga ng'ombe wa kisasa na bei ya ndama mdogo kabisa kuanzia miezi 3 ni kati ya 250,000 hadi 350,000, hii inategemea na gredi ya ng'ombe.
kama umekulia kanda ya kati Singida, Dodoma, kanda ya ziwa huwezi kunielewa.
huko wanafuga ng'ombe wa kienyeji zaidi na bei ni sawa na bure hasa msimu wa kilimo.
Ninaongea ninachokifahamu na kukiishi.
kama unaswali karibu
 
Nahitaji paka wale wenye manyoya mengi(asili ya kizungu).

Nikipata mdogo itapendeza zaidi

Natanguliza shukran
 
Back
Top Bottom