Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
- Thread starter
- #301
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba namba za simu za mfugaji mbwa mwanza plsgsd long coat..puppiesView attachment 904103
Asanteninakutumia ya ya Tabora atakupa maelekezo ya Mwanza japo najua Mwanza jamaa anauza ghali sana
0752849850 Edwin, ukikwama nijulishe
Waone NATTYDOGS, wapo moshi. Wanao hawa mbwaSerbian HuskyView attachment 887982
kitoto cha miezi 2 cha mbwa 700,000 acha fix mkuu ,eti ndama 300,000 aseee wawapi hao ngombe mkubwa 500,000 ,hizi bei za wapi ndo watu wanasoma data za hivi wanakuja liani kweli mkuu lkn hatuwezi kufuga ng'ombe wote au mbwa.
ufugaji wa ng'ombe ni mgumu sana hasa mjini utawalisha nini?
ili uwafuge unahitaji shamba la majani, mjini wote twaweza kumiliki shamba? sio kiwanja.
lkn mbwa ni mita chache za banda waweza kufuga 2 na wana faida kama ifuatavyo;
1. mbwa aweza kuzaa mara 2 kwa mwaka
na kila uzao watoto 5 na kuendelea so
kwa mwaka 10@700,000=7, 000,000
2. wanauzwa wakiwa na miezi 2
ng'ombe anabeba mimba miezi 9
1.ndama ukimuuza akiwa na miezi 3 ni 300k
2. maziwa ukikamua lita 5 kwa siku
5@1,000 x30=150kx12=1,800,000
jumlisha na ndama
300k+1,800,000=2.1ml
haya nipe majibu kipi bora kufuga kibiashara?
kwa gsd orijino hiyo ni pesa ndogo sana.kitoto cha miezi 2 cha mbwa 700,000 acha fix mkuu
kwa gsd orijino hiyo ni pesa ndogo sana.
Kama uko Dar, mtafute mchungaji Ndegi wa Kanisa la makuti Kawe ( huyu ni maarufu sana kwa wakazi wa Dar)
mbwa wa miezi 2 anauza 1.35ml halafu ulete mrejesho.
Au ingia google search german shephard dog puppies
https://www.google.com/url?sa=t&sou...FjAAegQIABAB&usg=AOvVaw3ugNt-N8xCkZpSwDOfl-g-
ndugu kuna kipindi unahitaji kuhoji kabla hujatoa hitimisho, huwezi kujua kila kitu, mimi nafuga ng'ombe wa kisasa na bei ya ndama mdogo kabisa kuanzia miezi 3 ni kati ya 250,000 hadi 350,000, hii inategemea na gredi ya ng'ombe.kitoto cha miezi 2 cha mbwa 700,000 acha fix mkuu ,eti ndama 300,000 aseee wawapi hao ngombe mkubwa 500,000 ,hizi bei za wapi ndo watu wanasoma data za hivi wanakuja lia
Bado mkuu.mkuu hujafanikiwa tu?