Wafukuzwa kazi baada ya kufumwa wakifanya mapenzi ofisini

Wafukuzwa kazi baada ya kufumwa wakifanya mapenzi ofisini

Tunasubiri toleo lijalo lenge kichwa cha habari "Waliofumaniwa waamua kuoana"
Hapa tujiandae kwa popcorn; Telemundo in the house: maana baada ya kuoana, watoto....😉
 
mleta mada umeolewa?..au unaongea kwa kupitia story za kusikia tuu?....

sie wakristo katika sala ya baba yetu kuna mstari unatutaka kumuomba mungu atuepushe na vishawishi/majaribu ya mwovu shetani...ila inapotokea umejaribiwa na kuanguka katika dhambi ya uzinzi unafanya toba na kuomba msamaha wa mungu.

usiombe yakukute...ila yakikukuta ndio basi hukukusudia..ajali katika ndoa.
Naolewa kesho
 
mmmmmmh.....nitaoa kwel kwa staili hii.....yaya gete
 
Maskiin ona sasa yamewakuta! Tamaa imewaponza!
 
Habari wanajf!
Bilashaka mko poa na mnaendelea vyema na ujenzi wataifa.

Nimerejea tena jukwaani kuleta yaliyojiri baada ya fumanizi.

Bila Shaka mnakumbuka siku chache zilizopita nilitumbukiza uzi humu unao taarifu juu ya fumanizi wenye kichwa kisemacho AFUMANIWA AKIFANYA MAPENZI OFISINI.

Kwa walifutilia bilashaka tunakwenda sawa.

Baada ya fumanizi lile la boss wetu na staff mwenzetu ofisini hapajawa shwari, hii ni kutokana na matokea ya tukio lenyewe..mwanamke alijaribu kujiua ili kuepuka aibu lkn Mungu hakulipitisha hilo so aliwahishwa hospital na kupatiwa matibabu na baadae akapona na kuruhusiwa lkn akajikuta anaangukia mikononi mwa polisi kwa kosa la kujaribu kujitoa uhai..

Wakati hilo likiendelea huku ofisini vikao viliendelea kutafuta muafaka wa kujitoa ktk aibu kwa kuwashughulikia wahusika.

Kwakuwa boss wetu alikuwa amebakiza mwezi mmoja kumaliza mkataba wake shirika limeamua kusikitisha mkataba wake na halitamuhitaji tena, pia mwanamke amesimishwa kazi kwa muda usio julikana kwakuwa yeye ana miezi mitatu tu kazini.

Wakati hayo yakiendelee nyumbani napo si shwari mume wa mwanamke aliyefumaniwa amemtaka mwanamke achukue kila anachoona kitamfaa aondoke akaendelee na uzinzinifu wake.

Kwa upande wa boss aliyefumainiwa mkewe aliondoka siku Ile Ile na boss hajui amehamia wapi ingawa alipokwenda kumtafuta kazin kwake aliambiwa amechukua likizo.

Wadau mpaka sasa ndiyo hayo yaliyojiri.

Tukio ambalo linaonekana ni la kawaida kwa wanadamu wengi limesababisha hayo..

Angalizo langu kwa wanandoa uepukeni uzinzi na kama mnaona hamuwezi kuwa na mpenzi mmoja acheni kuingia kwenye ndoa.
Love is sweet love is poison.
 
Ukitaka mema tenda mema na ukitaka ubaya utafika mwisho wa ubaya nao utakugeuka.mapenzi we acha tu.
 
Huyo aliyeachika kama atahitaji mfariji nipo kwaajili yake.

Huyo atakua mwanamke mwema kabisa mbeleni maana kesha umwa na nyoka....uzuri bosi wenu hakuondoka nayo na pia mmewe zilipenda hajailock....namkaribisha kwa mikono miwili maana hajaua na huenda alitobgozwa tu.

Pia lazima atakua mzuri au mtam ndio maana anagombaniwa

ukienda kumuona hapo hosipitali, tafadhari nenda kamwambie kuna mfariji toka jf anakusubiri kwa hamu zote kama ataridhia kuja kuungana na mie tumalizie maisha yaliyobaki.
 
mleta mada umeolewa?..au unaongea kwa kupitia story za kusikia tuu?....

sie wakristo katika sala ya baba yetu kuna mstari unatutaka kumuomba mungu atuepushe na vishawishi/majaribu ya mwovu shetani...ila inapotokea umejaribiwa na kuanguka katika dhambi ya uzinzi unafanya toba na kuomba msamaha wa mungu.

usiombe yakukute...ila yakikukuta ndio basi hukukusudia..ajali katika ndoa.
Utusamehe makosa yetu...
 
Wewe sio mzinzi? Au huingii kwenye ndo?

Sheikh kipozeo alisema 'mwanamke 1 ni mamaako tu, wengine wote hawawi1'
 
Nitakuja kugombea hio nafasi iliyoachwa na bosi wako, nahitaji ushirikiano wako kama ulioleta hapa jamvini.
 
Habari wanajf!
Bilashaka mko poa na mnaendelea vyema na ujenzi wataifa.

Nimerejea tena jukwaani kuleta yaliyojiri baada ya fumanizi.

Bila Shaka mnakumbuka siku chache zilizopita nilitumbukiza uzi humu unao taarifu juu ya fumanizi wenye kichwa kisemacho AFUMANIWA AKIFANYA MAPENZI OFISINI.

Kwa walifutilia bilashaka tunakwenda sawa.

Baada ya fumanizi lile la boss wetu na staff mwenzetu ofisini hapajawa shwari, hii ni kutokana na matokea ya tukio lenyewe..mwanamke alijaribu kujiua ili kuepuka aibu lkn Mungu hakulipitisha hilo so aliwahishwa hospital na kupatiwa matibabu na baadae akapona na kuruhusiwa lkn akajikuta anaangukia mikononi mwa polisi kwa kosa la kujaribu kujitoa uhai..

Wakati hilo likiendelea huku ofisini vikao viliendelea kutafuta muafaka wa kujitoa ktk aibu kwa kuwashughulikia wahusika.

Kwakuwa boss wetu alikuwa amebakiza mwezi mmoja kumaliza mkataba wake shirika limeamua kusikitisha mkataba wake na halitamuhitaji tena, pia mwanamke amesimishwa kazi kwa muda usio julikana kwakuwa yeye ana miezi mitatu tu kazini.

Wakati hayo yakiendelee nyumbani napo si shwari mume wa mwanamke aliyefumaniwa amemtaka mwanamke achukue kila anachoona kitamfaa aondoke akaendelee na uzinzinifu wake.

Kwa upande wa boss aliyefumainiwa mkewe aliondoka siku Ile Ile na boss hajui amehamia wapi ingawa alipokwenda kumtafuta kazin kwake aliambiwa amechukua likizo.

Wadau mpaka sasa ndiyo hayo yaliyojiri.

Tukio ambalo linaonekana ni la kawaida kwa wanadamu wengi limesababisha hayo..

Angalizo langu kwa wanandoa uepukeni uzinzi na kama mnaona hamuwezi kuwa na mpenzi mmoja acheni kuingia kwenye ndoa.
Roho yako kwatu
 
Back
Top Bottom