Wafukuzwa kazi baada ya kufumwa wakifanya mapenzi ofisini

Wafukuzwa kazi baada ya kufumwa wakifanya mapenzi ofisini

Hahahaha! Sawa mtembea majalalani aka kiotezi..mfupa uliomshinda fisi wewe utauweza?

nami ntakula sehem yangu...kama kuna itakayo nishida na kubaki sio mbaya...itahifadhiwa ije kugunduliwa baadae kama oldupai.
 
Habari wanajf!
Bilashaka mko poa na mnaendelea vyema na ujenzi wataifa.

Nimerejea tena jukwaani kuleta yaliyojiri baada ya fumanizi.

Bila Shaka mnakumbuka siku chache zilizopita nilitumbukiza uzi humu unao taarifu juu ya fumanizi wenye kichwa kisemacho AFUMANIWA AKIFANYA MAPENZI OFISINI.

Kwa walifutilia bilashaka tunakwenda sawa.

Baada ya fumanizi lile la boss wetu na staff mwenzetu ofisini hapajawa shwari, hii ni kutokana na matokea ya tukio lenyewe..mwanamke alijaribu kujiua ili kuepuka aibu lkn Mungu hakulipitisha hilo so aliwahishwa hospital na kupatiwa matibabu na baadae akapona na kuruhusiwa lkn akajikuta anaangukia mikononi mwa polisi kwa kosa la kujaribu kujitoa uhai..

Wakati hilo likiendelea huku ofisini vikao viliendelea kutafuta muafaka wa kujitoa ktk aibu kwa kuwashughulikia wahusika.

Kwakuwa boss wetu alikuwa amebakiza mwezi mmoja kumaliza mkataba wake shirika limeamua kusikitisha mkataba wake na halitamuhitaji tena, pia mwanamke amesimishwa kazi kwa muda usio julikana kwakuwa yeye ana miezi mitatu tu kazini.

Wakati hayo yakiendelee nyumbani napo si shwari mume wa mwanamke aliyefumaniwa amemtaka mwanamke achukue kila anachoona kitamfaa aondoke akaendelee na uzinzinifu wake.

Kwa upande wa boss aliyefumainiwa mkewe aliondoka siku Ile Ile na boss hajui amehamia wapi ingawa alipokwenda kumtafuta kazin kwake aliambiwa amechukua likizo.

Wadau mpaka sasa ndiyo hayo yaliyojiri.

Tukio ambalo linaonekana ni la kawaida kwa wanadamu wengi limesababisha hayo..

Angalizo langu kwa wanandoa uepukeni uzinzi na kama mnaona hamuwezi kuwa na mpenzi mmoja acheni kuingia kwenye ndoa.
Kwa kawaida kanuni ya dhambi ina multplier effect. Madhara ya dhambi waliyoitenda yataendelea kujiongeza tena na tena na yanaweza wafikia hata watoto wao wasiohusika, Njia pekee ya kuvunja multiplier effect isiendelee ni toba kubwa na kurudi kwa Mwenyezi MUNGU moja kwa moja. Watu wengi wanafanya dhambi kwa makusudi lkn hawajui madhara yake yanakwenda mpaka wapi, lau akili zetu zingefunuliwa tukaona madhara ya dhambi tulizozitenda na jinsi zilivyosababisha kilio kikubwa kwa jamii inayotuzunguka, Naamini tungelia kilio kikuu tukifanya toba
 
Kwa kawaida kanuni ya dhambi ina multplier effect. Madhara ya dhambi waliyoitenda yataendelea kujiongeza tena na tena na yanaweza wafikia hata watoto wao wasiohusika, Njia pekee ya kuvunja multiplier effect isiendelee ni toba kubwa na kurudi kwa Mwenyezi MUNGU moja kwa moja. Watu wengi wanafanya dhambi kwa makusudi lkn hawajui madhara yake yanakwenda mpaka wapi, lau akili zetu zingefunuliwa tukaona madhara ya dhambi tulizozitenda na jinsi zilivyosababisha kilio kikubwa kwa jamii inayotuzunguka, Naamini tungelia kilio kikuu tukifanya toba
Umenigusa sana TOBA hufuta madhambi yote.
 
hadithi njoo uongo njoo utamu kolea siku hizi yule mtunzi wa kiu irene ndauka kahamia huku.
 
Ushauri mzuri sana lakini ofisini ni sehemu ya kazi sio kufanya mapenzi wangemaliza tu kazi then wakatafuta gest house wakafanya yao na hivi vimini wanawake wanavyovaa ndio kabisa ndoa hazitakua salama
Kanuni ya dhambi inafanya kazi popote pale hata mkiwa wawili tu mpo kwenye boti katikati ya bahari na hakuna aliyewaona.
 
Habari wanajf!
Bilashaka mko poa na mnaendelea vyema na ujenzi wataifa.

Nimerejea tena jukwaani kuleta yaliyojiri baada ya fumanizi.

Bila Shaka mnakumbuka siku chache zilizopita nilitumbukiza uzi humu unao taarifu juu ya fumanizi wenye kichwa kisemacho AFUMANIWA AKIFANYA MAPENZI OFISINI.

Kwa walifutilia bilashaka tunakwenda sawa.

Baada ya fumanizi lile la boss wetu na staff mwenzetu ofisini hapajawa shwari, hii ni kutokana na matokea ya tukio lenyewe..mwanamke alijaribu kujiua ili kuepuka aibu lkn Mungu hakulipitisha hilo so aliwahishwa hospital na kupatiwa matibabu na baadae akapona na kuruhusiwa lkn akajikuta anaangukia mikononi mwa polisi kwa kosa la kujaribu kujitoa uhai..

Wakati hilo likiendelea huku ofisini vikao viliendelea kutafuta muafaka wa kujitoa ktk aibu kwa kuwashughulikia wahusika.

Kwakuwa boss wetu alikuwa amebakiza mwezi mmoja kumaliza mkataba wake shirika limeamua kusikitisha mkataba wake na halitamuhitaji tena, pia mwanamke amesimishwa kazi kwa muda usio julikana kwakuwa yeye ana miezi mitatu tu kazini.

Wakati hayo yakiendelee nyumbani napo si shwari mume wa mwanamke aliyefumaniwa amemtaka mwanamke achukue kila anachoona kitamfaa aondoke akaendelee na uzinzinifu wake.

Kwa upande wa boss aliyefumainiwa mkewe aliondoka siku Ile Ile na boss hajui amehamia wapi ingawa alipokwenda kumtafuta kazin kwake aliambiwa amechukua likizo.

Wadau mpaka sasa ndiyo hayo yaliyojiri.

Tukio ambalo linaonekana ni la kawaida kwa wanadamu wengi limesababisha hayo..

Angalizo langu kwa wanandoa uepukeni uzinzi na kama mnaona hamuwezi kuwa na mpenzi mmoja acheni kuingia kwenye ndoa.
Hata hivyo huo uzi wako wa "afumaniwa akifanya mapenzi Ofisini" naona haupo. Leta link kwa wale ambao hawajauona
 
Ndio maana mnafeli kwa upumbavu wenu, nimesema mbea sijasema mmbeya! Mjifunze kucheza kutokana na tune!
Mbona umekwenda mbali sana, mpumbavu unamjua wewe? Muungwana huwa hatukani hadharani by the way nimeshakupuuza
 
Inaonyesha hapo Jirani hakuna hata nyumba za kufanyia zinaa, mpaka wanafanyia ofisini....!.
 
jamani analia tukio la wawili lilivovuruga watu...ndoa wake zao waume zao hata production ofisini........
 
Back
Top Bottom