Hahahaha! Sawa mtembea majalalani aka kiotezi..mfupa uliomshinda fisi wewe utauweza?
[emoji124]Kaa pembeni
HAKI ZA BINADAMU PAMOJA NA BABA MBOWE INGILIA KATI HAKI ITENDEKE.
Haya mkuu ntafikisha salam
Kwa kawaida kanuni ya dhambi ina multplier effect. Madhara ya dhambi waliyoitenda yataendelea kujiongeza tena na tena na yanaweza wafikia hata watoto wao wasiohusika, Njia pekee ya kuvunja multiplier effect isiendelee ni toba kubwa na kurudi kwa Mwenyezi MUNGU moja kwa moja. Watu wengi wanafanya dhambi kwa makusudi lkn hawajui madhara yake yanakwenda mpaka wapi, lau akili zetu zingefunuliwa tukaona madhara ya dhambi tulizozitenda na jinsi zilivyosababisha kilio kikubwa kwa jamii inayotuzunguka, Naamini tungelia kilio kikuu tukifanya tobaHabari wanajf!
Bilashaka mko poa na mnaendelea vyema na ujenzi wataifa.
Nimerejea tena jukwaani kuleta yaliyojiri baada ya fumanizi.
Bila Shaka mnakumbuka siku chache zilizopita nilitumbukiza uzi humu unao taarifu juu ya fumanizi wenye kichwa kisemacho AFUMANIWA AKIFANYA MAPENZI OFISINI.
Kwa walifutilia bilashaka tunakwenda sawa.
Baada ya fumanizi lile la boss wetu na staff mwenzetu ofisini hapajawa shwari, hii ni kutokana na matokea ya tukio lenyewe..mwanamke alijaribu kujiua ili kuepuka aibu lkn Mungu hakulipitisha hilo so aliwahishwa hospital na kupatiwa matibabu na baadae akapona na kuruhusiwa lkn akajikuta anaangukia mikononi mwa polisi kwa kosa la kujaribu kujitoa uhai..
Wakati hilo likiendelea huku ofisini vikao viliendelea kutafuta muafaka wa kujitoa ktk aibu kwa kuwashughulikia wahusika.
Kwakuwa boss wetu alikuwa amebakiza mwezi mmoja kumaliza mkataba wake shirika limeamua kusikitisha mkataba wake na halitamuhitaji tena, pia mwanamke amesimishwa kazi kwa muda usio julikana kwakuwa yeye ana miezi mitatu tu kazini.
Wakati hayo yakiendelee nyumbani napo si shwari mume wa mwanamke aliyefumaniwa amemtaka mwanamke achukue kila anachoona kitamfaa aondoke akaendelee na uzinzinifu wake.
Kwa upande wa boss aliyefumainiwa mkewe aliondoka siku Ile Ile na boss hajui amehamia wapi ingawa alipokwenda kumtafuta kazin kwake aliambiwa amechukua likizo.
Wadau mpaka sasa ndiyo hayo yaliyojiri.
Tukio ambalo linaonekana ni la kawaida kwa wanadamu wengi limesababisha hayo..
Angalizo langu kwa wanandoa uepukeni uzinzi na kama mnaona hamuwezi kuwa na mpenzi mmoja acheni kuingia kwenye ndoa.
Umenigusa sana TOBA hufuta madhambi yote.Kwa kawaida kanuni ya dhambi ina multplier effect. Madhara ya dhambi waliyoitenda yataendelea kujiongeza tena na tena na yanaweza wafikia hata watoto wao wasiohusika, Njia pekee ya kuvunja multiplier effect isiendelee ni toba kubwa na kurudi kwa Mwenyezi MUNGU moja kwa moja. Watu wengi wanafanya dhambi kwa makusudi lkn hawajui madhara yake yanakwenda mpaka wapi, lau akili zetu zingefunuliwa tukaona madhara ya dhambi tulizozitenda na jinsi zilivyosababisha kilio kikubwa kwa jamii inayotuzunguka, Naamini tungelia kilio kikuu tukifanya toba
We mwanamke kwa umbea tu hujambo lol, yani umefatilia ya kule na huku umeamua kutuletea mtandaoni, ok sawa basi...!
Kanuni ya dhambi inafanya kazi popote pale hata mkiwa wawili tu mpo kwenye boti katikati ya bahari na hakuna aliyewaona.Ushauri mzuri sana lakini ofisini ni sehemu ya kazi sio kufanya mapenzi wangemaliza tu kazi then wakatafuta gest house wakafanya yao na hivi vimini wanawake wanavyovaa ndio kabisa ndoa hazitakua salama
Hata hivyo huo uzi wako wa "afumaniwa akifanya mapenzi Ofisini" naona haupo. Leta link kwa wale ambao hawajauonaHabari wanajf!
Bilashaka mko poa na mnaendelea vyema na ujenzi wataifa.
Nimerejea tena jukwaani kuleta yaliyojiri baada ya fumanizi.
Bila Shaka mnakumbuka siku chache zilizopita nilitumbukiza uzi humu unao taarifu juu ya fumanizi wenye kichwa kisemacho AFUMANIWA AKIFANYA MAPENZI OFISINI.
Kwa walifutilia bilashaka tunakwenda sawa.
Baada ya fumanizi lile la boss wetu na staff mwenzetu ofisini hapajawa shwari, hii ni kutokana na matokea ya tukio lenyewe..mwanamke alijaribu kujiua ili kuepuka aibu lkn Mungu hakulipitisha hilo so aliwahishwa hospital na kupatiwa matibabu na baadae akapona na kuruhusiwa lkn akajikuta anaangukia mikononi mwa polisi kwa kosa la kujaribu kujitoa uhai..
Wakati hilo likiendelea huku ofisini vikao viliendelea kutafuta muafaka wa kujitoa ktk aibu kwa kuwashughulikia wahusika.
Kwakuwa boss wetu alikuwa amebakiza mwezi mmoja kumaliza mkataba wake shirika limeamua kusikitisha mkataba wake na halitamuhitaji tena, pia mwanamke amesimishwa kazi kwa muda usio julikana kwakuwa yeye ana miezi mitatu tu kazini.
Wakati hayo yakiendelee nyumbani napo si shwari mume wa mwanamke aliyefumaniwa amemtaka mwanamke achukue kila anachoona kitamfaa aondoke akaendelee na uzinzinifu wake.
Kwa upande wa boss aliyefumainiwa mkewe aliondoka siku Ile Ile na boss hajui amehamia wapi ingawa alipokwenda kumtafuta kazin kwake aliambiwa amechukua likizo.
Wadau mpaka sasa ndiyo hayo yaliyojiri.
Tukio ambalo linaonekana ni la kawaida kwa wanadamu wengi limesababisha hayo..
Angalizo langu kwa wanandoa uepukeni uzinzi na kama mnaona hamuwezi kuwa na mpenzi mmoja acheni kuingia kwenye ndoa.
Ndio maana mnafeli kwa upumbavu wenu, nimesema mbea sijasema mmbeya! Mjifunze kucheza kutokana na tune!Hapana, mi ni mkilimanjaro
Kuanzia leo unalala bila pichuKaribu kama unadhani naweza fanana hao uliowahi kutana nao!