Wafungaji wa mfumo wa gas asilia (CNG) kwenye magari ya petrol na diesel

Wafungaji wa mfumo wa gas asilia (CNG) kwenye magari ya petrol na diesel

Huu mfumo ni mzuri,
Sema gharama zenu ziko juu sana unnecessarily. Yaan haieleweki ukubwa wa Bei ni ule mtungi, pipes au ile labor charge.

Lakin kama mngezingatia bei iendane na uhalisia wa gharama za kufunga basi wengi wangefunga huu mfumo na mgepata wateja wengi zaidi.

Ila tunakoelekea nina uhakika market forces zitaji adjust zenyewe na bei itakuja kua kwenye uhalisia wake
 
Huu mfumo ni mzuri,
Sema gharama zenu ziko juu sana unnecessarily. Yaan haieleweki ukubwa wa Bei ni ule mtungi, pipes au ile labor charge.

Lakin kama mngezingatia bei iendane na uhalisia wa gharama za kufunga basi wengi wangefunga huu mfumo na mgepata wateja wengi zaidi.

Ila tunakoelekea nina uhakika market forces zitaji adjust zenyewe na bei itakuja kua kwenye uhalisia wake
gharama ipo juu kutokana na gahrama ya vifaa ipo juu mfano vifaa vingi vinaanzia 1.6M hivyo imepelekea gharama kuwa juu kwa ujumla ukizingatia ufungaji wa mfumo huu unafungwa na mtu alie bobea katika mfumo wa engine ili ulaji wa gesi uwe wa kiwango cha chini kama ilivyo kusudiwa. 🙏
 
gharama ipo juu kutokana na gahrama ya vifaa ipo juu mfano vifaa vingi vinaanzia 1.6M hivyo imepelekea gharama kuwa juu kwa ujumla ukizingatia ufungaji wa mfumo huu unafungwa na mtu alie bobea katika mfumo wa engine ili ulaji wa gesi uwe wa kiwango cha chini kama ilivyo kusudiwa. 🙏
Hapa kama umepiga siasa flan hivi. Tuwe wakweli tu, 1.6mil ya vifaa ni ule mtungi, pipes zinazopeleka gesi mbele au nini mnachoweka kule mbele kifanye bei ifike huko?
 
Hapa kama umepiga siasa flan hivi. Tuwe wakweli tu, 1.6mil ya vifaa ni ule mtungi, pipes zinazopeleka gesi mbele au nini mnachoweka kule mbele kifanye bei ifike huko?
serikali ilishatoa ufafanuzi kuwa vifaa vya mfumo wa gesi asilia vina gharama kubwa kwakuwa vifaa hivyo avina msamaa wa kodi pindi viagizwapo

pia system za magari hasa katika mfumo wa engine vina gharama kubwa.
mfano, ECU, common rail, coil, throtle body na vinginevyo vina gharam labda uwe mgeni kwenye magari na hata upande wa gesi tunafunga system yake ya kujitegemea
nawasilisha​
 
serikali ilishatoa ufafanuzi kuwa vifaa vya mfumo wa gesi asilia vina gharama kubwa kwakuwa vifaa hivyo avina msamaa wa kodi pindi viagizwapo

pia system za magari hasa katika mfumo wa engine vina gharama kubwa.
mfano, ECU, common rail, coil, throtle body na vinginevyo vina gharam labda uwe mgeni kwenye magari na hata upande wa gesi tunafunga system yake ya kujitegemea
nawasilisha​
Kwani mkifunga mfumo wa gesi mnabadili ECU na throttle body?
 
Kutokana na gharama za mafuta kupanda juu. OKEMI technical services tumekuja na huduma ya kufunga mfumo wa gas fuel kwenye magari yote yanayo tumia diesel na petrol

Gas fuel ina gharama nafuu kwa kulinganisha petrol na diesel, kwa kutumia gas fuel system unaweza kupunguza gharam za manunuzi ya nishati kwa 60%-70%

Gharama zetu ni nafuu na hutumia muda wa masaa 4-8 kwa kufunya installation ya mfumo na kufanya diagnosis kwa mfumo wote ili kukamilika na kufanya kazi kwa ufasaha

Tupo katika chuo cha usafirishaji yaani NIT mkabala na kiwanda cha URAFIKI TEXTILE INDUSTRY

SIMU; 0692235221

KARIBU
Kwenye crown mnafunga
 
Serika
Kinachofanya huduma hii iwe ndani ya Dar ni kutokana na kutokuwepo kwa vituo vya ujazaji gasi asilia mikoani pia serikali ipo katika mchakato wa kuongeza vituo mikoani hivyo tutafika 🙏
Sisi raia tunaona kama Serikali inalinda biashara za wenye vituo vya mafuta. Nchi hii ni moja kama huduma fulani ikianzishwa isiwe Dar tu, mbona kama tozo ikianzishwa ni nchi nzima siyo kwa mafungu. Kuna makampuni yapo duniani wakitangaziwa tenda watakuja kutufungia mifumo ya gas-Dunia ni kijiji siku hizi.
 
Kutokana na gharama za mafuta kupanda juu. OKEMI technical services tumekuja na huduma ya kufunga mfumo wa gas fuel kwenye magari yote yanayo tumia diesel na petrol

Gas fuel ina gharama nafuu kwa kulinganisha petrol na diesel, kwa kutumia gas fuel system unaweza kupunguza gharam za manunuzi ya nishati kwa 60%-70%

Gharama zetu ni nafuu na hutumia muda wa masaa 4-8 kwa kufunya installation ya mfumo na kufanya diagnosis kwa mfumo wote ili kukamilika na kufanya kazi kwa ufasaha

Tupo katika chuo cha usafirishaji yaani NIT mkabala na kiwanda cha URAFIKI TEXTILE INDUSTRY

SIMU; 0692235221

KARIBU

Kutokana na gharama za mafuta kupanda juu. OKEMI technical services tumekuja na huduma ya kufunga mfumo wa gas fuel kwenye magari yote yanayo tumia diesel na petrol

Gas fuel ina gharama nafuu kwa kulinganisha petrol na diesel, kwa kutumia gas fuel system unaweza kupunguza gharam za manunuzi ya nishati kwa 60%-70%

Gharama zetu ni nafuu na hutumia muda wa masaa 4-8 kwa kufunya installation ya mfumo na kufanya diagnosis kwa mfumo wote ili kukamilika na kufanya kazi kwa ufasaha

Tupo katika chuo cha usafirishaji yaani NIT mkabala na kiwanda cha URAFIKI TEXTILE INDUSTRY

SIMU; 0692235221

KARIBU
Weka bei straight away. Binafsi, naogopa sana wasioweka bei badala yake huweka za simu. Weka hata range ya bei minimum to maximum
 
WEKA WI-FI, WEKA WI-FI, HUU SIO MDA TENA WA KUWAZA KUISHIWA NA DATA, ROUTER NI BEI NDOGO TU!

⚫KWENYE BISASHARA YAKO WEKA WI-FI

⚫KWENYE SHULE WEKA WI-FI

⚫KANISANI WEKA WI-FI

⚫KAZINI WEKA WI-FI
⚫KWENYE KAMPUNI WEKA WI-FI

⚫NYUMBANI KWAKO WEWE NA FAMILIA YAKO WEKA WI-FI

⚫CHUONI WEKA WI-FI

⚫UNA SECURITY CAMERA FUNGA WI-FI

⚫SEHEM ZINGINE AMBAZO SIJAZITAJA WEKA WI-FI

TUMIA DATA UNLIMITED, YANI BILA KUWAZA KUA GB ZITAISHA?

NJOO NIKUPE ROUTER ZENYE UWEZO MKUBWA TECNOLOJIA YA 5G SPEED HADI 200mbps, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO !

MKOA WOWOTE ULIPO HUDUMA INAKUFIKIA NDANI YA MDA MFUPI

GHARAMA NI NAFUU SANA, ( pia laini pekeyake bila router nakuwezeshea bando unlimited kwa bei poa )
NICHEKI: 0717700921
 
Kinachofanya huduma hii iwe ndani ya Dar ni kutokana na kutokuwepo kwa vituo vya ujazaji gasi asilia mikoani pia serikali ipo katika mchakato wa kuongeza vituo mikoani hivyo tutafika 🙏
Ni mwaka sasa na miezi 5 tangu uliposema hili.


Mchakato wa serikali vipi, umeshafika angalau kibaha?
 
Back
Top Bottom