min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
😁😁Ungebakwa na njemba ndo ungejua utofauti,na ubakaji haswa ni nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁Ungebakwa na njemba ndo ungejua utofauti,na ubakaji haswa ni nini
Vizuri tujue yuko upande wa MAADUI ama wa STELINGI 😂🤣Nje ya mada, umeunga mkono muswada??
Ndo ivo isijekua anatupumbaza kwa hizi habari rahisi rahisi.Vizuri tujue yuko upande wa MAADUI ama wa STELINGI 😂🤣
Wanaoendesha magari ya wanafunzi wapimwe kwanza afya ya akili pamoja na kujua kama hawatumii madawa ya kulevya(Bangi, cocaine nk). Ahsante na hongera sana kwa kusimamia hili na mengine .Mungu akubariki uamkapo na ulalapo.Kuhusu kesi ya dereva na konda wa school bus kumkatili mtoto wa miaka 6, aliyekuwa mwanafunzi wa shule ya star light pre and nursery school, Kinondoni, Dar es Salaam, watuhumiwa wote 2 walitiwa hatiani na walifungwa maisha kwa hukumu ya tarehe 22 mei, 2024.
Kuhusu tikio hili soma: Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni aingilia taarifa za Madereva wa School Bus kudaiwa kunajisi Watoto
Habari zaidi utazipata 'in the resident magistrates court of Kivukoni, at kinondoni' case no. 392 of 2022 between republic versus washtakiwa hao wawili.
View attachment 3029110
KUMBUKIZI YA PICHA MWAKA 2022: Nikiwa nimesimama na Mhe. Gondwe, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, tulipotembelea shule husika kufuatilia tukio hili.
WITO: Wazazi na Walezi tuendelee kuwa karibu na watoto siku zote. Mtoto ukiona anakataa kwenda shuleni ujiulize mara kadhaa na useme naye, akitoka shule sema naye kirafiki, kagua nguo zake, muogeshe, imba naye don't touch, muulize nani kamshika wapi na kampa zawadi gani ... kuwa karibu naye
Aidha, mkienda visiting days vunjeni ukimya ongeeni na watoto kuhusu ukatili wa kijinsia dhidi yao.
Ikumbukwe, Serikali ilitoa waraka kuhusu umuhimu wa school bus kuwa na wahudumu wa kike, (matron). Tunaendelea na tathmini.
Naomba atupe jibu tafadhali tumjue ni ndugu yetu au adui yetu.Ndo ivo isijekua anatupumbaza kwa hizi habari rahisi rahisi.
Au swali jepesi ni je ni team Mpina au team sipika!!