Wafungwa maisha kwa ukatili wa mtoto kwenye school bus

Vizuri sana.

Hawa watoto wanaosoma hizi day schools usalama wao bado ni mdogo.

Wazazi tuache uzungu mwingi, tuwafundishe watoto kujilinda na mashambulio.
Wenzetu nchi zao miundombinu yao iko vizuri, magari yao yana camera, wanajari muda nk.

Sisi huku tuwafundishe watoto wetu kipi chema na kipi kibaya, kipi afanye na kipi asifanye.
Wapi asiguswe nk tusiwaamini sana watu nje ya sisi wazazi .
 
Mimi nadhani serikali ingejikita sasa kwenye kuzisimamia hizo sheria ndogo ilizowawekea hao wamiliki wa shule za mchepuo wa Kiingereza.

Kwa mfano hiyo ya magari yote ya shule kuwa na matrons!

Halafu na muda wa kwenda shule nao usogezwe mbele walau mpaka saa mbili hivi asubuhi, na muda wa kutoka uwe saa nane mchana.
Haya mambo ya kuwakurupusha watoto wadogo saa 10 alfajiri, na kuwarudisha nyumbani saa 12 jioni, na wenyewe haujakaa sawa.

Lakini pia zile shule zinazowahifadhi watoto wadogo zikaguliwe mara kwa mara ili kuangalia kama zinakidhi vigezo vya kuwahifadhi hao watoto.
 
Mnawafungaje KENGE kama hao, wakateni DHAKARI zao, wabakishie pakukojolea tu, haribuni KENDE zao kwa nyundo kisha waachieni waishi mtaani.
 
Wanaoendesha magari ya wanafunzi wapimwe kwanza afya ya akili pamoja na kujua kama hawatumii madawa ya kulevya(Bangi, cocaine nk). Ahsante na hongera sana kwa kusimamia hili na mengine .Mungu akubariki uamkapo na ulalapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…