BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Taarifa iliyowasilishwa Bungeni kupitia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Masuala ya #UKIMWI na kueleza kuwa Wafungwa na Mahabusu Tanzania wanapewa aina moja ya Chakula kila Siku.
Kutokana na hilo, Afya za #Wafungwa walioathirika na Virusi vya UKIMWI na wanaotumia Dawa za Kupunguza Makali ya Virusi (ARVs) zimedhoofika kwasababu ya Ukali na Nguvu ya Dawa wanazokunywa.
Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Kamati, idadi ya Wafungwa wenye VVU wanaotumia Dawa Nchini kote ni 888 ambapo Kamati imeshauri Serikali kuhakikisha inatoa Lishe Bora kwa Wafungwa hao.
Kutokana na hilo, Afya za #Wafungwa walioathirika na Virusi vya UKIMWI na wanaotumia Dawa za Kupunguza Makali ya Virusi (ARVs) zimedhoofika kwasababu ya Ukali na Nguvu ya Dawa wanazokunywa.
Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Kamati, idadi ya Wafungwa wenye VVU wanaotumia Dawa Nchini kote ni 888 ambapo Kamati imeshauri Serikali kuhakikisha inatoa Lishe Bora kwa Wafungwa hao.