Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuuunda ndege?? au kuunganisha vipuri baada ya kutengenezwa ulaya na marekani!!! nataka watu waje na kitu kipya ambacho hakipo hapa duniani, sio zile habari za magari ya nyumbu eti yana tengenezwa tz.
Hata hao wanaotengeneza ndege vifaa vingi tu wanategemeana.kuuunda ndege?? au kuunganisha vipuri baada ya kutengenezwa ulaya na marekani!!! nataka watu waje na kitu kipya ambacho hakipo hapa duniani, sio zile habari za magari ya nyumbu eti yana tengenezwa tz.
Wenzetu wanainua vipaji, hapa kwetu tuna vipaji vingi tu isipokuwa vinauliwa na serikali kwa mfano mtu anatengeneza gobole au helicopter ya mota lakini anakamatwa anawekwa ndani badala ya kumchukua aende jeshini akaendeleze hiyo fani yake.
POOR TANZANIA
Toa wewe kitu kipyakuuunda ndege?? au kuunganisha vipuri baada ya kutengenezwa ulaya na marekani!!! nataka watu waje na kitu kipya ambacho hakipo hapa duniani, sio zile habari za magari ya nyumbu eti yana tengenezwa tz.
Haya kama ni ya tope,ndugu zetu Waganda wanajitahidi,tuwaombeeRhatarii
[emoji28] [emoji28] [emoji97] [emoji228] [emoji97] [emoji226] [emoji97]Haya kama ni ya tope,ndugu zetu Waganda wanajitahidi,tuwaombee
Uko serious lakini. Yaani badala ya kuboresha upaji wake, na kuienzi, wantishwa nayo??? How sadEnzi za ujana wangu niliishi Kinondoni Dar karibu na Black Power Bar,siku moja askari polisi na bunduki waliizingira nyumba tuliyopanga nikauliza kulikoni?nikambiwa kuna matangazo ya radio wamegundua yanatokea hapo kumbe ni kakijana kaliunganisha maringi ya baiskeli akaweka juu ya bati sijui na vitu gani tukawa tunampata ktk radio zetu. Amini usiamini yule kijana waliondoka naye sijui mwisho wake ilikuwaje!