Waganga wa kienyeji wanavyolala na wanawake kwa kigezo cha matibabu

Waganga wa kienyeji wanavyolala na wanawake kwa kigezo cha matibabu

Ndiyo maana waganga wengi wanakufa sana kwa ngoma kizazi hiki
 
Ujinga huu .... Mpaka sasa watu wanaamini uganga jamani kafungwa kwann asiende kuombewa .... Yaani angeingiliwa tu mpaka itokee kooni
 
Habari zenu humu,
Kumekuwa na wimbi la matukio ya waganga wa kienyeji kutembea na wagonjwa wao kila wanapokwenda kupata huduma ya matibabu kwa waganga hao.Wiki moja iliyopita kuna mtu na wifi yake walikuja kuripoti tatizo hilo wakisema kuwa mganga amenanii nao eti kama njia ya kuwapatia matibabu,dada huyo ambaye ni mjamzito wa miezi 7 alikwenda kwa mganga huyo eti akamfungue kutokana na kufungwa kishirikina na majirani zake asijifungue miezi 9 ikifika ili afe.Kwahiyo mganga akamwambia kuna dawa atampka lakini kwa kumwingiza dyudyu huko,kwahiyo mganga akaduu nae.Wifi yake nae ambae alikuwa na tatizo la kutopata mtoto aliambiwa na mganga huyo kuwa atapewa dawa ya kupaka kunako huko lakini kwa kusaidiwa na mganga huyo kuingiza kwa dyudyu yake.Kuja kutaharuki mganga kawapitia wote mtu na wifi ake ndani ya siku moja.
Sasa ndugu zangu watu hao wanataka kumfungulia mashtaka mganga huyo,je kuna nafasi ya kushinda kesi hii dhidi ya mganga huyo??
Kuna haja ya kujifunza uganga wa kienyeji manake hao akina dada wenyewe Mashaalah,manake mmhh.....
Hamnazo yaani huwezi fikiria huyu mganga anashindwa kuweka dawa kama cyo goli la mkono....hilo wamejifunga wenyewe acha refa aweke mpira Kati..
 
Hahaha.... kwahiyo angetumia goli la mkono
 
Huo mchezo unafanywa sana na matapeli wanaojificha kwenye kichaka cha waganga wa kienyeji,yaani kwa kweli dada zetu,mama zetu wanapigwa ille mbaya,kuna yule mama mmoja wa wamiliki wa shule moja ya sekondari wilaya ya same mkoani Kilimanjaro,mwaka jana aliingia kwenye anga za hao jamaa,wakamwambia atoe pesa wamtengenezee dawa ili shule yake ipate wanafunzi wengi mpaka mwenyewe akimbie,jamii alitoa sharti moja kuwa ili dawa ifanye kazi sharti amegwe,na kweli alimegwa mbaya sana tena kwenye mahoteli makubwa makubwa mwisho wa siku hakuwa cha wanafunzi kujaa wala nini,kumegwa amemegwa na pesa ya kutosha akachapwa,leo ni mgogoro mkubwa ndani ya familia,yule mama baada ya kugundua kuwa alikuwa anapigwa bila kujijua,akaenda kufungua jalada polisi jamaa akakamatwa lakini akawaambia polisi kuwa yule mama ni mpenzi wake na hajawahi kumwambia kama mke wa mtu na kaonyesha ushahidi wa picha wakila bata,sasa hapo kuna kesi?,wajinga ndiyo waliwaoooooooooooooo
Hahaha
 
Habari zenu humu,
Kumekuwa na wimbi la matukio ya waganga wa kienyeji kutembea na wagonjwa wao kila wanapokwenda kupata huduma ya matibabu kwa waganga hao.

Wiki moja iliyopita kuna mtu na wifi yake walikuja kuripoti tatizo hilo wakisema kuwa mganga amenanii nao eti kama njia ya kuwapatia matibabu, dada huyo ambaye ni mjamzito wa miezi 7 alikwenda kwa mganga huyo eti akamfungue kutokana na kufungwa kishirikina na majirani zake asijifungue miezi 9 ikifika ili afe.

Kwa hiyo mganga akamwambia kuna dawa atampaka lakini kwa kumwingiza dyudyu huko, kwa hiyo mganga akaduu nae.

Wifi yake nae ambae alikuwa na tatizo la kutopata mtoto aliambiwa na mganga huyo kuwa atapewa dawa ya kupaka kunako huko lakini kwa kusaidiwa na mganga huyo kuingiza kwa dyudyu yake. Kuja kutaharuki mganga kawapitia wote mtu na wifi ake ndani ya siku moja.

Sasa ndugu zangu watu hao wanataka kumfungulia mashtaka mganga huyo, je kuna nafasi ya kushinda kesi hii dhidi ya mganga huyo??

Kuna haja ya kujifunza uganga wa kienyeji manake hao akina dada wenyewe Mashaalah,manake mmhh.....
Asee
 
Hii hatari!,wengi ni matapeli na hutumia matatizo ya uzazi kufanya ufirauni,mtu akiambiwa naingiza dawa kwa dyudyu atakubali tu,na liganga hata halivai kinga.
Atavaaje kinga, na dawa inatakiww iingie kunako vizuri
 
Mimi ndio ningekua mganga, hiyo dawa ningekua nagawa tu bure wallah...😋
 
Huo mchezo unafanywa sana na matapeli wanaojificha kwenye kichaka cha waganga wa kienyeji,yaani kwa kweli dada zetu,mama zetu wanapigwa ille mbaya,kuna yule mama mmoja wa wamiliki wa shule moja ya sekondari wilaya ya same mkoani Kilimanjaro,mwaka jana aliingia kwenye anga za hao jamaa,wakamwambia atoe pesa wamtengenezee dawa ili shule yake ipate wanafunzi wengi mpaka mwenyewe akimbie,jamii alitoa sharti moja kuwa ili dawa ifanye kazi sharti amegwe,na kweli alimegwa mbaya sana tena kwenye mahoteli makubwa makubwa mwisho wa siku hakuwa cha wanafunzi kujaa wala nini,kumegwa amemegwa na pesa ya kutosha akachapwa,leo ni mgogoro mkubwa ndani ya familia,yule mama baada ya kugundua kuwa alikuwa anapigwa bila kujijua,akaenda kufungua jalada polisi jamaa akakamatwa lakini akawaambia polisi kuwa yule mama ni mpenzi wake na hajawahi kumwambia kama mke wa mtu na kaonyesha ushahidi wa picha wakila bata,sasa hapo kuna kesi?,wajinga ndiyo waliwaoooooooooooooo
Umenikumbusha kesi ya Mama Mmoja aliyekuwa Mmiliki wa Fountain Gate Ununio Beach... Ilikuwa hivyohivyo ila kulikuwa na Mtoto mmoja wa KIGOGO MSTAAFU... Ndiye alikuwa anampa
... Mwishoni wakamtapeli kama 100M alivyowasumbua wakamuua wakamtupa kwenye Septic Tank la Shule hiyo.... SAD 😔 😟 🙁 😥


.
 
Magonjwa Gani yenye kukosa matibabu hospitali ayaweze kapuku lulembela ndani ndani huko?
Huwajui Waganga wewe

Yaani akiwa na nia ya kula mzigo lazima atatumia mbinu zozote ikiwemo hiyo ya kuingiza dawa ukeni kupitia kifanyio chake 😅
 
Umenikumbusha kesi ya Mama Mmoja aliyekuwa Mmiliki wa Fountain Gate Ununio Beach... Ilikuwa hivyohivyo ila kulikuwa na Mtoto mmoja wa KIGOGO MSTAAFU... Ndiye alikuwa anampa
... Mwishoni wakamtapeli kama 100M alivyowasumbua wakamuua wakamtupa kwenye Septic Tank la Shule hiyo.... SAD 😔 😟 🙁 😥


.
Hawakukamatwa hao matapeli wa mchongo?
 
Back
Top Bottom