GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na cha Kushangaza pia za South Afrika anapewa kila Mwezi, ila za Ilala anapewa kwa Awamu Tano na hata Kukopwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unafosi Aziz ifanane na Debora ila wapi.Kama kweli Huyu single mother ndio kasababisha Aziza kubaki bongo basi Aziza ana matatizo makubwa
Naunga mkono hoja....Kama kweli Huyu single mother ndio kasababisha Aziza kubaki bongo basi Aziza ana matatizo makubwa
Anaonekana mtamu sanaNaunga mkono hoja....
Kwanza yule dem ana mashavu ka anapuliza moto na pua lake lilonyenyuka ka ananusa harufu mbaya...☹️
Vibinti vilivyokulia uswazi vinakuwaga vina utundu flani hiviNaunga mkono hoja....
Kwanza yule dem ana mashavu ka anapuliza moto na pua lake lilonyenyuka ka ananusa harufu mbaya...☹️
Hakuna hicho kitu kwadunia ya leo,mapenzi na pesa vina nguvu sana ila kwa hili maoenzi yameshindaKabaki yanga kwaajili ya mapenzi binafsi na timu
yule dada anasogelea nyota ili nae yake ing'ae kama hivi tunamjadili!Kabaki yanga kwaajili ya mapenzi binafsi na timu
Kanaonekana kana ufundiHujui anachopewa, mtoto anaonekana anajua mambo
Ya kiakili kabisaKama kweli Huyu single mother ndio kasababisha Aziza kubaki bongo basi Aziza ana matatizo makubwa
Hawa ndiyo wale wanaofinyia kwa ndani, wakoloni lazima watokeKanaonekana kana ufundi
Joyce lomalisa hajambo?Naona unafosi Aziz ifanane na Debora ila wapi.