Waganga wa Tanzania Kiboko yaani Mtu 'anarogwa' hadi anaacha Mshahara wa Tsh Milioni 90 kwa Mwezi South Afrika na Kuubali wa Tsh Milioni 30 za Ilala

Waganga wa Tanzania Kiboko yaani Mtu 'anarogwa' hadi anaacha Mshahara wa Tsh Milioni 90 kwa Mwezi South Afrika na Kuubali wa Tsh Milioni 30 za Ilala

Tulitafuta silaha ya kumbakisha kimkakati maana kila dalili zilionyesha Ki kuota mabawa wakati sisi tunahitaji huduma yake...simpo tu akasaini chap
 
Tukiwaambia Dawa zipo ham elewi!

Ile Jezi anayovaaga ilipelekwa Tanga ikatengenezwa wiki nzima ndio akaja kuivaa akacheza mechi za mwisho mwisho..

Baada ya hapo Domo akawa hasikii wala haelewi[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom