Waganga wa Tanzania Kiboko yaani Mtu 'anarogwa' hadi anaacha Mshahara wa Tsh Milioni 90 kwa Mwezi South Afrika na Kuubali wa Tsh Milioni 30 za Ilala

Waganga wa Tanzania Kiboko yaani Mtu 'anarogwa' hadi anaacha Mshahara wa Tsh Milioni 90 kwa Mwezi South Afrika na Kuubali wa Tsh Milioni 30 za Ilala

Uroge mchezaji aliyejiishia?

Hivi nyie utipolo m amuona chama huyu wa sasa ni wa thamani sana? Chama aliyeondoka Simba ni Yule aliyeenda barkane huyu wa sasa ni sawa na zawadi mauya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiii, khaaaah
 
Huyu kaka and midomo mibaya myekundu imechanua kama mashavu ya k-vant,
simuelewagi anaonekana ana kaujinga flani ka kuishi maisha ya wapambe, sipendi mwanaume asie na msimamo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu kaka and midomo mibaya myekundu imechanua kama mashavu ya k-vant,
simuelewagi anaonekana ana kaujinga flani ka kuishi maisha ya wapambe, sipendi mwanaume asie na msimamo
Unajipa umuhimu usiokuwa nao kwa maisha ya watu. Sio Aziz K peke yake, hata sisi huku JF hatukupendi pia acha kukashfu uumbaji wa Mungu kwa wengine.

Jitahidi kuonyesha hekima na heshima mbele za watu kwanunajidhihirishaha na kujitia aibu mwenyewe kama mwanamke. Mashavu ya "K-Vant" una maana gani?
 
Back
Top Bottom