Wagiriki nini kiliwakuta? Sasa hivi hamna tena Wagiriki wenye akili kama zamani?

Yaani sawa sawa uulize kua kabla ya kugundulika gravity jiwe lilikua likilishwa juu halirudi chini????
Naam Sasa tupo sambamba...! Kwamba Meli/mitumbwi zilishagunduliwa sema kwa sheria ya " kichaa" Archimedes maboresho ya urahisi katika ufanisi wa Meli yalianzia kwa Kasi..!
 
Eti kawawa
' Development in third world countries, "Kawawa funika kikombe", must be set in such a way that it is understood by citizens in those respective countries.' Alisema Mwalimu alipoona kikombe hakifunikwi huku Wazungu wakiendelea kuminina chai wakati muhusika ameisha tosheka.
====
Kweli Kuna haja ya kufuatilia hili tujue huu usumbufu aliuanzisha nani na kw manufaa yapi!
 
Hivi stori za kawawa nani alizitunga na kwasababu gani?? Eti kawawa alilala chini alishwindwa kujua kitanda kipo ukutani inabidi ubonyeze batan ili kichomoke. Ila nyerere alijua. 😂
Walikua wanatuchukuliaje lakini??

Eureka Eureka.....
Vijiwe vya kahawa havikosi wazee wa fiksi 😂
 
Huyo namba tatu alikuwa na akili gani zaidi ya kufata mwongozo wa kitabu?
 
Egypt walikuwa wanakaa watu gani, black au waliopo sasa
 
Alijuaje akipima dhahabu kiasi gani ndo utakua sawa na uzito wa dhahabu ya kofia.
 
Ile movie ya 300 na ile ya "Rise of an empire" kumbe ni history za kweli? Ngoja nizicheki Tena.
By the way nitafika Athens siku moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…