Hivi unajua sehemu kama Egypt, Mesopotamia, Crete, Syria, Anatolia, Iran, and the Indus Valley walipata civilization kabla hata ya wagiriki.
Pia wachina waligundua mengi na kusafiri hata kabla ya wengi ambao ndio wamekuwa accredited na ugunduzi huo.
Kwa ufupi ni utamaduni, kukiwa na utamaduni wa kuhoji na watu kupenda kujifunza basi jamii itagundua vitu na kuendelea (Binadamu wanazaliwa wakiwa a Blank Slate) Tabula Rasa ila jamii inayowazunguka ndio inawajengea wawe watu wa aina gani.
Iran ilikuwa imepiga hatua sana, lakini kuingia mambo ya imani all was destroyed in few years. Wachina walikuwa wamesafiri duniani kote tangia zamani ila Mfalme wao kupiga marufuku culture za nje ikawapunguzia kasi.
Kwahio na sisi hizi indoctrination kwamba kila kitu tumepewa au kila kitu kina sababu, hakuna kuhoji wala kutafuta ukweli usishangae miaka milioni moja ijayo tukawa bado tunapiga ramli na kudhani ni Jirani yetu katuloga, au tukiugua ni Mungu amependa.