Wagiriki nini kiliwakuta? Sasa hivi hamna tena Wagiriki wenye akili kama zamani?

Wagiriki nini kiliwakuta? Sasa hivi hamna tena Wagiriki wenye akili kama zamani?

mpaka leo wanaidadi kubwa ya maneno kwenye sayansi tunatoa kwao.
Ila kutokana na elimu kukua wametapakaa ndio maana inaonekana wagiriki kupotea
 
Ukifunua vitabu vya sekondari kila definition utaona inaanza "it's greek Word" hata lugha rasmi ya Binomial nomenclature ni Greek tuseme Biology na sayansi kwa ujumla lugha yake ni Kigiriki.

Kwanini?
Asiilimia 70% ya wanafalsafa, Wanasayansi, Wagunduzi wote wanatoka Ugiriki. Kwa ufupi Sayansi imeanzia Misri ya kale na kutapakaa ulaya hasa ugiriki huko ndiko ilikofanyiwa kazi vizuri wewe chunguza kila mwanafalsafa anatoka Ugiriki.

Ugiriki ya zamani ilikua imeundwa na miji ipatayo mia moja ambapo kila mji ulikua na utawala wake, Mji wa Athens na Sparta ndio ilikua miji mikubwa na yenye nguvu zaidi, japo miji hii mra nyingi ilikua inapigana kwa ajili ya kugombania ardhi lakini vilikua vimejiunga pamoja ili kujilinda na uvamizi wa kutoka nje.

Enzi hizo Ugiriki ilikua Ugiriki kweli kuna madume ya haja hasa (Alpha, Beta peoples) mwaka 480 BC Mfalme Leonidas wa Sparta aliongoza jeshi la wanaume 300 tu kupambana na mfalme Xerxes kutoka Persia mwenye jeshi la watu 10000+ lakini waliwachinja hasa richa ya uchache wao. Japo Leonidas aliahindwa ila alijitahidi kuziwia uvamiI huo ambapo baadae Mfalme Xerxes alikuja kuuwawa na mrithi wa leonidas Themistocles

✓✓Kumbuka mfalme Xerxes ndio mfalme aliyemuoa Ester wa kwenye biblia ambae ester alitumia penzi kuziwia kuuwawa kwa Wayahudi wotewaliokua Babeli. (Kaa kumbukumbu zangu zipo sawa) Wafalme wa Persia waliitwa Ahasuerus. (Ahusuhero).

Sasa waku nini kiliwapata hawa watu? Gunduzi zote zilizofanywa kwao haziwanufaishi. Nilitegemea Ugiriki iwe miongoni mwa Super power county ila hata G7 haipo sijui G20.

Nini kiliwatokea? Sasa hivi hamna tena watu wenye akili au??
Serikali yetu,;Executive,Judiciary na Parliament,haya mambo yamekuwa coined na Aristotle. Wagiriki wameeanzisha civilization,Warumi wameirithi,wameieneza Europe. Wazungu wameiendeleza Duniani kote.
Uingereza ilikuwa koloni la Rome. Sasa unataka nini zaidi kutoka kwa Wagiriki?
 
Then do it better as an intellectual...
Nipinge kwa kuleta facts,jinsi archimedes Alivyogundua law of floatation

Maana kupitia tukio hilo ndio msemo maarufu kwenye sayansi ulipotokea... Eureka!

So nakusubiria ulete uthibitisho wa kunipinga hicho nilichoeleza...Kama wewe mtu mzima.
Logocally huwezi kwenda ikulu huku unakimbia uchi,vuta pucha tu ikulu ya magogoni pale
 
Serikali yetu,;Executive,Judiciary na Parliament,haya mambo yamekuwa coined na Aristotle. Wagiriki wameeanzisha civilization,Warumi wameirithi,wameieneza Europe. Wazungu wameiendeleza Duniani kote.
Uingereza ilikuwa koloni la Rome. Sasa unataka nini zaidi kutoka kwa Wagiriki?
Mfumo mzima wa Mahakama Hadi terminology nyingi zipo kwa lugha ya kilatini. Jamaa wana akili sana
 
Itakuwa bado wapo wamejichanganya kwenye nchi nyingine huko ulaya...wenzetu wapo mobile, bara lao limekuwa kama nchi moja
 
Umemtaja Marco Polo umenikumbusha huyu jamaa na Silk road. Wachina wamemtemgenezea muvi nyingi sana..Ila Japan na England naziheshimu sana hizi nchi, ni visiwa tu ila mambo yake noma sana. Sasa hivi ndio wamepunguza makali
Mkuu kama hutojali naomba unielezee kidogo kuhusu huyu Marco Polo Da'Vinci
 
Mkuu hivi unaijua ugiriki ya zamani na warumi kukaa uchi lilikua jambo la kawaida. Angalia hata michoro na sculpture zao
Ile ilikuwa na association ya Miungu na ilimaanisha Miungu yao ya kale ktk Mythodology ya Wayunani na Warumi...mpaka leo nchi zenye asili ya kirumi kule Spain, Italy, Romania na France wana hizi Sculpture

Walikuwa na Miungu mbalimbali kwenye maisha yao yote, Miungu ya Mapenzi na Uzuri (Venus), Adonis, Aphrodite zaidi ya 10

Vilevile Miungu ya Hewa na Upepo (Anemoi) Miungu ya Udongo, Maji n.k

Zeus (Mungu wa Moto na Radi) Powerful one, alikuwa maarufu zaidi kwasababu walimwamini kuwashindia vita vingi vwa wakati ule

Tangu enzi za Ibrahim walikuwa na Miungu tofauti kabla ya kumwamini Jehova
download%20(2).jpg
 

Attachments

  • images%20(18).jpg
    images%20(18).jpg
    61.6 KB · Views: 18
Ukiniambia nitaje Binaadamu watano wenye akili zaidi duniani nitataja hawa.

1. Imhotep
2. Leonado da Vinci
3. Yesu
4. Nikola Tesla
5. plato

Imhotep ndio baba wa gunduzi zote kunzia hesabu za Geometry, Upasuaji wa ubongo, pyramids na Maze Tombs zilizojengwa Misri katengeneza yeye. Huyu jamaa wagiriki wanamuabudu kama Mungu wa tiba na madawa maana alikua daktari wa kila kitu. Alikua Polymath kwelikweli kuliko hata Da'Vinci. Michoro yote ya Misri katengeneza yeye.
Bila Mudi hiyo orodha yako ni batili.
 
Mfumo mzima wa Mahakama Hadi terminology nyingi zipo kwa lugha ya kilatini. Jamaa wana akili sana
Hii haikuwa na budi kutokea kwasababu Rumi ilitawala Dunia nzima almost

Kwa maana hiyo utamaduni wao ulienea pote, lugha ni sehemu ya utamaduni kwahiyo maandishi na mazungumzo yote ya nyakati zile karibu kila mahala duniani walitumia kirumi
 
Hii haikuwa na budi kutokea kwasababu Rumi ilitawala Dunia nzima almost

Kwa maana hiyo utamaduni wao ulienea pote, lugha ni sehemu ya utamaduni kwahiyo maandishi na mazungumzo yote ya nyakati zile karibu kila mahala duniani walitumia kirumi
Karne ya 17-18 mwanamke kuweza kuongea Kilatini ilikua Ni added advantage ya kupata mume mwenye hadhi. Waingereza wengi walienda Italy kujifunza kilatini
 
Wagiriki walivyokua bado hawajaungana kila Eneo linajitawala walitumia nguvu zaidi kujiimarisha maana wao hawakugopa kufa waliaamini wao ni viumbe special kutoka kwa baba yao wa uumbaji Zeus. Majina mengi ya kigiriki yanaishia na S hata majina ya watu wa mataifai mengine yanaishia S kwakua ni utamaduni uliotokana na wagiriki. Yesu pia jina lake laishia na S yaani Jesus sababu ni kwamba wagiriki wanaamini majina yanayoishia na S yanamaanisha ni mwanaume kutokana na Mungu wao wa kiume Zeus jina lake lainshia na S

Walivyoungana na kua kitu kimoja wakaanza kutumia akili na nguvu ili kujiimarisha zaido kwa kila nyanja wafalme waliwatumia watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiri katika kutatua changamoto zinazowakabiri na waliwekea mazingira wezeshi hapa sasa ndio gunduzi zikaanza.
Mfano......

Kipindi fulani ugiriki ilikua ni sherehe ya mavuno hivyo wagiriki walikua wanamsherehekea Mungu wao wa mavuno kuwapatia mavuno mengi. Mfalme kama kiongozi mkuu alitakiwa awepo kwenye sherehe sasa mfalme akampatia dhahabu Muhunzi (Goldsmith) amtengenezee kofia ya kuvaa wakati wa sherehe (Crown), Muhunzi kuona dhahabu kashikwa na tamaa akachakachua dhahabu akaweka dhahabu nusu akaongezea na bronze (shaba) akampelekea mfalme kofia yake.... Mfalme akaangalia kofia akaona hapa kashapigwa cha juu ila hana uhakika.

Akaamua kumuita jamaa mmoja ambae kipindi hicho aliaminika ana akili sana aje amchunguzie kofia yake kama imetengenezwa kwa dhahabu tupu kweli au imechanganywa. Ila akamwambia asiiharibu wakati wa kuichunguza maana hana kofia nyingine...Jamaa huyo ni Archimedes

Archimedes akachukua kofia akaenda maabala kwakwe akachunguza wee akashindwa kupata majibu kichwa kikawaka moto hajui afanye nini.. akamuagiza mfanyakazi wake amuwekee mai ya kuoga bafuni kwenye Jacuzzi.
Akaenda bafuni akavua nguo akaingia kwenye Jacuzzi maji yakamwagika nje aivyoona hivo akatoka nje akikimbia uchi huku anapiga kelele hadi ikulu.

Alipomfikia mfalme akaanza kusema harakaharaa "When a body is totally or partially immersed in a fluid is subjected to an upwards force equal to the weight of the displaced fluid. "

Mfalme akamwambia unamaanisha nini wewe mbona sikuelewi 😂😂
Ndio mzee baba akaanza kumuelezea vizuri sasa... Akachukua vipimo vyake akapima uzito wa dhahabu na Shaba kisha akapima uzito wa Ile kofia ikaonekana muhunzi aliiba dhahabu. Na hapo ndio tukapata Law pedwa ya Archimedes principle na law of floatation inayohusu Density. Kupitia law hizo tumepata Meli mbalimbali..

Sio hivyo tu Archimedes alisaidia san kwenye vita..alikua anatengeneza vifaa vya kivita au anatumia vioo kuunguza meli za maadui wanakuja kuvamia nchi yake.

Sisi huku kama una ujuzi wa kutengeneza Gobole au siraha unanyanganywa na unakomeshwa kabisa uwe mfano wengine wasirudie upuuzi kama huo
Aisee! Akakimbia uchi mpaka ikulu😂😂😂
 
Aisee! Akakimbia uchi mpaka ikulu😂😂😂
Archimedes usimchukulie poa alikua anaheshimika sana na falme za ugiriki maana alikua anasaidia kuvumbua techs za kupigania vita au ulinzi wa nchi yake. Eg. Alitengeneza vioo ambavyo vilitumiwa na wagiriki kuchoma meli za wavamizi au adui waliokua wanaivamia ugiriki
 
Back
Top Bottom