Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Sasa wewe pro pk unaumia nini tshisekedi kuhire wagner kuilinda nchi yake na ikiwa huko chigali uwa mnasema hamjihusishi kivyovyote na vita za congo!Jamaa wapo Goma hotelini kbs, soon mtapewa habari kamili bado Tsisekedi anaficha.