Wagner: Tumeanza kukabidhi miili ya wanajeshi wa USA tuliowaua kwenye mapigano ya Bakhmut

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Kiongozi wa Wagner amesema zoezi la kumkabidhi Biden mabaki ya miili ya wanajeshi wa Marekani waliouawa wakiipigania Bakhmut isikombolewe limeanza. Katika mchakato huo, ameanza na mabaki ya mwili wa Nikolas Maimer, mwanajeshi wa Marekani wa Special forces aliyeuliwa na Wagner huko Bakhmut akipigana upande wa Ukraine.

Salamu za rambirambi zimfikie MK254
=======


 

hehehe kichwa cha habari nikadhani wanajeshi, kumbe msataafu, hao wastaafu ndio wamesaidia hadi sasa Bakhmut imeshindikana mpaka hawa Wagner wameamua kuikimbia baada ya kujitangazia ushindi.....ni mwendo wa takbirrrr
 
hehehe kichwa cha habari nikadhani wanajeshi, kumbe msataafu, hao wastaafu ndio wamesaidia hadi sasa Bakhmut imeshindikana mpaka hawa Wagner wameamua kuikimbia baada ya kujitangazia ushindi.....ni mwendo wa takbirrrr
Uzuri hayupo ukraine peke yake..... Baaas.... Russia sio Zimbabwe wala Iraq na Libya
 
Yule mtanzania tarimo bado familia yake haijalipwa fidia na Wagner
 
za wanadamu wenzako kufa?

Kabla ya kufurahi huwa najaribu kuwaza wafiwa hali wanayopitia dah inauma mno

Wangekuwa wanakufa akina Biden, Putin, Zelensky na wanasiasa wanaosababisha hali hii ingekuwa fresh kabisa
Mkuu, kwani huyo mwanajeshi wa ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ Special forces hizo silaha alizovaa/beba zilikuwa ni kwa ajili ya kuua tumbili au watu?

Acha afe tu, Wagner (K.K. Security) wamemuwahi mwanajeshi mweledi Special forces wa Super Power ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ....

 
Ovyo sana huyu, hao ni wanajeshi wachache waliojitolea wenyewe kwa hiari zao kupigana upande wa Ukraine na wapo raia na wanajeshi kutoka mataifa mbali mbali duniani ambao kwa huruma zao tu wameona wasaidie upande wa Ukraine sio kwamba ni Wanajeshi waliotumwa na NATO makhsusi.

Sasa kama anakabidhi miili 2 ya hao wanajeshi., yeye atakabidhiwa 22,000 kama alivykiri huyu kiongozi kwamba hao waliuliwa upande wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ