Baba Rhobi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2020
- 1,611
- 2,881
Tangu naingia JF sijakutana na pumba kama hii, ni leo na sidhani kama itajirudia.Kakodi kampuni ya ulinzi ya Wagner kupigania nchi ya Urusi kwa malipo
Serikali ya Tanzania isipeleke tena wanajeshi wa Tanzania kusoma mambo ya kijeshi Urusi kama ilikuwa inapeleka iwapeleke nchi za NATO au Ukraine huko au Marekani na vifaa wachukue huko.vya kivita kama walikuwa wakichukua Urusi wasichukue huko
Sijui walikuwa wakipeleka Askari mafunzo wapi au silaha walikuwa wanachukua wapi waangalie nchi tu za NATO, Marekani na Ukraine