Baba Rhobi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2020
- 1,611
- 2,881
Tangu naingia JF sijakutana na pumba kama hii, ni leo na sidhani kama itajirudia.Kakodi kampuni ya ulinzi ya Wagner kupigania nchi ya Urusi kwa malipo
Serikali ya Tanzania isipeleke tena wanajeshi wa Tanzania kusoma mambo ya kijeshi Urusi kama ilikuwa inapeleka iwapeleke nchi za NATO au Ukraine huko au Marekani na vifaa wachukue huko.vya kivita kama walikuwa wakichukua Urusi wasichukue huko
Sijui walikuwa wakipeleka Askari mafunzo wapi au silaha walikuwa wanachukua wapi waangalie nchi tu za NATO, Marekani na Ukraine
Maoni yako una uhuru nayo ni haki yako ya kidemokrasia kuona Pumba au pointi inategemea macho yako yakivyo na huko.ulikozaliwa kuna mtu waweza mwita cheusi kumbe kwao kuna weusi hatari akipita watu kijijini Humwita cheupe.au waweza kukutana na mtu mrefu huyo kwa mtizamo wako finyu ukamwita TALL kumbe kwao kuna warefu hatari kumzidi akipita wanasema Short huyo anakujaTangu naingia JF sijakutana na pumba kama hii, ni leo na sidhani kama itajirudia.
Ko wewe una akili kuliko wote wanao peleka watu wao Russia kwa training si ndio, Watu sampuli ya wewe ni hasara kabisa.Maoni yako una uhuru nayo ni haki yako ya kidemokrasia kuona Pumba au pointi inategemea macho yako yakivyo na huko.ulikozaliwa kuna mtu waweza mwita cheusi kumbe kwao kuna weusi hatari akipita watu kijijini Humwita cheupe.au waweza kukutana na mtu mrefu huyo kwa mtizamo wako finyu ukamwita TALL kumbe kwao kuna warefu hatari kumzidi akipita wanasema Short huyo anakuja
Mtizamo wako siupingi ni wako na hilo bichwa lako ni haki yako ya kidemokrasia kusema chochote kinachokujilia kwenye hilo bichwa lako
Unaposikia neno mstaafu kwa USA usikimbilie kufikiria labda ni mtu wa miaka 60 huko..anaweza kuwa kijana kabisa na akaitwa mstaafu.....
Kwa mfano kuna mtanzania huko youtube anaitwa EBM scholars.... Ni mwanajeshi mstaafu wa marekani na alistaafu akiwa hata hajafika miaka 35.
Kule Usishangae ukamkuta kijana wa miaka 30 na ni mstaafu jeshini...
Weka evidence hayo mapigano yanaendelea sehemu gani ya bakhmut.Haijalishi hata kama wa miaka 30 ila huyo kasababisha Bakhmut ishindikane Mapambano Bakhmut yanaendelea, licha ya Wagner kutafuta pakutokea kwa kujitangazia ushindi
Jitulize mkuu, punguza stress, Bakhmut ishaenda na mtapata tabu sana.Haijalishi hata kama wa miaka 30 ila huyo kasababisha Bakhmut ishindikane Mapambano Bakhmut yanaendelea, licha ya Wagner kutafuta pakutokea kwa kujitangazia ushindi
Jitulize mkuu, punguza stress, Bakhmut ishaenda na mtapata tabu sana.
Kumbe ni retired bas sawa.Kiongozi wa Wagner amesema zoezi la kumkabidhi Biden mabaki ya miili ya wanajeshi wa Marekani waliouawa wakiipigania Bakhmut isikombolewe limeanza. Katika mchakato huo, ameanza na mabaki ya mwili wa Nikolas Maimer, mwanajeshi wa Marekani wa Special forces aliyeuliwa na Wagner huko Bakhmut akipigana upande wa Ukraine.
Salamu za rambirambi zimfikie MK254
=======
View attachment 2634991View attachment 2635005
hehehe kichwa cha habari nikadhani wanajeshi, kumbe msataafu, hao wastaafu ndio wamesaidia hadi sasa Bakhmut imeshindikana mpaka hawa Wagner wameamua kuikimbia baada ya kujitangazia ushindi.....ni mwendo wa takbirrrr
[/QUO
Ila anakoka Marekani yaani NATO. Ni mzoefu ndo maana akaminiwa
Na huo ndio ukweliUnaposikia neno mstaafu kwa USA usikimbilie kufikiria labda ni mtu wa miaka 60 huko..anaweza kuwa kijana kabisa na akaitwa mstaafu.....
Kwa mfano kuna mtanzania huko youtube anaitwa EBM scholars.... Ni mwanajeshi mstaafu wa marekani na alistaafu akiwa hata hajafika miaka 35.
Kule Usishangae ukamkuta kijana wa miaka 30 na ni mstaafu jeshini...
Wamepewa mkuu...naijua ile familia ya Tarimo, ndio maana unaona hawataki kabisa kuzungumzia kwenye media..kuhusu chochote.Bado hawajapewa mkuu ni kama wagner imewapotezea,afu alikua jela urusi kabla ya kwenda frontline so issue ya mafao naona ndio maana inalegalega.
Weee jamaa nlikua nafikiri ni bonge la thinker....kuuumbe...( empty set )Kakodi kampuni ya ulinzi ya Wagner kupigania nchi ya Urusi kwa malipo
Serikali ya Tanzania isipeleke tena wanajeshi wa Tanzania kusoma mambo ya kijeshi Urusi kama ilikuwa inapeleka iwapeleke nchi za NATO au Ukraine huko au Marekani na vifaa wachukue huko.vya kivita kama walikuwa wakichukua Urusi wasichukue huko
Sijui walikuwa wakipeleka Askari mafunzo wapi au silaha walikuwa wanachukua wapi waangalie nchi tu za NATO, Marekani na Ukraine
Daaah ngoja nikamuone mzee tarimoWamepewa mkuu...naijua ile familia ya Tarimo, ndio maana unaona hawataki kabisa kuzungumzia kwenye media..kuhusu chochote.