Uchaguzi 2020 Wagomba Urais CHADEMA hawana mvuto?. CHADEMA inakosa Mvuto?

Cdm inavyowaogopesha, unatetemeka mpk unashindwa andika kiufasaha[emoji16]
 
Wapo wengi walioshinda uchaguzi bara na visiwani lakini wakapigwa vikumbo.
YOUR VOTE IS NOT YOUR RIGHT.
 
Naamini pia kwamba Membe akitia nia CHADEMA kinaweza kikapata nguvu.
Membe anategemea kutia nia karibuni.
Kasema katiba yenu bado inamruhusu kama mwanaCCM, kuomba kuwa mgombea Urais kupitia huko.
kwa heshima na taadhima kanywe maji upumzike, MNAE.
 
kwahiyo wewe sio raia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…