Kenya 2022 Wagombea Binafsi Waivuruga Kenya

Kenya 2022 Wagombea Binafsi Waivuruga Kenya

Kenya 2022 General Election
Naona unaifuatilia siasa za Kenya kwa ukaribu sana.
Kalonzo Musyoka atarudi tu kubembeleza ugali Azimio. Ni kivuruge yule. 2013 Raila alimwambia waungane dhidi ya Uhuru akagoma akifikiri Uhuru atampa mfupa (maana pensheni ya U-VP wakati wa PNU) haimtoshi kuendesha chama WIPER na OKA. Raila akamwambia kwani mshahara wa U-VP ulikuwa unapokea shs ngapi? Akataja, Raila akasema anampa taslimu kwa mkupuo mmoja wa miaka mitano ili aje Rainbow, akachukuwa mkwanja na kutokomea, sasa hii ya juzi ya kujiondoa Azimio ni mara ya pili anamsaliti Raila.

Ukoo wa Odinga ni Wajamaa wanaoamini kwenye utajiri. Ukoo huu una utajiri mkubwa Kenya (waligoma kuwekeza nje ya nchi). Raila hatafuti urais kuganga njaa bali kuipa Kenya maendeleo ili waishi kwenye nchi nzuri kwa maisha yao yote na vizazi vyao. Babake alikuwa tajiri wa pili Kenya baada ya uhuru akaja kupitwa na Kenneth Matiba aliyekuwa na majority shares kwenye Kenya Breweries.

Kiwanda cha kusindika gesi Kenya ni cha ukoo wa Odinga tena alikizindua Mwl Nyerere wakati uhusiano wa ukoo wa Odinga na Moi ulipozorota. Kaka mkubwa wa Raila Dr. Oburu Oginga alikuwa Jasusi ktk KGB kwa miaka mingi kabla ya kudai kurudi kwao Kenya kwa sababu ni ukoo ambao una uzalendo mkali kwa nchi yao.

Utajiri wa akina Raila ni wa ukoo/urithi siyo wa ufisadi.
 
Dhana ya ugombea binafsi ni tamu masikioni lakini chungu kutekelezeka. Kenya yenye sheria hiyo imetoa ushahidi, funzo na alarm kwamba ni dhana ngumu kutekelezeka baada ya IEBC na wapigakura kuchanganyikiwa na kutamani ugombeaji kupitia mfumo wa vyama. Takwimu za IEBC zilizotolewa jana kwa umma zinaonyesha kwamba kuna zaidi ya wagombea binafsi 1500 na wale wa kiti cha urais wanafika 47.

Msingi wa hofu ni nini:-

1. Wamegundua kuwa wapigakura wamechanganyikiwa kwa kushindwa kujuwa historia za wagombea binafsi hao Kenya kutokana na idadi hiyo kubwa na inayozidi kuongezeka kila uchao; ili kura za wananchi zisikose target.

2. IEBC imepata kazi ngumu ya kuwafanyia vetting idadi hiyo ambayo inazidi kuongezeka.

3. Kuna hatari ya matapeli kugombea (kumbuka nahau ile kwamba: hakuna ajuaye kiungurumacho kwenye kifua cha Simba)

4. Kuna hatari ya Mahakama kupokea kesi nyingi za kuchezeana rafu na kwamba mzigo wa idadi kubwa ya kesi za uchaguzi huenda ikavunja rekodi na kuipa IEBC gharama kubwa za chaguzi za marudio kama Mahakama itaamuru hivyo.

5. Kuna sintojuwa kwamba matapeli wenye njaa wanaweza kutumia mwanya wa ugombea binafsi ili wakikosa ushindi basi wanafungua madai ya kuhujumiwa na kudai ama kupewa ushindi au fidia ya gharama za kuendesha kesi (ujasiriamali wa uchaguzi).

6. Kuna hofu kuwa baadhi ya wagombea binafsi wanatumia mwanya huo kama chambo/mtego kwa wale wenye vyama ili kwamba wenye vyama wanapohisi hawana wafuasi wengi katika ngome fulani basi watoe ela ndefu kwa wagombea binafsi ili wawaachie wafuasi wao kwenye ngome hizo.

7. Wananchi na asasi husika na uchaguzi wamekubaliana kwamba kumbe mfumo wa ugombeaji kupitia tiketi za vyama ni mzuri kwa maana chama ndicho kwa niaba ya wapigakura kinamfanyia vetting ya msingi (kabla ya ile ya IEBC) mgombea na kumuuza kwa wapigakura.

NB.
Kenya hivi sasa mpigakura ni bidhaa-adimu, vyama ni vitega uchumi-adhimu.

Kenya imesajili vyama 90 na takriban 40 maombi yao yako mezani kwa Msajili wa Vyama vya Siasa. County ya Mlima Kenya inaongoza kwa idadi kubwa ya vyama vya siasa 10 vikubwa na vidogovidogo zaidi ya 10.

Mwaka 2007 Kenya ilikuwa na vyama vya siasa 160 vyenye usajili wa kudumu.

Kuna maeneo Kenya ambayo chama cha kisiasa kiko hai kwenye wilaya/county moja tu au tarafa/division moja tu au kata/sub-division moja tu.

Hii ukichanganya na ukabila inafanya Kenya kuwa na biashara ya binadamu kama ya utumwa vile.

Wasomi wengi waliokosa ajira wameingia kwenye biashara ya siasa ya kuanzisha na kusajili vyama na kurubuni wasio na ajira kuwa wafuasi wao kwa malengo hayo ya kuvuna pesa za ama ruzuku au za uchaguzi ambapo wengine hawagombei lakini wanaweka wafuasi wao sokoni kwa ajili ya vyama vikubwa kuwanunua au kumuahidi mwenye chama cheo katika serikali endapo chama-mnunuzi kitashinda na kuunda serikali.

Wenzetu wame-advance.
Tufuate demokrasia kwa ukamilifu. If we go global democratically let's go, private candidature ni muhimu Sana na ni haki msingi
 
Tufuate demokrasia kwa ukamilifu. If we go global democratically let's go, private candidature ni muhimu Sana na ni haki msingi
Ni nzuri for check and balance ya vyama mamluki, ila gharama yake ni overwhelming. Tutaanza alafu ita-crash baadaye, alafu tutatengeneza mfumo mwingine utaotokana na experience na lessons za huo ulio-crash. Those are stages of democratic growth.
 
Ni nzuri for check and balance ya vyama mamluki, ila gharama yake ni overwhelming. Tutaanza alafu ita-crash baadaye, alafu tutatengeneza mfumo mwingine utaotokana na experience na lessons za huo ulio-crash. Those are stages of democratic growth.
Sure we need private candidature hapa Tanzania, our democratic freedom has been caged and we are enslaved with party political representation. Clusters of networking thieves in form of Party politics needs a new dynamic options.
 
Golden idea, I rate your philosophy 5 star *****
Have you awarded him a 5 stars trophy because of sharing the line of thinking with you or because of the logical argument?

Watz huwa tunasema "werevu mwingi mbele giza" yaani unaweza kudhani unajua sana kumbe hujui kabisa. It has happened many times in my life! for instance unaweza kusema mtu maskini hana akili, ukikaa nae mkapiga stori utajua hujui!

Let Kenyans get busy swimming in the democratic pond and Tanzanians get busy building the infrastructure! baadae itajulikana nani kawini!!
 
Aiseee ila sisi watz waoga sana
Mwalimu ndiyo alituharibu na hili linafichwa halisemwi, matokeo yake hicho alichotupandikiza (uwoga) umeitengenezea nchi Oligarchs ambao ni Kleptocrats. Kenya walifundishwa ujasiri (kwa kusema ujasiri simaanishi disorder)

“If a door is shut, attempts should be made to open it; if it is ajar, it should be pushed until it is wide open. In neither case should the door be blown up at the expense of those inside.”

Julius Kambarage Nyerere, from his Stability and Change in Africa speech given to the University of Toronto, Canada, 2 October 1969. -
 
Aisee siasa ya Kenya ni changamoto ndio maana vurugu haziishi
Abuu siasa za Kenya ni tamu sana ila ni chungu wanapobeba marungu. Wale hata bungeni wanakung'utana tena anayewaamua anatakiwa kuwa na elimu kubwa kuwazidi na wanaogombana wakimuona anayewaamua mwenye elimu kubwa anakuja wanaacha mara moja masumbwi, kama ana elimu ndogo chini ya zao naye wanamuunganisha kwenye medani.

Nakumbuka rais Moi amekoswakoswa mara mbili na kadhia hii kwa sababu enzi zile katiba ilisema rais lazima awe Mbunge wa jimbo. Alipotoka tu nje ya ukumbi wa Bunge tayari ni rais huruhusiwi kumgusa.
 
Kalonzo Musyoka atarudi tu kubembeleza ugali Azimio. Ni kivuruge yule. 2013 Raila alimwambia waungane dhidi ya Uhuru akagoma akifikiri Uhuru atampa mfupa (maana pensheni ya U-VP wakati wa PNU) haimtoshi kuendesha chama WIPER na OKA. Raila akamwambia kwani mshahara wa U-VP ulikuwa unapokea shs ngapi? Akataja, Raila akasema anampa taslimu kwa mkupuo mmoja wa miaka mitano ili aje Rainbow, akachukuwa mkwanja na kutokomea, sasa hii ya juzi ya kujiondoa Azimio ni mara ya pili anamsaliti Raila.

Ukoo wa Odinga ni Wajamaa wanaoamini kwenye utajiri. Ukoo huu una utajiri mkubwa Kenya (waligoma kuwekeza nje ya nchi). Raila hatafuti urais kuganga njaa bali kuipa Kenya maendeleo ili waishi kwenye nchi nzuri kwa maisha yao yote na vizazi vyao. Babake alikuwa tajiri wa pili Kenya baada ya uhuru akaja kupitwa na Kenneth Matiba aliyekuwa na majority shares kwenye Kenya Breweries.

Kiwanda cha kusindika gesi Kenya ni cha ukoo wa Odinga tena alikizindua Mwl Nyerere wakati uhusiano wa ukoo wa Odinga na Moi ulipozorota. Kaka mkubwa wa Raila Dr. Oburu Oginga alikuwa Jasusi ktk KGB kwa miaka mingi kabla ya kudai kurudi kwao Kenya kwa sababu ni ukoo ambao una uzalendo mkali kwa nchi yao.

Utajiri wa akina Raila ni wa ukoo/urithi siyo wa ufisadi.
Hivi huko Tanzania ni TV stesheni gani ya Kenya huwa inaonyeshwa? Huwa unatazama habari ya TV stesheni gani ya Kenya?
 
Kalonzo Musyoka atarudi tu kubembeleza ugali Azimio. Ni kivuruge yule. 2013 Raila alimwambia waungane dhidi ya Uhuru akagoma akifikiri Uhuru atampa mfupa (maana pensheni ya U-VP wakati wa PNU) haimtoshi kuendesha chama WIPER na OKA. Raila akamwambia kwani mshahara wa U-VP ulikuwa unapokea shs ngapi? Akataja, Raila akasema anampa taslimu kwa mkupuo mmoja wa miaka mitano ili aje Rainbow, akachukuwa mkwanja na kutokomea, sasa hii ya juzi ya kujiondoa Azimio ni mara ya pili anamsaliti Raila.

Ukoo wa Odinga ni Wajamaa wanaoamini kwenye utajiri. Ukoo huu una utajiri mkubwa Kenya (waligoma kuwekeza nje ya nchi). Raila hatafuti urais kuganga njaa bali kuipa Kenya maendeleo ili waishi kwenye nchi nzuri kwa maisha yao yote na vizazi vyao. Babake alikuwa tajiri wa pili Kenya baada ya uhuru akaja kupitwa na Kenneth Matiba aliyekuwa na majority shares kwenye Kenya Breweries.

Kiwanda cha kusindika gesi Kenya ni cha ukoo wa Odinga tena alikizindua Mwl Nyerere wakati uhusiano wa ukoo wa Odinga na Moi ulipozorota. Kaka mkubwa wa Raila Dr. Oburu Oginga alikuwa Jasusi ktk KGB kwa miaka mingi kabla ya kudai kurudi kwao Kenya kwa sababu ni ukoo ambao una uzalendo mkali kwa nchi yao.

Utajiri wa akina Raila ni wa ukoo/urithi siyo wa ufisadi.
Haya mambo yote umeyajulia wapi?
 
Haya mambo yote umeyajulia wapi?
Investment in effort, time and interest without which you can't.

1652981770914.png
1652981860208.png
1652981953845.png
1652982118369.png


Simaanishi nimevi-review mwanzo mwisho la hasha, ila vitakujengea appetite ya kufuatilia siasa za Kenya. Ninavi-recommend kwako.
 
Dhana ya ugombea binafsi ni tamu masikioni lakini chungu kutekelezeka. Kenya yenye sheria hiyo imetoa ushahidi, funzo na alarm kwamba ni dhana ngumu kutekelezeka baada ya IEBC na wapigakura kuchanganyikiwa na kutamani ugombeaji kupitia mfumo wa vyama. Takwimu za IEBC zilizotolewa jana kwa umma zinaonyesha kwamba kuna zaidi ya wagombea binafsi 1500 na wale wa kiti cha urais wanafika 47.

Msingi wa hofu ni nini:-

1. Wamegundua kuwa wapigakura wamechanganyikiwa kwa kushindwa kujuwa historia za wagombea binafsi hao Kenya kutokana na idadi hiyo kubwa na inayozidi kuongezeka kila uchao; ili kura za wananchi zisikose target.

2. IEBC imepata kazi ngumu ya kuwafanyia vetting idadi hiyo ambayo inazidi kuongezeka.

3. Kuna hatari ya matapeli kugombea (kumbuka nahau ile kwamba: hakuna ajuaye kiungurumacho kwenye kifua cha Simba)

4. Kuna hatari ya Mahakama kupokea kesi nyingi za kuchezeana rafu na kwamba mzigo wa idadi kubwa ya kesi za uchaguzi huenda ikavunja rekodi na kuipa IEBC gharama kubwa za chaguzi za marudio kama Mahakama itaamuru hivyo.

5. Kuna sintojuwa kwamba matapeli wenye njaa wanaweza kutumia mwanya wa ugombea binafsi ili wakikosa ushindi basi wanafungua madai ya kuhujumiwa na kudai ama kupewa ushindi au fidia ya gharama za kuendesha kesi (ujasiriamali wa uchaguzi).

6. Kuna hofu kuwa baadhi ya wagombea binafsi wanatumia mwanya huo kama chambo/mtego kwa wale wenye vyama ili kwamba wenye vyama wanapohisi hawana wafuasi wengi katika ngome fulani basi watoe ela ndefu kwa wagombea binafsi ili wawaachie wafuasi wao kwenye ngome hizo.

7. Wananchi na asasi husika na uchaguzi wamekubaliana kwamba kumbe mfumo wa ugombeaji kupitia tiketi za vyama ni mzuri kwa maana chama ndicho kwa niaba ya wapigakura kinamfanyia vetting ya msingi (kabla ya ile ya IEBC) mgombea na kumuuza kwa wapigakura.

NB.
Kenya hivi sasa mpigakura ni bidhaa-adimu, vyama ni vitega uchumi-adhimu.

Kenya imesajili vyama 90 na takriban 40 maombi yao yako mezani kwa Msajili wa Vyama vya Siasa. County ya Mlima Kenya inaongoza kwa idadi kubwa ya vyama vya siasa 10 vikubwa na vidogovidogo zaidi ya 10.

Mwaka 2007 Kenya ilikuwa na vyama vya siasa 160 vyenye usajili wa kudumu.

Kuna maeneo Kenya ambayo chama cha kisiasa kiko hai kwenye wilaya/county moja tu au tarafa/division moja tu au kata/sub-division moja tu.

Hii ukichanganya na ukabila inafanya Kenya kuwa na biashara ya binadamu kama ya utumwa vile.

Wasomi wengi waliokosa ajira wameingia kwenye biashara ya siasa ya kuanzisha na kusajili vyama na kurubuni wasio na ajira kuwa wafuasi wao kwa malengo hayo ya kuvuna pesa za ama ruzuku au za uchaguzi ambapo wengine hawagombei lakini wanaweka wafuasi wao sokoni kwa ajili ya vyama vikubwa kuwanunua au kumuahidi mwenye chama cheo katika serikali endapo chama-mnunuzi kitashinda na kuunda serikali.

Wenzetu wame-advance.
Mgombea binafsi kwenye kiti cha urais ni upumbavu nani hatari kwa usalama wa nchi ...wauza madawa ya kulevya wanaweza kupandikiza mtu kwa kumjenga kisha kumtumia kuchukua nchi
 
Wameivuruga Kenya kwa njia ipi jombaa, na hata fomu zao za kugombea hawajaziwasilisha kwa tume huru ya IEBC? Wapiga kura nao wamechanganyikiwa kivipi, wakati hata siku ya kupiga kura haijawadia? Mbona unataka kuwavuruga watanzania wenzako na hizi hadithi zako hizi za kujitungia? Ambazo hata sisi wakenya tunazisikia kwa mara ya kwanza kutoka kwako. Wagombea huru wamekuwepo tangia uchaguzi mkuu wa 2013. Tena kupata hiyo fomu ya kuwania, kwa mgombea yeyote yule huwa kuna hela ambayo lazima ulipe.
 
Dhana ya ugombea binafsi ni tamu masikioni lakini chungu kutekelezeka. Kenya yenye sheria hiyo imetoa ushahidi, funzo na alarm kwamba ni dhana ngumu kutekelezeka baada ya IEBC na wapigakura kuchanganyikiwa na kutamani ugombeaji kupitia mfumo wa vyama. Takwimu za IEBC zilizotolewa jana kwa umma zinaonyesha kwamba kuna zaidi ya wagombea binafsi 1500 na wale wa kiti cha urais wanafika 47.

Msingi wa hofu ni nini:-

1. Wamegundua kuwa wapigakura wamechanganyikiwa kwa kushindwa kujuwa historia za wagombea binafsi hao Kenya kutokana na idadi hiyo kubwa na inayozidi kuongezeka kila uchao; ili kura za wananchi zisikose target.

2. IEBC imepata kazi ngumu ya kuwafanyia vetting idadi hiyo ambayo inazidi kuongezeka.

3. Kuna hatari ya matapeli kugombea (kumbuka nahau ile kwamba: hakuna ajuaye kiungurumacho kwenye kifua cha Simba)

4. Kuna hatari ya Mahakama kupokea kesi nyingi za kuchezeana rafu na kwamba mzigo wa idadi kubwa ya kesi za uchaguzi huenda ikavunja rekodi na kuipa IEBC gharama kubwa za chaguzi za marudio kama Mahakama itaamuru hivyo.

5. Kuna sintojuwa kwamba matapeli wenye njaa wanaweza kutumia mwanya wa ugombea binafsi ili wakikosa ushindi basi wanafungua madai ya kuhujumiwa na kudai ama kupewa ushindi au fidia ya gharama za kuendesha kesi (ujasiriamali wa uchaguzi).

6. Kuna hofu kuwa baadhi ya wagombea binafsi wanatumia mwanya huo kama chambo/mtego kwa wale wenye vyama ili kwamba wenye vyama wanapohisi hawana wafuasi wengi katika ngome fulani basi watoe ela ndefu kwa wagombea binafsi ili wawaachie wafuasi wao kwenye ngome hizo.

7. Wananchi na asasi husika na uchaguzi wamekubaliana kwamba kumbe mfumo wa ugombeaji kupitia tiketi za vyama ni mzuri kwa maana chama ndicho kwa niaba ya wapigakura kinamfanyia vetting ya msingi (kabla ya ile ya IEBC) mgombea na kumuuza kwa wapigakura.

NB.
Kenya hivi sasa mpigakura ni bidhaa-adimu, vyama ni vitega uchumi-adhimu.

Kenya imesajili vyama 90 na takriban 40 maombi yao yako mezani kwa Msajili wa Vyama vya Siasa. County ya Mlima Kenya inaongoza kwa idadi kubwa ya vyama vya siasa 10 vikubwa na vidogovidogo zaidi ya 10.

Mwaka 2007 Kenya ilikuwa na vyama vya siasa 160 vyenye usajili wa kudumu.

Kuna maeneo Kenya ambayo chama cha kisiasa kiko hai kwenye wilaya/county moja tu au tarafa/division moja tu au kata/sub-division moja tu.

Hii ukichanganya na ukabila inafanya Kenya kuwa na biashara ya binadamu kama ya utumwa vile.

Wasomi wengi waliokosa ajira wameingia kwenye biashara ya siasa ya kuanzisha na kusajili vyama na kurubuni wasio na ajira kuwa wafuasi wao kwa malengo hayo ya kuvuna pesa za ama ruzuku au za uchaguzi ambapo wengine hawagombei lakini wanaweka wafuasi wao sokoni kwa ajili ya vyama vikubwa kuwanunua au kumuahidi mwenye chama cheo katika serikali endapo chama-mnunuzi kitashinda na kuunda serikali.

Wenzetu wame-advance.
Tatizo si ugombea binafsi.

Tatizo ni viwango hafifu vya kuruhusu ugombea binafsi.

Kuwa na haki ya ugombea binafsi maana yake si kila tapeli aweze kugombea.

Inawezekana kuwa na ugombea binafsi ambao una masharti makali (ya kukubalika na watu kwa mfano) kuliko hata ya mgombea wa chama.

Kwa mfano, ukiweka sharti mgombea binafsi wa urais awakilishe saini na anuani zinazoweza kuhakikiwa za wadhamini wasiopungua 20,000 kutoka kila mkoa, zoezi la kupata hizo saini tu litachuja matapeli wengi. Na hapo akigundulika kafanya utapeli hata kwa mdhamini mmoja tu, mgombea anakuwa disqualified.

Hapo ndipo utakapowachuja matapeli.
 
Tatizo si ugombea binafsi.

Tatizo ni viwango hafifu vya kuruhusu ugombea binafsi.

Kuwa na haki ya ugombea binafsi maana yake si kila tapeli aweze kugombea.

Inawezekana kuwa na ugombea binafsi ambao una masharti makali (ya kukubalika na watu kwa mfano) kuliko hata ya mgombea wa chama.

Kwa mfano, ukiweka sharti mgombea binafsi wa urais awakilishe saini na anuani zinazoweza kuhakikiwa za wadhamini wasiopungua 20,000 kutoka kila mkoa, zoezi la kupata hizo saini tu litachuja matapeli wengi. Na hapo akigundulika kafanya utapeli hata kwa mdhamini mmoja tu, mgombea anakuwa disqualifumied.

Hapo ndipo utakapowachuja matapeli.
Kenya pia watachujwa wabakie kumi. Hao wagombea 50 wa urais ujue saini zao bado hazijaidhinishwa na tume ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom