Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani, Lazima kiwakeTutarajie 2025 Wagombea CCM Kupita bila Kupingwa kama ilivyokua 2020?
Babu Chalechale (a.k.a Build and construction) nae akapata ulaji kwao bila Kupingwa aisee! 2020 ilikua aibu ya Karne.
MWENDAZAKE ALIFANYA UTEUZI WA WABUNGE MPAKA KINA HALIMA MDEE na Wenzake ndio maana CCM inahangaika nao MAHAKAMANI kulinda UTEUZI waoTutarajie 2025 Wagombea CCM Kupita bila Kupingwa kama ilivyokua 2020?
Babu Chalechale (a.k.a Build and construction) nae akapata ulaji kwao bila Kupingwa aisee! 2020 ilikua aibu ya Karne.
Alimtoa mkewe kafara na kusababisha wagombea wengine kuingiwa na maruwe ruwe kisha kushindwa kwenda kurudisha fomu.Babu Chalechale (a.k.a Build and construction) nae akapata ulaji kwao bila Kupingwa aisee! 2020 ilikua aibu ya Karne.
Yuko mbinguni au yuko kuzimu anaongoza mizimu?Haiwezi kujiludia Tena yalikuaa matakwa ya mwenda zake Kwa Sasa hayupo nasi yupo zake mbinguni anaongoza malaika.
Yule mwehu aka kichaa alifanya uchafuzi 2020 akaleta aibu kubwa. Mkurugenzi nikupe gari, nyumba, mshahara halafu unitangazie mpinzani ameshinda! Yule alikuwa punguani kabisa, alienda kinyume na katiba! Mungu ni mwema!Mbeleko FC
Yah mwenda kuzimuYuko mbinguni au yuko kuzimu anaongoza mizimu?
Ndiyo ukweli2025 wengi wa mbeleko hawatarudi mjengoni
ni mbumbumbu tu ulimwengu upo huku ndiye atapanga foleni 2025 ati kuchagua Rais, Mbunge na Diwani kama hakutakuwa na mabadiliko ya Katiba na sheria zake pamoja na Tume huru ya uchaguzi.Tutarajie 2025 Wagombea CCM Kupita bila Kupingwa kama ilivyokua 2020?
Babu Chalechale (a.k.a Build and construction) nae akapata ulaji kwao bila Kupingwa aisee! 2020 ilikua aibu ya Karne.
2.5M sio HABA! Hapo ondoa malupulupu nje ya kituo cha KAZI 😂😂😂Posho nzuri
Lawama zote kwa kichaa Nyerere yule pimbi katuharibia sana nchi. Yeye na Magu wafikwe motoni.Yule mwehu aka kichaa alifanya uchafuzi 2020 akaleta aibu kubwa. Mkurugenzi nikupe gari, nyumba, mshahara halafu unitangazie mpinzani ameshinda! Yule alikuwa punguani kabisa, alienda kinyume na katiba! Mungu ni mwema!
Mimi kila siku huwa nasema humu, wengine wanafikiri huwa naimba TAARABU 😂😂😂Posho nzuri
Hapo umesahau NYUMBA ni BURE! GHARAMA ZA MATIBU ni BURE na WATOTO wanakwenda SHULE.Na pensheni 400m TZS