Uchaguzi 2020 Wagombea CCM wakwama kufanya kampeni

Uchaguzi 2020 Wagombea CCM wakwama kufanya kampeni

Kwa nini mnashiriki uchaguzi basi? Wanasaccos lazima mtakuwa na matatizo ya kiakili kama mgombea wenu wa urais.
Tusiposhiriki uchaguzi hatutapata hata mtu mmoja wa kutusemea. Wakati wa ukoloni wa Waingereza, wakombozi wetu walishiriki uchaguzi wakaingia bunge la wakati ule. Wakatusemea. Ikifika mahali ikabidi kuacha kabisa kushiriki itamaanisha imebaki option ya kupigana tu basi. Hatupendi hilo.
 
Hukutaja Kenya. Nimekupa mfano wa nchi ambayo Tume ya Uchaguzi haiteuliwi na Rais peke yake. Nilifanya hivyo kwani ulidanganya kila nchi ni Rais tu ndiye anateua Tume ya Uchaguzi. Unatetea ujinga. Don't you know what a counter-example is? Kama kuna malalamiko bado ni beside the point.

CCM imekuwa inategemea kuiba kura miaka mingi mno. Wanatutawala kwa nguvu hao kizazi cha nyoka.
Kasome vizuri sijataja kuwa kila nchi ni Rais ndio anateua hao Wajumbe.
 
Back
Top Bottom