Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Unakuja na kwa 'tone' ya ulokole kutafuta sympathy?.Punguza matusi kaka
Sindano za Lissu zinachoma hadi kwenye mfupa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuja na kwa 'tone' ya ulokole kutafuta sympathy?.Punguza matusi kaka
Unakuja na kwa 'tone' ya ulokole kutafuta sympathy?.
Sindano za Lissu zinachoma hadi kwenye mfupa!
Kama hakuna uhuru na haki hayo mengine yote na zaidi ya hayo unayoyaeleza ni upuuziDuniani wapumbavu wapi wengi sana!
Eti anasema wanainchi hawataki maendeleo vitu,huu ni uzwazwa,ni uzandiki.
Kujenga hospitali,miundo mbinu,kuboresha miundo mbinu ya shule,elimu bila malipo kwa wanafunzi,kuboresha usafiri wa makini kwenye maziwa ili kurahisha usafiri pamoja mizigo kwa wananchi,miladi mikubwa ya kimkakati kama bwawa la nyerere lenye kuzalisha megawatt 2100 n.k halafu chizi kama ww linalopoka ovyoovyo tu.
Unahisi haya yote hayana faida kwa jamii?
Ndgu usifuate mkumbo,fikiria kabla ya kunena...Kuna mengi Sana yaliyofanyika ili kumurahisishia mwananchi.
Akili zako dogo unazijuwa mwenyeweMimi sina chama ila naona wagombea wa CCM wana nafasi kubwa ya kushinda
hata wasipopiga kampeni kutokana na kazi kubwa aliyofanya Rais Magufuli
@Bwana Jela, kukiri tu kwamba wewe in mwana CCM unaongopa na mko wengi, hauko peke yako. Je unajua ni kwa sababu gani? Unafiki. Unadai kwamba si kweli watu wametekwa, kuteswa na kuumizwa na ukatili wa awamu hii, unamdanganya nani? Au wewe ni moja katika hao wanaoteka, kutesa na kuwaumiza Watanzania? Unaishi wapi? Jana tu huko Arusha mfanya biashara wa madini kadaiwa kuuawa na vyombo vya usalama au wewe unabisha? Acha upumbavu ndugu yangu, kiri tu kwamba mmeshikwa pabaya safari hii.Mimi sina chama ila nikiangalia CCM inapendwa sana
Hopeless. Eti sina chama! Kuna mtu kakuuliza?Mimi sina chama ila naona wagombea wa CCM wana nafasi kubwa ya kushinda
hata wasipopiga kampeni kutokana na kazi kubwa aliyofanya Rais Magufuli
We kajamaa ni kiazi sanaMimi sina chama ila naona wagombea wa CCM wana nafasi kubwa ya kushinda
hata wasipopiga kampeni kutokana na kazi kubwa aliyofanya Rais Magufuli
@Bwana Jela, kukiri tu kwamba wewe in mwana CCM unaongopa na mko wengi, hauko peke yako. Je unajua ni kwa sababu gani? Unafiki. Unadai kwamba si kweli watu wametekwa, kuteswa na kuumizwa na ukatili wa awamu hii, unamdanganya nani? Au wewe ni moja katika hao wanaoteka, kutesa na kuwaumiza Watanzania? Unaishi wapi? Jana tu huko Arusha mfanya biashara wa madini kadaiwa kuuawa na vyombo vya usalama au wewe unabisha? Acha upumbavu ndugu yangu, kiri tu kwamba mmeshikwa pabaya safari hii.
Mimi sina chama ila naona wagombea wa CCM wana nafasi kubwa ya kushinda
hata wasipopiga kampeni kutokana na kazi kubwa aliyofanya Rais Magufuli
Ukweli kafanya kazi Kubwa, kuteka, kuua na kuzuia demokrasia
Ndipo hapa mnapokuwa wajinga, sisi tunaongelea Watanzania wanaotekwa, kuteswa na kuuawa, wewe unaongelea wana CCM wnaouawa na wana Chadema, je mpaka hapo unaona tofauti yoyote? Ukisema wameuawa na Chadema ni kwamba wahalifu wameshapatikana na wanashughulikiwa. Je kikundi cha wasiojulikana wanajulikana? Wangapi walikamatwa na kushughulikiwa na vyombo vya dola? Au hao ni vyombo visivyo rasmi vya dola? Je ukiwa CCM huhitaji kuwa na akili?Hapana kaka yangu, ukianza kutaja wanaccm waliouawa ndani mwezi mmoja na polisi kuthibitisha wameuawawa na wanachadema Mbona
Ndipo hapa mnapokuwa wajinga, sisi tunaongelea Watanzania wanaotekwa, kuteswa na kuuawa, wewe unaongelea wana CCM wnaouawa na wana Chadema, je mpaka hapo unaona tofauti yoyote? Ukisema wameuawa na Chadema ni kwamba wahalifu wameshapatikana na wanashughulikiwa. Je kikundi cha wasiojulikana wanajulikana? Wangapi walikamatwa na kushughulikiwa na vyombo vya dola? Au hao ni vyombo visivyo rasmi vya dola? Je ukiwa CCM huhitaji kuwa na akili?
Kwahiyo hutaki anogeshe wakati wa kampeni? Kwani ni lini vionjo wakati wa kampeni vilikataliwa?Magufuli mwenyewe hana uhakika wa kushinda anahaha na NEC na kupiga magoti majukwaani.
Wewe ndiyo Popoma kabisa unataka uteue wewe!? Hujui hilo ni takwa la Kikatiba?Hivi kuna nchi nyingine duniani ambako mmoja wa wagombea wa urais anateua tume ya uchaguzi? Hiki ni kitu kinafanya tudharauliwe sana duniani.
Uhuru maana yake ni nini? Sio uwezo wa kujiamulia mambo yetu wenyewe? Mbona hatuna uwezo wa kuamua ni nini ndiyo kiwe katiba yetu? Watanzania tumeporwa uhuru wetu?
Tulidharauliwa sana wakati tunatawaliwa na Waingereza. Na sasa tunadharauliwa sana wakati tunatawaliwa na ccm. Bado sisi siyo watu huru. Tunaweza kujikomboa, itabidi tujikomboe. Tukatae ccm na wanyapara wake
Huo ni uwongo kaka yangu
Kweli kabisaMimi hayo sijayaona ndugu yangu, ila nimekuwa nikiona Rais Magufuli akiwapatia msaada Watanzania mbalimbali
Ana huruma na upendo huyu Baba
Chandimu kwa kujifariji hamjambo! Mwaka huu mnaenda kupigwa kwenye sanduku la kura haijawahi kutokea! Yaani mtapata aibu ya miongo kumi!