Uchaguzi 2020 Wagombea CCM wakwama kufanya kampeni

Kwa nini mnashiriki uchaguzi basi? Wanasaccos lazima mtakuwa na matatizo ya kiakili kama mgombea wenu wa urais.
Tusiposhiriki uchaguzi hatutapata hata mtu mmoja wa kutusemea. Wakati wa ukoloni wa Waingereza, wakombozi wetu walishiriki uchaguzi wakaingia bunge la wakati ule. Wakatusemea. Ikifika mahali ikabidi kuacha kabisa kushiriki itamaanisha imebaki option ya kupigana tu basi. Hatupendi hilo.
 
Kasome vizuri sijataja kuwa kila nchi ni Rais ndio anateua hao Wajumbe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…