Pre GE2025 Wagombea CHADEMA walivyowasili kwa mbwembwe kwenye ukumbi wa Mlimani City

Pre GE2025 Wagombea CHADEMA walivyowasili kwa mbwembwe kwenye ukumbi wa Mlimani City

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Mgombea Uenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, amekuwa wa kwanza kuwasili katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaa, ambapo leo Januari 21, 2025 unafanyika uchaguzi wa kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho.

Lissu amewasili katika viwanja vya ukumbi huo saa 10:15 asubuhi, akiwa ndani ya gari jeusi Land Cruiser lenye namba za usajili T216 DHH.

Soma: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?

Baada ya kufika, alipokelewa kwa shangwe na wafuasi wake waliokuwa wameshika mabango huku wakiimba, "Lissu! Lissu!"

Wafuasi hao pia wamesukuma gari lake hadi eneo la maegesho kabla ya mgombea huyo kuingia ukumbini.
Snapinst.app_474652697_8997444453696272_8782384701939738942_n_1080.jpg
Snapinst.app_474510386_1647909035934299_4683653094594180407_n_1080.jpg



Mgombea uenyekiti CHADEMA ngazi ya taifa Odero Charles Odero akiwasili kwenye ukumbi wa Mlimani city sehemu ambayo ndipo utqkapofanyika uchaguzi huo siku ya leo tarehe 21January 2024.
Mgombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti Chadema, Ezekia Wenje akiingia katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam kwa ajili ya uchaguzi leo Januari 21, 2025.
 
Mgombea Uenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, amekuwa wa kwanza kuwasili katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaa, ambapo leo Januari 21, 2025 unafanyika uchaguzi wa kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho.

Lissu amewasili katika viwanja vya ukumbi huo saa 10:15 asubuhi, akiwa ndani ya gari jeusi Land Cruiser lenye namba za usajili T216 DHH.

Baada ya kufika, alipokelewa kwa shangwe na wafuasi wake waliokuwa wameshika mabango huku wakiimba, "Lissu! Lissu!"

Wafuasi hao pia wamesukuma gari lake hadi eneo la maegesho kabla ya mgombea huyo kuingia ukumbini.
Maria hakuwemo ktk gari? Lema yupo ktk TV Kama mimi anabadilisha channel. Dunia ina mambo hii.
 
Mgombea Uenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, amekuwa wa kwanza kuwasili katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaa, ambapo leo Januari 21, 2025 unafanyika uchaguzi wa kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho.

Lissu amewasili katika viwanja vya ukumbi huo saa 10:15 asubuhi, akiwa ndani ya gari jeusi Land Cruiser lenye namba za usajili T216 DHH.

Baada ya kufika, alipokelewa kwa shangwe na wafuasi wake waliokuwa wameshika mabango huku wakiimba, "Lissu! Lissu!"

Wafuasi hao pia wamesukuma gari lake hadi eneo la maegesho kabla ya mgombea huyo kuingia ukumbini.
Wanafeli sana, sasa hakuna hata chanell inaonyesha live, clouds wanapiga mziki tu , CCM wataedelea kuwa juu kwa miaka mingi sana, chadema hata hili tukio kutuonyesha wanashindwa?
 
Kisha akagoma asipigwe hata picha.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Wanafeli sana, sasa hakuna hata chanell inaonyesha live, clouds wanapiga mziki tu , CCM wataedelea kuwa juu kwa miaka mingi sana, chadema hata hili tukio kutuonyesha wanashindwa?
Fungua UTV iko live tena HD au hauna king'amuzi cha azam
 
Mgombea Uenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, amekuwa wa kwanza kuwasili katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaa, ambapo leo Januari 21, 2025 unafanyika uchaguzi wa kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho.

Lissu amewasili katika viwanja vya ukumbi huo saa 10:15 asubuhi, akiwa ndani ya gari jeusi Land Cruiser lenye namba za usajili T216 DHH.

Baada ya kufika, alipokelewa kwa shangwe na wafuasi wake waliokuwa wameshika mabango huku wakiimba, "Lissu! Lissu!"

Wafuasi hao pia wamesukuma gari lake hadi eneo la maegesho kabla ya mgombea huyo kuingia ukumbini.
mbwembwe zote zinaishia humo ndani ya ukumbi wa mlimani City 🐒
 
Back
Top Bottom