Afrika Mashariki ni ndugu wa mama mmojaMbona kina bendera ya Uganda π π
Watu wameamua kulinda kura zao, they means bussiness this timeNi Heche, Lissu, Heche, Lisu Mlimani City.
View: https://x.com/MohoniaJoseph11/status/1881600339377533378?s=19
Unajitoa ufahamu kuwa vyombo vya habari vimepigwa bit kiana kuonyesha shughuli za upinzani?Wanafeli sana, sasa hakuna hata chanell inaonyesha live, clouds wanapiga mziki tu , CCM wataedelea kuwa juu kwa miaka mingi sana, chadema hata hili tukio kutuonyesha wanashindwa?
Nilitaka kuuliza hili swaliMbona kina bendera ya Uganda π π
Kama MpinaHaya
Utatuonyesha pia watakapoondoka Kwa huzuni πΌ
Sasa hili tukio ni la kuonyeshwa channel moja pekee? Huoni mapungufu kimkakati? Clouds wamekata matangazo ghafla tuUnajitoa ufahamu kuwa vyombo vya habari vimepigwa bit kiana kuonyesha shughuli za upinzani?
U~TV ya azam.Wanafeli sana, sasa hakuna hata chanell inaonyesha live, clouds wanapiga mziki tu , CCM wataedelea kuwa juu kwa miaka mingi sana, chadema hata hili tukio kutuonyesha wanashindwa?
πππKama Mpina
Hujui ni kwanini hawawezi kuoneshwa Live?Wanafeli sana, sasa hakuna hata chanell inaonyesha live, clouds wanapiga mziki tu , CCM wataedelea kuwa juu kwa miaka mingi sana, chadema hata hili tukio kutuonyesha wanashindwa?
Nimeshajua...Hujui ni kwanini hawawezi kuoneshwa Live?
Kwani kuonyeshwa sana ndio kunakupa mvuto? Cdm wana mvuto automatically bila hata kuonyeshwa popote.Wanafeli sana, sasa hakuna hata chanell inaonyesha live, clouds wanapiga mziki tu , CCM wataedelea kuwa juu kwa miaka mingi sana, chadema hata hili tukio kutuonyesha wanashindwa?
Uko sahihi, mkutano unaostahili kuwepo ni wa makondoo wa ccm, hao ndio sahihi maana hawana uwezo wa kuhoji lolote.Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi inabidi aingilie kati asimamishe huu uchaguzi ndani ya CHADEMA, maana hauna amani na kuna viashiria vya wazi vya vurugu vinaonekana..!!
DSTVFungua UTV iko live tena HD au hauna king'amuzi cha azam
Uko sahihi, mkutano unaostahili kuwepo ni wa makondoo wa ccm, hao ndio sahihi maana hawana uwezo wa kuhoji lolote.