LGE2024 Wagombea hata wale Wachache wa Chadema waliopitishwa waanza Kuenguliwa

LGE2024 Wagombea hata wale Wachache wa Chadema waliopitishwa waanza Kuenguliwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kwa Mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, John Mrema aliyoisambaza Dunia nzima , Kwamba hata wale wawili watatu wa Chadema waliopitishwa kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa wanaondolewa.

Porojo za Waenguaji ni kwamba kuna Mapingamizi dhidi ya Wagombea hao.

Bali hata hao Wagombea Wenyewe hawakuwahi kuonyeshwa hayo Mapingamizi yenyewe, Yaani wenye mamlaka wanaamua tu kuwaengua!

Kwa jambo hili na mengine kadhaa yanayoendelea, sasa ni Dhahiri kwamba hii Nchi Imefikia Kikomo chake.

Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho

Screenshot_2024-11-11-16-40-10-1.png
 
bunge la ccm 2025-2025 limeshindwa nini kubadili sheria ya vyama vingi, kibaki chama kimoja? Kuna haja gani ya kupoteza rasilimali kuchagua aliyekwishateuliwa?
 
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kwa Mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, John Mrema aliyoisambaza Dunia nzima , Kwamba hata wale wawili watatu wa Chadema waliopitishwa kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa wanaondolewa.

Porojo za Waenguaji ni kwamba kuna Mapingamizi dhidi ya Wagombea hao.

Bali hata hao Wagombea Wenyewe hawakuwahi kuonyeshwa hayo Mapingamizi yenyewe, Yaani wenye mamlaka wanaamua tu kuwaengua!

Kwa jambo hili na mengine kadhaa yanayoendelea, sasa ni Dhahiri kwamba hii Nchi Imefikia Kikomo chake.

Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho
Hatimaye Tanzania inamalizika huku watu wakikenua meno
Tatizo lipo kwa Chadema yenyewe, Wala siyo kwa CCM.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    420.8 KB · Views: 2
  • 20240907_095744 (1).jpg
    20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 2
  • IMG-20200726-WA0000.jpg
    IMG-20200726-WA0000.jpg
    43.7 KB · Views: 2
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kwa Mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, John Mrema aliyoisambaza Dunia nzima , Kwamba hata wale wawili watatu wa Chadema waliopitishwa kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa wanaondolewa.

Porojo za Waenguaji ni kwamba kuna Mapingamizi dhidi ya Wagombea hao.

Bali hata hao Wagombea Wenyewe hawakuwahi kuonyeshwa hayo Mapingamizi yenyewe, Yaani wenye mamlaka wanaamua tu kuwaengua!

Kwa jambo hili na mengine kadhaa yanayoendelea, sasa ni Dhahiri kwamba hii Nchi Imefikia Kikomo chake.

Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho
wasio na sifa na vigezo vya kisheria wote yafaa kuenguliwa kama wagimbeaji mara moja bila kujali vyama vyao :pulpTRAVOLTA:
 
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kwa Mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, John Mrema aliyoisambaza Dunia nzima , Kwamba hata wale wawili watatu wa Chadema waliopitishwa kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa wanaondolewa.

Porojo za Waenguaji ni kwamba kuna Mapingamizi dhidi ya Wagombea hao.

Bali hata hao Wagombea Wenyewe hawakuwahi kuonyeshwa hayo Mapingamizi yenyewe, Yaani wenye mamlaka wanaamua tu kuwaengua!

Kwa jambo hili na mengine kadhaa yanayoendelea, sasa ni Dhahiri kwamba hii Nchi Imefikia Kikomo chake.

Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho

Huyu MKWE MWENYE KIFUA KIPANA amekuwa tatizo tayari ..... Halafu kuna watu watakuja hapa wakidai kuwa inawezekana Mama ADUL hajui kinachoendelea. ..... Seriously!!?
 
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kwa Mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, John Mrema aliyoisambaza Dunia nzima , Kwamba hata wale wawili watatu wa Chadema waliopitishwa kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa wanaondolewa.

Porojo za Waenguaji ni kwamba kuna Mapingamizi dhidi ya Wagombea hao.

Bali hata hao Wagombea Wenyewe hawakuwahi kuonyeshwa hayo Mapingamizi yenyewe, Yaani wenye mamlaka wanaamua tu kuwaengua!

Kwa jambo hili na mengine kadhaa yanayoendelea, sasa ni Dhahiri kwamba hii Nchi Imefikia Kikomo chake.

Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho
This is bullshit, kuna watu walikuwa wanasema chadema wajitoe, maybe walikuwa right, instead of kupotezeana muda na kuchezeana why tume isiseme haitaki wagombea wa chama fulani badala ya figisu?
 
This is bullshit, kuna watu walikuwa wanasema chadema wajitoe, maybe walikuwa right, instead of kupotezeana muda na kuchezeana why tume isiseme haitaki wagombea wa chama fulani badala ya figisu?
Kubaki kwa Chadema kumefumua kila Uchafu na kuuweka peupe
 
Ni mjinga tu atakwenda kupiga kura hiyo tarehe yao. Wapinzani ni wajinga sana inakuwaje mnaenda kwenye uchaguzi na katiba ya kijinga hii ya mjaa laana Nyerere.
 
Mungu hadhihakiwa, huu ushenzi lazima utaondoka na roho ya mtu mzito huko CCM kabla ya mwaka huu kwisha ili iwe fundisho kwa wote
 
Kila mwaka mnapigwa na mbinu zilezile lakini hamuwezi kujitetea. Mtaweza kusimamia nchi?
 
Back
Top Bottom