LGE2024 Wagombea hata wale Wachache wa Chadema waliopitishwa waanza Kuenguliwa

LGE2024 Wagombea hata wale Wachache wa Chadema waliopitishwa waanza Kuenguliwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kwa Mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, John Mrema aliyoisambaza Dunia nzima , Kwamba hata wale wawili watatu wa Chadema waliopitishwa kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa wanaondolewa.

Porojo za Waenguaji ni kwamba kuna Mapingamizi dhidi ya Wagombea hao.

Bali hata hao Wagombea Wenyewe hawakuwahi kuonyeshwa hayo Mapingamizi yenyewe, Yaani wenye mamlaka wanaamua tu kuwaengua!

Kwa jambo hili na mengine kadhaa yanayoendelea, sasa ni Dhahiri kwamba hii Nchi Imefikia Kikomo chake.

Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho

View attachment 3149516
Chadema ni wapumbavu
 
Wapinzani wameyataka wenyewe, kulikuwa hakuna sababu ya kushiriki uchaguzi wa mwaka huu na hata ule wa mwakani kwa katiba hii tuliyonayo sasa.
 
Na wewe jibu swali. Kama chama cha siasa mmeishiwa mbinu za kisiasa?
Hakuna siasa hapo. Ni dola/serikali inatumia mabavu kinyume cha katiba na sheria.

Hatua iliyobaki kwa CHADEMA ni kuanzisha maandamano ya nguvu kupinga maamuzi ya dola au hata vita, basi. Umeulizwa swali sahihi: unataka CHADEMA waanzishe vita?
 
Zamani, kila mara ukienda nyumbani unalia kwamba umepigwa, basi unaonekana mzembe na unaongezewa viboko.

Kwanini kila mara upigwe wewe tu?
 
Hakuna siasa hapo. Ni dola/serikali inatumia mabavu kinyume cha katiba na sheria.

Hatua iliyobaki kwa CHADEMA ni kuanzisha maandamano ya nguvu kupinga maamuzi ya dola au hata vita, basi. Umeulizwa swali sahihi: unataka CHADEMA waanzishe vita?
Umeanza kuongea options za kisiasa. Maandamano, kuexhaust option ya mahakama nk nk. Vita hutoa mhuni mmoja na kuweka mwingine.
 
Umeanza kuongea options za kisiasa. Maandamano, kuexhaust option ya mahakama nk nk. Vita hutoa mhuni mmoja na kuweka mwingine.
Kwa hiyo unashauri CHADEMA waende mahakamani kuishitaki serikali kwa kuengua wagombea wake isivyo halali - kama mkakati wa kisiasa, sio?
 
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kwa Mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, John Mrema aliyoisambaza Dunia nzima , Kwamba hata wale wawili watatu wa Chadema waliopitishwa kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa wanaondolewa.

Porojo za Waenguaji ni kwamba kuna Mapingamizi dhidi ya Wagombea hao.

Bali hata hao Wagombea Wenyewe hawakuwahi kuonyeshwa hayo Mapingamizi yenyewe, Yaani wenye mamlaka wanaamua tu kuwaengua!

Kwa jambo hili na mengine kadhaa yanayoendelea, sasa ni Dhahiri kwamba hii Nchi Imefikia Kikomo chake.

Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho

View attachment 3149516

Habari siriaz kama hizi, lazima ziwe na chanzo chenye kuaminika.
 
Poor Tanganyika sasa hivi endeleeni kulalama tu, siku mkishtuka kutoka usingizini mtajilaumu sana kwanini hakuchukua hatua mapema.
 
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kwa Mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, John Mrema aliyoisambaza Dunia nzima , Kwamba hata wale wawili watatu wa Chadema waliopitishwa kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa wanaondolewa.

Porojo za Waenguaji ni kwamba kuna Mapingamizi dhidi ya Wagombea hao.

Bali hata hao Wagombea Wenyewe hawakuwahi kuonyeshwa hayo Mapingamizi yenyewe, Yaani wenye mamlaka wanaamua tu kuwaengua!

Kwa jambo hili na mengine kadhaa yanayoendelea, sasa ni Dhahiri kwamba hii Nchi Imefikia Kikomo chake.

Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho

View attachment 3149516
Hahahaha boya mbowe alishangilia akidhani Dkt Magufuli alikuwa mbaya. Sasa Dkt Magufuli hayupo hahaha
 
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kwa Mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, John Mrema aliyoisambaza Dunia nzima , Kwamba hata wale wawili watatu wa Chadema waliopitishwa kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa wanaondolewa.

Porojo za Waenguaji ni kwamba kuna Mapingamizi dhidi ya Wagombea hao.

Bali hata hao Wagombea Wenyewe hawakuwahi kuonyeshwa hayo Mapingamizi yenyewe, Yaani wenye mamlaka wanaamua tu kuwaengua!

Kwa jambo hili na mengine kadhaa yanayoendelea, sasa ni Dhahiri kwamba hii Nchi Imefikia Kikomo chake.

Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho

View attachment 3149516
Hawa watu wameshalewa madaraka, kiasi kwamba hawaoni aibu tena.
 
Je watafanikiwa kuonea hivi hadi lini?
Hawa walikubali mfumo wa Demokrasia wa Siasa za Vyama vingi kwa SHINIKIZO la Wazungu.

Sasa wanachofanya ni KUWAHADAA Wazungu hao sasa sisi tunawaomba Wazungu hao watumie UWEZO wao kama ni VIKWAZO au KUKATA MISAADA NK.

LAA SIVYO ITAKUWA NI HIVI HIVI FOREVER.
 
Back
Top Bottom