Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kwa Mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, John Mrema aliyoisambaza Dunia nzima , Kwamba hata wale wawili watatu wa Chadema waliopitishwa kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa wanaondolewa.
Porojo za Waenguaji ni kwamba kuna Mapingamizi dhidi ya Wagombea hao.
Bali hata hao Wagombea Wenyewe hawakuwahi kuonyeshwa hayo Mapingamizi yenyewe, Yaani wenye mamlaka wanaamua tu kuwaengua!
Kwa jambo hili na mengine kadhaa yanayoendelea, sasa ni Dhahiri kwamba hii Nchi Imefikia Kikomo chake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho
Tatizo lipo kwa Chadema yenyewe, Wala siyo kwa CCM.Hatimaye Tanzania inamalizika huku watu wakikenua meno
Mbeleko.comTatizo lipo kwa Chadema yenyewe, Wala siyo kwa CCM.
wasio na sifa na vigezo vya kisheria wote yafaa kuenguliwa kama wagimbeaji mara moja bila kujali vyama vyaoHii ndio Taarifa mpya kutoka Kwa Mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, John Mrema aliyoisambaza Dunia nzima , Kwamba hata wale wawili watatu wa Chadema waliopitishwa kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa wanaondolewa.
Porojo za Waenguaji ni kwamba kuna Mapingamizi dhidi ya Wagombea hao.
Bali hata hao Wagombea Wenyewe hawakuwahi kuonyeshwa hayo Mapingamizi yenyewe, Yaani wenye mamlaka wanaamua tu kuwaengua!
Kwa jambo hili na mengine kadhaa yanayoendelea, sasa ni Dhahiri kwamba hii Nchi Imefikia Kikomo chake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kwa Mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, John Mrema aliyoisambaza Dunia nzima , Kwamba hata wale wawili watatu wa Chadema waliopitishwa kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa wanaondolewa.
Porojo za Waenguaji ni kwamba kuna Mapingamizi dhidi ya Wagombea hao.
Bali hata hao Wagombea Wenyewe hawakuwahi kuonyeshwa hayo Mapingamizi yenyewe, Yaani wenye mamlaka wanaamua tu kuwaengua!
Kwa jambo hili na mengine kadhaa yanayoendelea, sasa ni Dhahiri kwamba hii Nchi Imefikia Kikomo chake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho
Tunamtakia kila la heriSamia anatuvurugia nchi yetu
This is bullshit, kuna watu walikuwa wanasema chadema wajitoe, maybe walikuwa right, instead of kupotezeana muda na kuchezeana why tume isiseme haitaki wagombea wa chama fulani badala ya figisu?Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kwa Mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, John Mrema aliyoisambaza Dunia nzima , Kwamba hata wale wawili watatu wa Chadema waliopitishwa kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa wanaondolewa.
Porojo za Waenguaji ni kwamba kuna Mapingamizi dhidi ya Wagombea hao.
Bali hata hao Wagombea Wenyewe hawakuwahi kuonyeshwa hayo Mapingamizi yenyewe, Yaani wenye mamlaka wanaamua tu kuwaengua!
Kwa jambo hili na mengine kadhaa yanayoendelea, sasa ni Dhahiri kwamba hii Nchi Imefikia Kikomo chake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho
Kubaki kwa Chadema kumefumua kila Uchafu na kuuweka peupeThis is bullshit, kuna watu walikuwa wanasema chadema wajitoe, maybe walikuwa right, instead of kupotezeana muda na kuchezeana why tume isiseme haitaki wagombea wa chama fulani badala ya figisu?
Samia anatuvurugia nchi yetu
Una uwezo mdogo sana!Mbona maridhiano ya Kinana na Mbowe mlisemaga ni Siri? 😂😂
Unataka tuanzishe Vita?Kila mwaka mnapigwa na mbinu zilezile lakini hamuwezi kujitetea. Mtaweza kusimamia nchi?
Mmeishiwa options za kisiasa?Unataka tuanzishe Vita?
Jibu maswali rahisiMmeishiwa options za kisiasa?