Chadema ni wapumbavuHii ndio Taarifa mpya kutoka Kwa Mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, John Mrema aliyoisambaza Dunia nzima , Kwamba hata wale wawili watatu wa Chadema waliopitishwa kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa wanaondolewa.
Porojo za Waenguaji ni kwamba kuna Mapingamizi dhidi ya Wagombea hao.
Bali hata hao Wagombea Wenyewe hawakuwahi kuonyeshwa hayo Mapingamizi yenyewe, Yaani wenye mamlaka wanaamua tu kuwaengua!
Kwa jambo hili na mengine kadhaa yanayoendelea, sasa ni Dhahiri kwamba hii Nchi Imefikia Kikomo chake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho
View attachment 3149516
Trump anatisha kweli kweli.bunge la ccm 2025-2025 limeshindwa nini kubadili sheria ya vyama vingi, kibaki chama kimoja? Kuna haja gani ya kupoteza rasilimali kuchagua aliyekwishateuliwa?
Na wewe jibu swali. Kama chama cha siasa mmeishiwa mbinu za kisiasa?Jibu maswali rahisi
Hakuna siasa hapo. Ni dola/serikali inatumia mabavu kinyume cha katiba na sheria.Na wewe jibu swali. Kama chama cha siasa mmeishiwa mbinu za kisiasa?
Umeanza kuongea options za kisiasa. Maandamano, kuexhaust option ya mahakama nk nk. Vita hutoa mhuni mmoja na kuweka mwingine.Hakuna siasa hapo. Ni dola/serikali inatumia mabavu kinyume cha katiba na sheria.
Hatua iliyobaki kwa CHADEMA ni kuanzisha maandamano ya nguvu kupinga maamuzi ya dola au hata vita, basi. Umeulizwa swali sahihi: unataka CHADEMA waanzishe vita?
Kwa hiyo unashauri CHADEMA waende mahakamani kuishitaki serikali kwa kuengua wagombea wake isivyo halali - kama mkakati wa kisiasa, sio?Umeanza kuongea options za kisiasa. Maandamano, kuexhaust option ya mahakama nk nk. Vita hutoa mhuni mmoja na kuweka mwingine.
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kwa Mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, John Mrema aliyoisambaza Dunia nzima , Kwamba hata wale wawili watatu wa Chadema waliopitishwa kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa wanaondolewa.
Porojo za Waenguaji ni kwamba kuna Mapingamizi dhidi ya Wagombea hao.
Bali hata hao Wagombea Wenyewe hawakuwahi kuonyeshwa hayo Mapingamizi yenyewe, Yaani wenye mamlaka wanaamua tu kuwaengua!
Kwa jambo hili na mengine kadhaa yanayoendelea, sasa ni Dhahiri kwamba hii Nchi Imefikia Kikomo chake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho
View attachment 3149516
siku ya uchaguzi wa serikali za mitaa iwe siku ya maandamano nchi nzima
Je watafanikiwa kuonea hivi hadi lini?Uonevu wa hali ya juu sana ☹️
HayaChadema ni wapumbavu
Mkiitwa kuandamana mnamwacha Mbowe na mwanae wa kike. Wewe unabaki uvunguni. Kila siku kulalamika nyuma ya keyboard!Hatimaye Tanzania inamalizika huku watu wakikenua meno
Hahahaha boya mbowe alishangilia akidhani Dkt Magufuli alikuwa mbaya. Sasa Dkt Magufuli hayupo hahahaHii ndio Taarifa mpya kutoka Kwa Mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, John Mrema aliyoisambaza Dunia nzima , Kwamba hata wale wawili watatu wa Chadema waliopitishwa kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa wanaondolewa.
Porojo za Waenguaji ni kwamba kuna Mapingamizi dhidi ya Wagombea hao.
Bali hata hao Wagombea Wenyewe hawakuwahi kuonyeshwa hayo Mapingamizi yenyewe, Yaani wenye mamlaka wanaamua tu kuwaengua!
Kwa jambo hili na mengine kadhaa yanayoendelea, sasa ni Dhahiri kwamba hii Nchi Imefikia Kikomo chake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho
View attachment 3149516
Hawa watu wameshalewa madaraka, kiasi kwamba hawaoni aibu tena.Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kwa Mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, John Mrema aliyoisambaza Dunia nzima , Kwamba hata wale wawili watatu wa Chadema waliopitishwa kugombea uenyekiti wa Serikali za Mitaa wanaondolewa.
Porojo za Waenguaji ni kwamba kuna Mapingamizi dhidi ya Wagombea hao.
Bali hata hao Wagombea Wenyewe hawakuwahi kuonyeshwa hayo Mapingamizi yenyewe, Yaani wenye mamlaka wanaamua tu kuwaengua!
Kwa jambo hili na mengine kadhaa yanayoendelea, sasa ni Dhahiri kwamba hii Nchi Imefikia Kikomo chake.
Hakika kila lenye mwanzo halikosi mwisho
View attachment 3149516
Hawa walikubali mfumo wa Demokrasia wa Siasa za Vyama vingi kwa SHINIKIZO la Wazungu.Je watafanikiwa kuonea hivi hadi lini?
Wakichukua hatua wewe wewe utakuja hapa kusema ni chama Cha fujoMmeishiwa options za kisiasa?