LGE2024 Wagombea hata wale Wachache wa Chadema waliopitishwa waanza Kuenguliwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hahahaha boya mbowe alishangilia akidhani Dkt Magufuli alikuwa mbaya. Sasa Dkt Magufuli hayupo hahaha
Wapumbavu sana hao wanadhani sisi ni wapumbavu tuandamanishwe na mbowe kwa lipi ...jpm mzalendo walimpinga ...jpm mleta maendeleo walimpinga ....jpm mpinga ufisadi walimpinga...jpm mwenye kujali wanyonge walimpinga...jpm aliye pigania rasilimali yetu walimpinga sasa wanata tuwaunge mkono ili tupate nini zaidiya wao kushibisha matumbo yao.
 
Sasa unalia nini?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…