Wagombea Ubunge wa CHADEMA wanapata wakati mgumu kuomba kura

Wagombea Ubunge wa CHADEMA wanapata wakati mgumu kuomba kura

Kiukweli mambo chadema wanayoahidi kufanya ni magumu kueleweka moja kwa moja na raia akaamua kukupigia kura. Unamshawishi vp raia kwamba zahanati na barabara sio vya muhimu kwake ila cha muhimu ni uhuru wa kuingia barabarani unapiga makopo na mabango pale serikali inapokukwaza!
 
Na wanaomba kura huku wamepiga magoti wengine hadi wanajamba hao nao tuwaweke kundi gani?
 
Na wanaomba kura huku wamepiga magoti wengine hadi wanajamba hao nao tuwaweke kundi gani?
Chakutafakari no kuwa huko uongozini Kuna Nini,Hadi kufikia hatua hiyo?Ama nimewakosea Nini hawa watu wangu?
 
Je, chama cha kigaidi kinachoendesha uharamia wa utekaji, mauaji, wizi, ubambikizaji wa makesi yasiyo na dhamana kwa watu wasio na hatia, nk.. ndicho wapiga kura wanakielewa?!
 
Sasa kama kiongoz wa chama anapinga maendeleo ya vitu unafikir wabunge na madiwan watakua na Sera gani mana hawawez Tena kutuambia kua watatuletea maendeleo ya kitu chochote
 
Sasa kama kiongoz wa chama anapinga maendeleo ya vitu unafikir wabunge na madiwan watakua na Sera gani mana hawawez Tena kutuambia kua watatuletea maendeleo ya kitu chochote
Sema wanapinga ,ukosefu was Uhuru,haki na maendeleo ya watu katika taifa letu.
 
Hak ipi io
Uhuru wa maoni,habari,kutoingilia mihimili mingine kwa mujibu was Katiba yetu.Haki za kulindwa haki za msingi za kiraia,ikiwa ni pamoja na kuishi na kuhakikishiwa usalama na kutobaguliwa.
 
Uhuru wa maoni,habari,kutoingilia mihimili mingine kwa mujibu was Katiba yetu.Haki za kulindwa haki za msingi za kiraia,ikiwa ni pamoja na kuishi na kuhakikishiwa usalama na kutobaguliwa.
Haki izo unazo ziomba ndio maendeleo? Kwaio ili nch iendelee lazima kina Tundulisu wapewe haki ya kutukana na kuongea uongo au wewe ndio huna haki??
 
CCM mpya chini ya Bashiru na Chakubanga mbona imeacha kuongelea mambo ya madege na madaraja? Walidhani mwanzoni kuwa wananchi watakula madaraja? Sasa kama wanajua kusoma alama za nayakati wasome. Huu uchaguzi waki mess up wanakwenda kupigwa vikwazo siyo vya dunia hii. Yaani sisi

CCM has 100 years, kama unasubiria ccm itoke madarakani aisee subiria sana
 
Wananchi wamechoka na santuri ya ujenzi wa barabara, reli, zahanati nk kwani hakuna serikali isiyofanya hayo, hata wakoloni walifanya tena mengi tu.

Huwezi ukadai eti unajenga miundombinu lakini wananchi walipie kwa kutekwa na kuuwawa, hakuna haki wala uhuru. Hufai kabisa kuongoza watu.
 
Unaishi wapi??? Wewe ni mjinga puree!
 
Acheni kupitishana bila kupingwa, acheni kutumia tume ya uchaguzi kuwabeba na kuwakandamiza wapinzani, acheni polisi wafanye kazi yao kwa mujibu wa maadili yao, uchaguzi uwe uhuru, hapo ndipomtakapopata jibu kama ni kweli wagombea ubunge wa upinzani hawaeleweki kwa wananchi.
 
Acheni kupitishana bila kupingwa, acheni kutumia tume ya uchaguzi kuwabeba na kuwakandamiza wapinzani, acheni polisi wafanye kazi yao kwa mujibu wa maadili yao, uchaguzi uwe uhuru, hapo ndipomtakapopata jibu kama ni kweli wagombea ubunge wa upinzani hawaeleweki kwa wananchi.
Kila chama kinawajibika kuheshimu sheria, kanuni na maadili ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom